Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8678 Articles1236 Comments
Habari Mchanganyiko

Tanzania kujitangaza maonesho ya Expo Dubai 2020

  SERIKALI inatarajia kutangaza rasilimali na bidhaa zinazozalishwa nchini, katika maonesho ya sita ya kimataifa ya biashara yanayofanyika jijini Dubai katika Nchi ya...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza majaji kushughulikia ubora maamuzi mahakama za mwanzo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Jaji Mkuu na Kaimu Jaji Kiongozi kutupia jicho vizuri usimamizi wa ubora wa maamuzi kwenye mahakama za...

Habari za Siasa

Profesa Assad awananga viongozi ‘mazuzu’

  PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amekerwa na viongozi wenye uwezo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Assad: Niliondolewa CAG bila utaratibu

  PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amesema, aliondolewa katika wadhifa wa U...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amfagilia Rais Samia, ampa ujumbe Majaliwa

  ALIYEWAHI kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mahiri, anatosha...

Habari Mchanganyiko

Watu 27 mbaroni tuhuma za wizi wa saruji Mbagala

  WATU 27 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuiba mifuko ya sarufi, katika ajali...

Habari Mchanganyiko

Ripoti haki za binadamu Tanzania yatinga UN, kujadiliwa Novemba 5

  SERIKALI ya Tanzania, imewasilisha ripoti ya utekelezwaji wa haki za binadamu (UPR), katika kipindi cha miaka minne mfululizo (2016-2020), katika Baraza la...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi wa BADEA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Uchumi Afrika (BADEA),...

Habari Mchanganyiko

Wadau waiangukia Serikali ajira za utotoni, wasichana kuachwa nyuma kidigitali

  ASASI za Kiraia nchini Tanzania, zimeiomba Serikali itafute muarobaini wa changamoto ya ajira za utotoni na wasichana kuachwa nyuma katika fursa zinazotokana...

Kimataifa

Waziri Mkuu atawazwa tena katikati ya giza nene

  WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kutumikia muhula wa pili katika nafasi hiyo huku taifa lake likikumbwa na mzozo wa kidiplomasia...

Kimataifa

Kenyatta ajipanga kujitetea kashfa bilioni 70

  BAADA ya Panama Papers mwaka 2016, Paradise Papers mwaka 2017, Mauritius Leaks mwaka 2019 na Luanda Leaks mwaka 2020, hatimaye Jumuiya ya...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka aipongeza NMB, vifaa vya mamilioni vyatolewa Dodoma

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC) Anthony Mtaka ameitaka Benki ya NMB kutochoka au kurudi nyuma katika kuisaidia jamii nzima ya Tanzania....

Habari za Siasa

Chadema watinga kwa msajili wafuasi wake kukamatwa, ajibu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani nchini Tanzania, kimemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, aingilie...

Habari MchanganyikoTangulizi

TCRA yabariki ongezeko bei za bando, wasema ni jambo la kawaida

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mabadiliko ya bei za bando iliyofanywa na baadhi ya kampuni za simu za mkononi nchini ni...

Habari Mchanganyiko

NBC waja na ‘Nguvu ya Huduma, Zege Halilali’

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) leo tarehe 4 Oktoba 2021, imezindua wiki ya Huduma kwa Wateja  sambamba na kampeni maalum inayofahamika...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Benki Ya EXIM wakabidhi msaada kwa Watoto yatima

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Meneja Mkuu wa Kitengo cha Mikopo wa benki hiyo Bi Gisela Swai (Kulia)...

Habari

Watanzania 6 kuchuana taji la Miss Dunia 2022

  Tanzania imepata nafasi ya kupeleka washiriki sita kwenye Fainali za Urembo, Mitindo na Utanashati kwa viziwi ya ngazi ya dunia yatakayofanyika Aprili...

Habari Mchanganyiko

Wawili wafa mgodini wakichimba dhahabu

  WATU wawili wamefariki duniani na wengine sita kuokolewa wakiwa hai baada ya duara walilokuwa wakichimba madini ya dhahabu kutitia katika Mgodi wa...

Habari za Siasa

Kisa wafuasi wao kushikiliwa, Chadema watinga mahakamani

  WANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamewasilisha maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kuiomba itoe amri ili wafuasi wake wanaoshikiliwa...

HabariTangulizi

Mawaziri nane kuvamia vijijini 975

  JUMLA ya Mawaziri nane wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatarajia kuanza ziara ya siku 15 katika vijiji 975 kwa...

HabariTangulizi

Othman ala kiapo kutimiza ndoto ya Maalim Seif

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman, amekula kiapo cha kutimiza ndoto ya mrithi wake, Maalim Seif Shariff Hamad ya...

Habari Mchanganyiko

NMB kurejesha milioni 246 kwa wananchi

BENKI ya NMB nchini Tanzania, imetenga Sh.246 milioni zitakazotumika kununua na kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali wa promosheni ya Bonge la Mpango. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Naibu waziri Ole Nasha ahitimisha safari yake, azikwa Arusha

  WILLIAM Tate Ole Nasha, aliyekuwa Mbunge Ngorongoro na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji nchini Tanzania, amehitimisha safari yake ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaahidi neema Skauti, awapa ujumbe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika kipindi chake cha uongozi, atahakikisha anaimarisha chama cha Skauti nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Kimataifa

Ujerumani yamchunguza anayedaiwa kuwa jasusi la Uturuki

  MWENDESHA mashitaka nchini Ujerumani, ameanza uchunguzi dhidi ya raia mmoja wa Uturuki, anayetuhumiwa kwa ujasusi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ofisi ya...

Habari Mchanganyiko

MCT yashauri waandishi kujiunga JOWUTA

  BARAZA la Habari Tanzania (MCT), limewashauri waandishi wa habari nchini kujiunga na Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hukumu kesi ya Sabaya hadi tarehe 15 Oktoba

  HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili iliyokuwa...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Taasisi ya Mwalimu Nyerere yapewa zigo kuponya Taifa, wanasiasa watoa nyongo

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) nchini Tanzania, imeombwa kuandaa kikao cha mariadhiano ambacho kitawakutananisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini ili...

Tangulizi

Ole Nasha kuagwa kesho Dodoma, kuzikwa Jumamosi Arusha

SERIKALI imesema aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha ambaye pia alikuwa ni Mbunge wa Ngorogoro (CCM )...

Kimataifa

Maofisa wanne wa jeshi la Rwanda wauawa Msumbiji, 14 wajeruhiwa

  MAOFISA wanne wa jeshi la Rwanda wameuawa nchini Msumbiji, katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo wa kiislamu, katika jimbo la Cabo...

Kimataifa

Ujerumani yamchagua mbunge wa kwanza mwanamke mweusi

  AWET Tesfaiesus, mbunge wa kwanza wa chama cha Green akiwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya Afrika, kuchaguliwa kuwa mbunge katika Bunge...

Habari za SiasaTangulizi

Naibu waziri afariki dunia, Rais Samia amlilia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, Bunge na wananchi kufuatia kifo cha William Tate Ole Nasha. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi watatu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wajumbe watatu kujaza nafasi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia atua Dodoma, apewa zawadi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Jijini Dodoma akitokea mkoani Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Rais Samia...

Habari za Siasa

CCM yazindua kampeni Ushetu, yaahidi neema kwa wananchi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza rasmi safari ya kutetea jimbo lake la Ushetu, Mkoa wa Shinyanga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kahama … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Walioitwa kujiunga na polisi hawa hapa

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, limetangaza orodha ya majina 1,475 waliomba kujiunga na jeshi hilo. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo … (endelea). Vijana...

Michezo

Wafanyakazi Benki ya Exim washiriki NMB Marathon kusaidia matibabu ya fistula

  KATIKA kuunga mkono agenda ya kusaidia matibabu ya Fistula kwa kina mama wasio na uwezo, wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania hii...

Habari Mchanganyiko

Tanesco yapanguliwa, January ateua vigogo

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limeendelea kusukwa upya baada ya Waziri wa Nishati, January Makamba kuteua vigogo kuwa wajumbe wa bodi ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaungana na Chadema kususia kikao msajili, IGP Sirro

  CHAMA cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kimetangaza kutoshiriki kikao baina ya jeshi la polisi na ofisi ya msajili wa...

MichezoTangulizi

Yanga mabingwa Ngao ya Jamii

  KLABU ya Soka ya Yanga wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Simba Sc na kubeba Ngao ya...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja sababu kushiriki mkutano UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ameamua kushiriki mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), kwa kuwa...

Michezo

Rosa Ree avishwa pete, amwaga chozi

  MSANII wa Bongo Fleva, Rosary Robert maarufu ‘Rosa Ree’ amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake, King Petrousse ambaye alimtambulisha kwa mashabiki...

Habari za Siasa

Mgombea Udiwani ACT-Wazalendo agonga mwamba NEC

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetupilia mbali rufaa Mgombea Udiwani wa Kata ya Ndembezi, mkoani Shinyanga, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Mvano...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Wakili wa Jamhuri ahoji maumivu aliyopata mshtakiwa

  WAKILI wa Serikali Mwandamizi, Abdallah Chavula, amemhoji shahidi katika kesi ndogo inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Adam...

Kimataifa

Mwandishi wa habari mbaroni kwa tuhuma za ugaidi

  MWANDISHI wa habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Sosthène Kambidi amekamatwa na maofisa wa Jeshi la nchi hiyo na kuhojiwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Fahamu madini yaliojaa katika simu yako ya zamani usioitumia

NDANI ya simu ya iPhone yenye almasi yaweza kukurejeshea kiasi cha dola za Kimarekani 95 milioni, lakini ikiwa kipande hiki cha johari hakina...

Habari za Siasa

SMZ, TCRA kushirikiana kufikia uchumi wa bluu

  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema, itahakikisha wananchi wanakuza uchumi wa kisasa unaoendana na falsafa ya uchumi wa kidijitali na uchumi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Alichokisema Rais Samia baada ya kuhutubia UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameihakikishia dunia kuwa Tanzania ni ileile yenye amani na ushirikiano na nchi zote. Anaripoti Glory Massamu,...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi ITV afariki ajalini, mwenzake…

  MWANDISHI wa habari wa ITV na Redio One, Mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, Gabriel Kandonga amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe …...

Habari za Siasa

Msajili ateta na IGP Sirro, awapa angalizo wanasiasa

  MSAJILI wa Vyama Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amesema kikao chake na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro, kimemsaidia kujua...

error: Content is protected !!