CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimedai kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya mashtaka ya kula njama za...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2021MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza (CCM), Hamis Tabasam, ameiomba Serikali iipatie msaada wa dharura wa vifaa tiba vya kutibu Ugonjwa wa Korona...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2021WAKATI chanjo ya kinga ya ugonjwa wa korona (Uviko-19) ikiendelea kutolewa nchini Tanzanioa, wabunge wawili wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2021WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamemuthibitisha Wallace Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2021CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimepanga kiwafikisha mahakamani kwa majina yao, Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) wa Dodoma...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo, Athumani Mbuttuka kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2021KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu, ameagiza kuchukuliwa hatua watumishi wawili wa...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021MSANII wa maigizo nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu Lulu amemwandikia ujumbe mwaanae mwenye siku 21 akichambua jina alilompa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoa sababu kuu tatu,...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021MTANGAZAJI maarufu nchini Tanzania wa vipindi vya michezo, Maulid Kitenge leo Ijumaa, tarehe 6 Agosti 2021, amerejea kituo cha Redio cha EFM,...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Ngoile wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha, wameuawa kwa kushambuliwa na Simba, walipokuwa wanatafuta mifugo yao iliyopotea...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2021JUMUIYA za Kimataifa zimejitosa katika kesi ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2021DIWANI wa Buyuni (CCM), Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Karimu Madenge amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 4 Agosti 2021,...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua, Mtumwa Khatib Ameir kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2021WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za mauaji ya Shaban Amiri Mbalali (20),...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2021MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amewafananisha wanaopinga chanjo ya korna (UVIKO-19) na magaidi na kuitaka...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2021ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir, anayesota rumande tangu 2019, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, yuko mbioni kufikishwa katika Mahakama...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi (DED) wapya 69 walioteuliwa kufika...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2021WAZEE wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, imuache huru Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe,...
By Mwandishi WetuAugust 4, 2021MAAFISA wa Taasisi za Serikali zinazoshughulika na masuala ya haki za binadamu, wametakiwa kushrikiana na Asasi za Kiraia na Mashirika Yasiyo ya...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021OFISI ya Bunge la Tanzania imesema, wabunge kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na viongozi wa kisiasa nchini humo, wanakatwa kodi...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali iongeze vituo vya kutolea huduma ya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19). Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021BARAZA la Vijana la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema (Bavicha), limedai kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro,...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinasubiri taarifa rasmi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhusu kujiuzulu kwa Mbunge mteule wa Konde, visiwani...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, kufuatia kifo...
By Mwandishi WetuAugust 3, 2021ELIAS Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) nchini Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amewataka madereva na makodakta wa vyombo vya usafiri jijini kutowabeba abiria wasiovaa...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amekitaka chama kikuu cha upinzani nchini humo, Chadema na wadau wengine, kuiachia mahakamana...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana waliopata ufadhili wa Serikali kupitia programu maalum ya kupata mafunzo ya ufundi stadi watumie...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021SHEHA Mpemba Faki, Mbunge mteule wa Konde Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amejiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni siku 15, tangu alipotangazwa...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa,Miji na Wilaya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania ameipongeza timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 23 (U23), kwa kutwaa ubingwa wa mashindano...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2021HATIMA ya kufutwa au kupunguzwa kwa tozo ya miaka ya mitandao ya simu itajulikana wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kamati iliyoundwa...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2021WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, imevitaka vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu kufanya mapitio ya mitalaa ili iweze...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2021WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile, ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), isikwamishe utoaji leseni za usajili kwa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021MCHUNGAJI Ambilikile Mwasapile (86), maarufu kama Babu wa Loliondo, amefariki dunia kwa ugonjwa wa nimonia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea). Taarifa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimedai kwamba Serikali ya Zanzibar, chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , inakwenda kinyume na maridhiano yao ya kuanzisha...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, amuagize Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amuondolee mashtaka ya...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021RAIS wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan, anakabiliwa na kibarua kigumu cha kujisafisha kwenye mioyo ya wananchi na jumuiya ya kimataifa,...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021RAIS wa Marekani, Joe Biden ameanzisha utaratibu wa kutoa dola 100 (Sh.231900), kwa kila mwananchi atakaye kubali kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2021KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeelekeza makada wake wanaokiuka mienendo na maadili ya chama hicho, wachukuliwe hatua za kinidhamu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 30, 2021HALMASHAURI nchini Tanzania, zimetakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya ndani, ili zipate fedha za kutoa huduma kwa wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2021BARAZA la Wanawake la Chadema (Bawacha), limeiandikia barua Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, likiitaka uingilie kati tukio la kushikiliwa kwa Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2021SERIKALI ya Tanzania, imewataka watoa huduma za mawasiliano nchini humo, kuzingatia sheria na kanuni zilizomo kwenye leseni katika utoaji wa huduma husika...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2021RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameziomba Asasi za Kiraia na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), ziunge mkono...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2021BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata), limewaagiza Maimamu wake kufanya dua maalumu wakati wa swala, ili Mungu aliepushe Taifa na janga...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2021CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aingilie kati sakata la kushikiliwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, anayekabiliwa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2021RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Dk. Edward Hoseah, ameshauri wanasiasa kuvumiliana pindi wanapokinzana katika hoja na sera, kwa kuwa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umekitaka chama hicho kimuadhibu Mbunge wake wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kufuatia hatua yake...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2021