Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yaja na kadi mpya, inafanya miamala hadi ya mil 40

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kadi mpya ‘NBC Visa Debit Card’ yenye kuwawezesha wateja binafsi kufanya miamala inayofikia hadi Sh...

Habari Mchanganyiko

AZAKI yaibana serikali kuhusu faida za madini

  Asasi mbalimbali za kiraia – AZAKI zimeibana Serikali na kuitaka ieleze ni faida iliyopatikana tangu yalipofanyika kwa Marekebisho ya Sheria ya Madini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jaji mpya ajitambulisha, RPC Kingai aanza kutoa ushahidi

  KESI inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, imeanza kusikilizwa tena katika Mahakama...

Habari Mchanganyiko

THRDC kuimarisha utetezi haki za binadamu mikoa ya Kusini

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeahidi kuzifanyia kazi changamoto zinazokwamisha shughuli za utetezi wa haki za binadamu, zinazotekelezwa...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 50 ya watoto wa mitaani wanatokana na ndoa zilizovunjika

  MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga amesema kuwa karibu asilimia 50 ya watoto waishio mitaani...

Habari Mchanganyiko

Milioni 750 zatengwa kujenga kituo cha Afya Mafia, DC asema…

  KIASI cha Sh.750 milioni, zimepangwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Kiegeani wilayani Mafia, mkoani Pwani,...

Shamba la mpunga
Habari Mchanganyiko

Wadau wa kilimo hai Tanzania waungana na Serikali

  UAMUZI wa Wizara ya Kilimo Tanzania Bara na Zanzibar, kutangaza kuwa zitatenga bajeti, kuanzisha kitengo na benki ya mbegu asili umepokelewa kwa...

Habari Mchanganyiko

Jiji la Arusha kinara ukuanyaji wa mapato ya ndani

  HALMASHAURI ya Jiji la Arusha imeshika nafasi ya kwanza kwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 6.22 sawa na asilimi 106.8 mapato ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu asisitiza usalama kwenye miji kupitia TEHAMA  

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 170 kwa ajili ya ujenzi wa Mkongo wa Taifa katika mwaka wa fedha 2021/2022...

Habari Mchanganyiko

LSF, wadau wajadili utekelezaji programu za upatikanaji haki

  WADAU zaidi ya 200, kutoka katika Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayoshughulika na utoaji huduma za msaada wa kisheria, wamefanya tathmini juu...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua mfumo wa majaribio ya kitekinolojia, BoT yapongeza

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT), imezitaka taasisi za kibenki nchini, kuanzisha au kubuni masuluhisho mbalimbali yanayowakabili wananchi ikiwemo ukosefu wa ajira na...

Habari Mchanganyiko

Serengeti kinara tena Afrika

  HIFADHI ya Taifa ya Serengeti iliyopo nchini Tanzania imeshinda tuzo ya kuwa hifadhi bora katika Bara la Afrika kwa mwaka 2021. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

RC Rukwa anusa ubadhirifu milioni 60 ujenzi kituo cha afya

  MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joseph Mkirikiti ameeleza kutoridhishwa na matumizi ya zaidi ya Sh milioni 60 katika ujenzi wa Kituo kipya...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yatangaza neema kilimo hai

  WIZARA ya Kilimo ya Tanzania Bara na Zanzibar, zimeahidi kutenga bajeti katika mwaka wa fedha 2022/2023, kwa ajili ya benki ya mbegu...

Habari Mchanganyiko

Mpango Dar kuwa safi kuzinduliwa Novemba 6

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla amesema, tarehe 6 Novemba 2021, atazindua mpango wa kulifanya Jiji...

Habari Mchanganyiko

Watu milioni 6.4 wapata msaada, elimu ya kisheria

  SHIRIKA la Huduma za Sheria (LSF) linatimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Ni muongo mmoja ambao umewanufaisha mamilioni ya Watanzania hususani wanawake...

Habari Mchanganyiko

RC Dar aongeza siku 12 wafanyabiashara kuhama

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla ameongeza muda wa siku 12 kwa wanaofanya biashara maeneo yaliyokatazwa...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 75 Dodoma wana uoni hafifu, trakoma! ushirikina watajwa

  ASILIMIA 75 hadi 85 ya wakazi wa jiji la Dodoma wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ya macho ikiwamo uoni hafifu pamoja na ugonjwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya ‘apigwa’ upara

  SIKU tatu baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka 30, yeye na wenzake wawili kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha, aliyekuwa Mkuu...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga misaada ya mamilioni sekta afya, elimu

  BENKI ya NMB nchini Tanzania, imehitimisha maadhimisho wiki ya huduma kwa mteja kwa kutumia Sh.180.25 milioni kutoa misaada ya sekta ya elimu...

Habari Mchanganyiko

Irine, Edna wahitimu bora UDSM, Rais msaafu Kikwete awapa neno

  WASICHANA Irine Christopher Msengi, ameibuka kuwa mwanafunzi bora katika shahada ya awali ya Biashara katika Uhasibu wa Chuo Kikuu cha Dar es...

Habari Mchanganyiko

Watanzania 940,000 wapata chanjo ya korona, zingine laki 5…

  SERIKALI ya Tanzania imesema, hadi kufikia juzi Ijumaa tarehe 15 Oktoba 2021, takiribani wananchi 940,000 walikuwa wamepata chanjo ya ugonjwa unaosababishwa na...

Habari Mchanganyiko

Askofu Dk. Shoo ashangaa viongozi wa dini, siasa kuhamasisha Watanzania wasichanje chanjo ya UVIKO- 19

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amesema amewashangaa na kuhuzunika kusikia baadhi ya viongozi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Shoo: Walah Rais Samia Mungu amekuweka kwa kusudi, kubali kuponya majeraha

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kusimama katika yale...

Habari Mchanganyiko

12 waibuka washindi NMB bonge la Mpango

  NAKAUNDA Mangosongo na Charles Mkwizu ambao ni wakazi wa Dodoma wamejishindia pikipiki za miguu mitatu aina ya Sky Mark katika droo ya...

Habari Mchanganyiko

THRDC watoa neno mauaji mtendaji Serikali za Mtaa

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wameishauri Serikali iimarishe usalama wa viongozi wa Serikali za Mitaa, ili kudhibiti matukio...

Habari Mchanganyiko

Amuuwa nduguye kisa Sh. 1,500

  JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro, linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo (43), kwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa azuru kaburi la Hayati Magufuli Chato

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezuru kaburi la Hayati John Pombe Magufuli na kushiriki sala ya kumwombea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yatakiwa kuongeza matawi yake mkoani Iringa

  BENKI ya Exim Tanzania imeombwa kuangalia namna kujitanua zaidi mkoani Iringa kwa kuongeza matawi kwenye wilaya mbalimbali za mkoa huo ili huduma...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yawalipa mamilioni wananchi, RC Makalla awapongeza

  MRADI wa maji wa mshikamano, Jimbo la Kibamba, umeanza kushika kasi baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es...

Habari Mchanganyiko

Mauaji afisa mtendaji Dar, watatu mbaroni

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya afisa mtemtendaji wa...

Habari Mchanganyiko

Hukumu kesi ya Membe, Musiba yapigwa kalenda

  HUKUMU ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje katika Serikali ya Awamu ya Nne, Bernard...

Habari Mchanganyiko

GGMLyakabidhi jengo jipya la ofisi kwa Kamanda wa Polisi Geita 

KATIKA jitihada za kuboresha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa taasisi mbalimbali zaSerikali, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi jengo jipyakwa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaweka msimamo UN mabadiliko tabia nchi

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka misimamo kuhusu mkutano wa 26 wa mabadiliko ya tabia ya nchi , unaotarajiwa kufanywa na nchi wanachama wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Ugonjwa wa akili tishio

  TATIZO la afya ya akili duniani limeendelea kuwa tishio, huku ikikadiriwa kuwa litaongezeka kutoka asilimia 12 hadi 17 ifikapo mwaka 2030. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kisa Mahari kubwa, Baba aua kijana wake baada ya kung’ang’ania kumuoa mchumba’ke

  KIJANA aliyefahamika kwa jina Nchimwa Magidu Ndula (22), amuawa kwa kipigo kutoka kwa baba yake mzazi, Magidu Ndula Jisusi (55) baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tunashukuru IMF, tumejadiliana wakatuelewa

RAIS Samia Suluhu Hassan amelishuruku Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa kuielewa Serikali ya Tanzania na kuridhia itumie fedha za maendeleo kwa ustawi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Rais Samia utaupita 2025 na kumaliza vizuri 2030

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kuwa atauvuka vizuri mwaka 2025 na kuumaliza mwaka 2030 kutokana na kazi nzuri anayoifanya...

Habari Mchanganyiko

‘Guest house,’ gesi ya kupikia vyapandisha mfumuko wa bei

  MFUMUKO wa Bei wa Taifa nchini Tanzania kwa mwaka ulioshia Septemba 2021, umeongezeka kwa asilimia 0.2 hadi kufikia asilimia 4.0, kutoka asilimia...

Habari Mchanganyiko

THRDC yapigwa ‘jeki’ ya mamilioni

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umepewa fedha Sh. 470 milioni na Shirika la Frontline Defenders la nchini Ireland,...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ampongeza mshindi wa Nobel aliyejinyakulia bilioni 2

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amempongeza, Abdulrazak Gurnah kwa kutwaa tuzo ya amani ya Nobel katika fasihi 2021, kutokana na kuangazia...

Habari Mchanganyiko

Mtanzania ashinda Tuzo ya Nobel katika fasihi, abeba bilioni 2.6

  MWANDISHI wa riwaya nchini Tanzania Abdulrazak Gurnah ametuzwa tuzo ya amani ya Nobel katika fasihi 2021 kutokana na kuangazia suala la ukoloni...

Habari Mchanganyiko

NMB yawatengea bilioni 100 wakulima, wafugaji na wavuvi

  BENKI ya NMB nchini Tanzania imetangaza fursa kwa wadau wa kilimo, mifugo na uvuvi kwa kuwatengea zaidi ya Sh.100 bilioni za mikopo...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri 21 zafikiwa na anuani za makazi

  SERIKALI imesema jumla ya Halmashauri 21 tayari zimefikiwa na huduma ya Anuani za Makazi huku kazi ya kufikisha na kuunganisha nchi nzima...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yaadhimisha yaahidi huduma zilizoboreshwa zaidi

  BENKI ya Exim Tanzania imeungana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kutoa huduma bora zaidi...

Habari Mchanganyiko

GGML kukarabati boti ya matibabu Geita, Kagera

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Magongo Justus John (wa kwanza kushoto), Askofu mkuu wa Kanisa la African Inland Tanzania, Mchungaji Mussa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kujitangaza maonesho ya Expo Dubai 2020

  SERIKALI inatarajia kutangaza rasilimali na bidhaa zinazozalishwa nchini, katika maonesho ya sita ya kimataifa ya biashara yanayofanyika jijini Dubai katika Nchi ya...

Habari Mchanganyiko

Profesa Assad aeleza siri ya jina lake

  ALIYEWAHI kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Tanzania (CAG), Profesa Mussa Assad amesema, amekuwa anatumia jina la Mussa ambalo si...

Habari Mchanganyiko

Watu 27 mbaroni tuhuma za wizi wa saruji Mbagala

  WATU 27 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuiba mifuko ya sarufi, katika ajali...

Habari Mchanganyiko

Ripoti haki za binadamu Tanzania yatinga UN, kujadiliwa Novemba 5

  SERIKALI ya Tanzania, imewasilisha ripoti ya utekelezwaji wa haki za binadamu (UPR), katika kipindi cha miaka minne mfululizo (2016-2020), katika Baraza la...

error: Content is protected !!