Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko GGML kukarabati boti ya matibabu Geita, Kagera
Habari Mchanganyiko

GGML kukarabati boti ya matibabu Geita, Kagera

Spread the love

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Magongo Justus John (wa kwanza kushoto), Askofu mkuu wa Kanisa la African Inland Tanzania, Mchungaji Mussa Magwesela (wa pili kutoka kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Richard Jordinson (wa kwanza kulia) wakitia saini hati ya makubaliano ya miaka matano ya ukarabati wa boti ya matibabu ambayo itatumika kuokoa maisha ya watu wengi walio katika mazingira magumu kwenye Visiwa vya Victoria mkoani Kagera na Geita.

Askofu mkuu wa Kanisa la African Inland Tanzania, Mchungaji Mussa Magwesela (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa GGML, Richard Jordinson (kulia) wakitia saini hati ya makubaliano ya miaka matano ya ukarabati wa boti ya matibabu ambayo itatumika kuokoa maisha ya watu wengi walio katika mazingira magumu kwenye Visiwa vya Victoria mkoani Kagera na Geita.

Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Faustin Kamuzora akielezea namna boti hiyo ya matibabu itavyotumika kuokoa maisha ya watu wengi walio katika mazingira magumu kwenye Visiwa vya Victoria mkoani Kagera na Geita.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Magongo Justus akitoa shukrani kwa kampuni ya GGML kutokana na mchango wake katika ukarabati wa boti hiyo ya matibabu.

Baadhi ya wafanyakazi wa GGML akiwamo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Richard Jordinson (kulia) pamoja na watendaji wengine wa serikali kutoka mkoa wa Geita na Kagera wakiwa katika picha ya pamoja.

Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Toba Nguvila akielezea namna wilaya hiyo itaimarisha ulinzi katika boti hiyo iliyokarabatiwa na GGML.

Askofu mkuu wa Kanisa la African Inland Tanzania, Mchungaji Mussa Magwesela akizungumzia katika hafla hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!