Saturday , 27 April 2024

Month: August 2019

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa TAKUKURU anaswa akipokea rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imemfukuza kazi Cosmas Batanyita, aliyekuwa Mchunguzi Mwandamizi wa taasisi hiyo, kwa kosa la kuomba...

Habari Mchanganyiko

Marekani, Uingereza yaingilia kati sakata Kabendera

BALOZI za Marekani na Uingereza nchini Tanzania wameingilia kati sakata la kukamatwa mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Leo...

Habari Mchanganyiko

Green Mile yamgomea Kigwangalla

KAMPUNI ya Uwindaji ya Green Mile imeendelea kuvutana na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla, kwa kile walichodai kuwa wataendelea na...

Habari Mchanganyiko

Nanenane: Mikakati kuiinua Simiyu yawekwa hadharani

ANTHONY Mtaka, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu ameeleza mikakati ya kupunguza umasikini mkoani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ripoti ya Hali ya...

Habari za Siasa

Zitto aeleza ndoto ya ACT-Wazalendo 2020-2025

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeanza kueleza mikakati yake, iwapo kitapewa mamlaka ya kuiongoza Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu afungua kesi ya kihistoria  

HATIMAYE yametimia. Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu, ametinga mahakamani kupinga hatua ya Spika...

Habari za Siasa

Serikali, Green Miles wavutana

WAKATI serikali ikieleza kufuta umiliki wa kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Lake Natron (East), kilichokuwa kinamilikiwa na Kampuni ya Uwindaji wa Kampuni...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabaishara 12 wakamatwa wakiwa na mamilioni ya fedha

JESHI la Polisi mkoani Tanga, linawashikilia wafanyabaishara 12 wanaodaiwa kufanya biashara ya ubadilishaji fedha za kigeni bila leseni ya biashara hiyo kutoka Benki...

Habari Mchanganyiko

Simulizi msisimko majeruhi ajali ya ndege Mafia

HASSAN Bakari Ali, majeruhi wa ajali ya ndege iliyotokea Mafia wilayani Pwani, ameeleza kilichomtokea. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Ajali hiyo ilitokea Jumanne...

Habari Mchanganyiko

Wizara Viwanda, Kilimo washirikiane – Mhandisi Manyanya

WIZARA ya Viwanda na Biashara lazima ishirikiane na Wizara ya Kilimo ili kuleta tija kwa wakulima na wafugaji. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kauli hiyo...

Habari Mchanganyiko

Mpina: Operesheni hii marufuku

OPERESHENI ya kuwaondoa wakazi wa Kijiji cha Vilimavitatu wilayani Babati, Manyara katika eneo linalodaiwa kuwa la hifadhi ya Burunge (Juhibu), imesitishwa. Anaandika Hamis Mguta…(endelea)....

MichezoTangulizi

Manara aburuzwa kortini, adaiwa Mil 83

HAJI Manara, Msemaji wa Klabu ya Simba na wenzake watatu, tarehe 6 Agosti 2019 wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kudaiwa Sh. 83.5 milioni....

Habari Mchanganyiko

Mgogoro: Nyumba, mbuzi vyachomwa moto

NYUMBA ya Tryphone Jeremiah, mkazi wa kijiji Kijiji cha Kishanda B, kilichopo kwenye Kata ya Kibale, Kyerwa mkoani Kagera imechomwa moto. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea).  ...

Habari Mchanganyiko

Sababu bei ya maji kupanda Mwanza yaelezwa

MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira jijini Mwanza (Mwauwasa) imesema, imepandisha bei ya maji kutokana na kuongezeka kwa gharama za uendeshaji. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Ndege yawaka moto Mafia

WATU watano wamenusurika kufa huku watatu hawajajulikana walipo katika ajali ya ndege, inayodaiwa ya Shirika la Tropical iliyotokea leo tarehe 6 Agosti 2019...

Habari Mchanganyiko

Z’bar: Wachanganya juisi na dawa nguvu za kiume, wakamtwa

HAMID Hemed Salum (39) na Saidi Hemed Salum (40) wamekamatwa na Wakala wa Dawa, Chakula  na Vipodozi Zanzibar (ZDFA), kwa tuhuma za kuuzia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kilichotokea kwa Maxence wa Jamii Forum kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeanza kusikiliza utetezi wa Wakurugenzi wa Jamii  Media Limited Maxence Mello na Mike William tarehe...

Habari Mchanganyiko

Akamatwa na stika 2,546 za Viza

IDARA ya Uhamiaji nchini, imemkamata Jasmin Ngongolo, mkazi wa Dar es Salaam akiwa na stika za Viza 2,546 za Tanzania za kughushi. Anaripoti Hamis...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Dodoma wafurushwa

WAFANYABIASHARA katika maeneo ya wazi jijini Dodoma, wameulalamikia uongozi wa jiji hilo kwa kuwafurusha katika maeneo hayo ndani ya siku 30. Anaripoti Danson...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya Afya kudhibiti Kifua Kikuu Magereza 15

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza imeanzisha kampeni ya kutokomeza ugonjwa wa Kifua Kikuu...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda wapumzishwa kuingia mjini, ving’ora, ‘spotlight’ marufuku

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku usafiri wa pikipiki ‘Bodaboda’ kuingia maeneo ya mjini kuanzia tarehe 6 hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Mwandishi Kabendera, afunguliwa kesi ya kushirikiana na wahalifu

MWANDISHI wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera, hatimaye amefikishwa mahakamani kwa makosa matatu, likiwamo utakatishaji fedha na kushirikiana na kinachoitwa, “makundi ya...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Hatuna nguvu 

NCHI za Afrika hazina nguvu katika soko la kimataifa hasa kwenye malighafi, hupangiwa bei ya kuuza kwa wenye viwanda. Anaripoti Regia Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

CUF yampigia goti Rais Magufuli 

CHAMA Cha Wananchi (CUF), kinaugulia maumivi ya kutofanya mikutano ya kisiasa hasa muda huu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu....

Habari za Siasa

Nanenane Singida, Dodoma iwe endelevu – Waziri Jafo

SELEMAN Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ametoa maagizo kwa wakuu wa mikoa ya...

Habari za Siasa

Halima Mdee: Mama aliniambia maneno makali

MAMA yangu aliniambia, Mungu alimuepusha uchungu mkali wakati wa kunizaa lakini sasa anapata machungu makali kila siku katika utu uzima wangu. Anaandika Hamis...

Siasa

Wabunge 5 CUF wabanwa mbavu Handeni

WABUNGE watano kutoka Chama cha Wananchi (CUF), tarehe 3 Agosti 2019 walikamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi wilayani Handeni, Tanga kwa madai...

Kimataifa

Ni uvamizi, unyanyasaji na mauaji tu Palestina

WAKAZI wa Palestina ni moja ya raia wanaoishi katika mateso makubwa ndani ya ardhi yao. Wananyanyaswa, wanateswa na hata kuuawa. Kutoka katika mitandao...

Habari za SiasaTangulizi

Urais wa Membe waendelea kupata wafuasi  

BERNARD Kamillius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nchi za nje na uhusiano wa kimataifa, anazidi kukoleza mbio za kuwania urais katika...

Habari Mchanganyiko

Bakwata watangaza tarehe ya Sikukuu ya Eid

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kwamba Sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Juamatatu ya tarehe 12 Agosti, 2019. Anaripoti Mwandishi...

Afya

Unyonyeshaji duni tishio kwa vifo vya watoto wachanga

DUNIA ikiwa inaadhimisha wiki ya unyonyeshaji, nchini Tanzania takwimu zinaonyesha kuwa vifo vya watoto wachanga bado vinashika kasi sababu ikitajwa ni kuchelewa kunyonyeshwa...

KimataifaTangulizi

Serikali kuingia mgogoro na Marekani?

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano, yaweza kujiingiza kwenye mgogoro mwingine wa kidplomasia na mataifa ya Magharibi, kufuatia uamuzi wake wa kumpokea na kumruhusu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaenda kufanya upekuzi mwingine kwa Kabendera

ERICK Matugwa Kabendera, mwandishi wa habari za kichunguzi, mtafiti, na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, uchumi na usalama wa kikanda, bado anaendelea kushikiliwa...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wa Tigo matatani

WAFANYAKAZI wa Mtandao wa Tigo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kudukua taarifa za...

Michezo

Jezi za Yanga zaanza vizuri, yauzwa kwa laki tano

KLABU ya Yanga imetambulisha jezi za nyumbani na ugenini itakayotumika kwenye michezo ya Ligi Kuu na klabu bingwa Afrika kwa msimu wa 2019/20...

Habari Mchanganyiko

Safari za mabasi usiku zapigwa ‘stop’

JESHI la Polisi limetangaza kusitisha safari za usiku kwa baadhi ya magari ya abiria yanayokwenda mikoani. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). CP Liberatus Sabas, Kamishna...

Habari Mchanganyiko

Jinsi polisi wavyopambana na dawa za kulevya Aprili – Juni 2019

JUMLA ya watu 2,085 wamekamatwa kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi, kuanzia Aprili hadi Juni 2019. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Mamia wamuaga kaka yake Mbowe

MAMIA ya watu leo tarehe 2 Agosti 2019, wamejitokeza katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Nshara Machame kuuagwa mwili...

Afya

Wanaume wabanwa likizo ya uzazi

WANAUME wanaopewa likizo ya uzazi, wameshauriwa kutumia vizuri kwa kumsaidia mama aliyejifungua, na kwamba ni kwa mujibu wa sheria ya kazi na ajira...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amsifu Jakaya Kikwete

RAIS John Magufuli amemshukuru Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete kwa kuanzisha ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika...

Habari za Siasa

Msani/Diwani ACT-Wazalendo atupwa jela

MSANII wa kizazi kipya na mwanasiasa wa upinzani nchini Clayton Chipando maarufu kwa jina la Baba Levo, leo tarehe 1 Agosti 2019 amehukumiwa kwenda...

Habari Mchanganyiko

Dhamana ya mwandishi Kabendera Agosti 5

MAOMBI ya dhamana Namba 14 ya mwaka 2019 ya mwanahabari Erick Kabendera, yanatarajiwa kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es...

Makala & Uchambuzi

SAKATA LA MADED KUSIMAMIA UCHAGUZI: Mahakama ya Rufaa yajiweka mtegoni

JUZI Jummane, tarehe 30 Julai 2019, Mahakama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano, ilisikiliza rufaa iliyokatwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wenzake...

Habari Mchanganyiko

MO Dewji aelewa somo la JPM

MOHAMMED Dewji ‘Mo’, Mkurugenzi wa Makampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (METL), amempongeza Rais John Magufuli kwa jitihada zake za kuleta mageuzi  katika...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Hiki ndicho kilichowaponza UAMSHO

SIASA za kukomoana zimetamalaki Zanzibar na hiki ndicho kilichosababisha viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar kusota rumande bila sababu...

Makala & Uchambuzi

Kifo cha Mhandisi Lwajabe: Maswali bila majibu 

JESHI la Polisi jana tarehe 31 Julai 2019, lilitoa ripoti yake fupi ya uchunguzi kuhusu kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Miradi ya Umoja...

Habari Mchanganyiko

TRA: Nusu mwaka tumekusanya 15.9 Tril

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imekusanya kiasi cha Sh. 15.9 Trilioni katika kipindi cha nusu mwaka wa 2018/19. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa...

error: Content is protected !!