Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Bakwata watangaza tarehe ya Sikukuu ya Eid
Habari Mchanganyiko

Bakwata watangaza tarehe ya Sikukuu ya Eid

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Spread the love

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kwamba Sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Juamatatu ya tarehe 12 Agosti, 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 2 Agosti 2019 na Nuhu Mruma, Katibu Mkuu BAKWATA, inaeleza kwamba swala ya Eid itaswaliwa katika Viwanja vya Masjid Kibadeni, Chanika Zogowali wilayani Ilala Jiji la Dar es Salaam.

Pia, taarifa hiyo imesema Baraza la Eid litafanyika viwanjani hapo mara baada ya swala ya Eid.

“Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir anapenda kuchukua fursa hii kuutangazia umma kuwa Sikukuu itakuwa siku ya Juamatatu tarehe 12 Agosti 2019,” inaeleza taarifa ya Mruma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!