Tuesday , 5 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Ndege yawaka moto Mafia
Habari Mchanganyiko

Ndege yawaka moto Mafia

Spread the love

WATU watano wamenusurika kufa huku watatu hawajajulikana walipo katika ajali ya ndege, inayodaiwa ya Shirika la Tropical iliyotokea leo tarehe 6 Agosti 2019 kisiwani Mafia. Anartipoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa za awali zianeleza kuwa, ajali hiyo imetokea muda mfupi baada ya ndege hiyo ndogo kuanza safari yake kuelekea jijini Dar es Salaam.

Taarifa zaidi zinaeleza kuwa, ndege hiyo ilishindwa kupaa na kwenda kuvamia senyenge zilizowekwa kwenye uwanja huo kuzuia watu kisha kuwaka moto.

https://youtu.be/R0TdsNGcKfo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Spread the loveWaathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

Spread the love  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

Spread the loveTAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10...

error: Content is protected !!