Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Mamia wamuaga kaka yake Mbowe
Habari Mchanganyiko

Mamia wamuaga kaka yake Mbowe

Spread the love

MAMIA ya watu leo tarehe 2 Agosti 2019, wamejitokeza katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Nshara Machame kuuagwa mwili wa Meja Jenerali mstaafu, Alfred Mbowe. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Alfred ni kaka wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mazishi yake yanatarajiwa kufanyika katika Kijiji cha Nshara, Hai mkoani humo.

Meja huyo alifariki dunia tarehe 28 Julai 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambapo aliagwa jijini Dar es Salaam tarehe 31 Julai 2019.

Viongozi mbalimbali wa dini, wameshiriki ibada hiyo ambapo jijini Dar es Salaam, Rais John Magufuli, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na viongozi wengine walipata fursa ya kuuaga mwili wa Alfred (66). Alistaafu jeshi mwaka 2009.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari Mchanganyiko

Somo la dini: Waislamu waishukia Serikali, wizara yatoa kauli

Spread the loveJUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetupia lawama Serikali ikidai...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

error: Content is protected !!