Thursday , 2 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Rais Shein: Wazanzibar msijaribu uongozi

ALI Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, amewataka wananchi wa visiwa hivyo, kutofanya makosa kwa kumchagua Rais mwenye tamaa na asiyekuwa...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba: Tukipoteza uchaguzi huu, tutajuta

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF) amesema, wananchi wakishindwa kuutumia Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020...

Habari za Siasa

NEC yaamua rufaa 60, Jesca arejeshwa kumvaa Dk. Mwigulu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imemrejesha Jesca Kishoa kuwa mgombea ubunge Iramba Magharibi Mkoa wa Singida kupitia Chadema. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aichongea CCM kwa WanaKigoma

ZITTO Zuberi Kabwe, mgombea ubunge Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo, ametoa sababu tano ambazo wananchi wa Mkoa wa Kigoma wanapaswa kutokichagua Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Sumaye: Mgombea huyu hafai

FREDERICK Sumaye, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani amedai, wapo...

Habari za SiasaTangulizi

ZEC yamteua Maalim Seif kugombea urais

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 27 na...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Sina wasiwasi na mapingamizi

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, hana wasiwasi juu ya mapingamizi aliyowekea Tume ya Uchaguzi Zanzibar...

Habari za Siasa

CCM yamtwisha zigo la ushindi Kikwete mikoa ya Kusini

CHAMA tawala nchini Tanzania cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimempeleka Rais mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete katika mikoa ya Kusini, ili akamalize wavurugaji wa chama...

Habari za Siasa

Lissu: Ama zangu, ama za Magufuli

LICHA ya kinyang’anyiro cha wagombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 kuwa na wagombea 15, Tundu Lissu miongoni...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea apata dhamana, kuendelea na kampeni Kinondoni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, imemwachia kwa dhamana mgombea ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Ahmed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha...

Habari za Siasa

Muro wa NCCR-Mageuzi aahidi kuibadili Kinondoni

MUSTAFA Muro, Mgombea Ubunge wa Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia NCCR-Mageuzi, ameahidi kuboresha maisha ya wananchi wa jimbo hilo, endapo watamchagua katika...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif awekewa pingamizi, 16 wateuliwa

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imeshindwa kumteua Maalim Seif Sharif Hamad kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo baada ya kuwekewa pingamizi....

Habari za Siasa

Mbatia atoa wosia kwa Watanzania kuelekea 28 Oktoba

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, amewataka Watanzania kutumia kura zao vizuri katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020,...

Habari za SiasaTangulizi

19 warejeshwa kugombea ubunge, 26 udiwani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imewarejesha wagombea ubunge 19 baada ya kuzifanyia kazi rufaa 22. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atikiswa, chopa yake yagomewa

HELKOPTA (chopa) iliyotarajiwa kumbeba Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuelekea Bagamoyo mkoani Pwani, imegomewa kuruka. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Waliotafuna fedha za korosho matatani 

MAMA Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) iwashughulikie...

Habari za Siasa

Lissu: Safari hii tutafanya kama CCM

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema wataweka kituo cha kuhesabu kura zao kama Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Wewe umetumwa na mabeberu? Swali lililomchefua Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

13 washinda rufaa za ubunge, 21 watoswa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imechambua rufaa zingine 34 za ubunge kati ya hizo, 13 imewarejesha kugombea ubunge, 21 imezikataa....

Habari za Siasa

Maalim Seif ahofia ‘kukatwa’ urais Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ameonesha wasiwasi wa kukwamishwa katika kinyang’anyiro hicho. Anaripoti...

Habari za Siasa

Lissu: Hatujidanganyi, uchaguzi huu mgumu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaweka wazi rufaa 55  

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imeweka wazi rufaa 55 zilizowasilishwa na wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za Siasa

Maalim Seif awakaribisha wanaotaka kumweka pingamizi

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT- Wazalendo amewakaribisha wale wote ambao wanataka kumwekea pingamizi Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

15 warejeshwa kugombea ubunge, 15 watupwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imekubali rufaa 15 kati ya 55 za wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Magufuli atoa siri Tizeba, Lugola kukatwa

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, ameeleza mchakato wa kuwapata wagombea ubunge wa Buchosa jijini Mwanza na...

Habari za SiasaTangulizi

‘Dili’ la Membe, Lissu, Maalim Seif hadharani

KAULI kwamba ‘tutashirikiana’ kati ya Chama cha ACT-Wazalendo na Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kudhihiri kwa vitendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Unguja...

Habari za Siasa

Mgombea ubunge CCM kuwarejesha nyumbani wana Mufundi

MGOMBEA Ubunge wa Mufindi Kusini Mkoa wa Iringa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), David Kihenzile amesema, vijana na wasomi wote wanaoishi nje ya...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wagombea 62 ACT-Wazalendo wang’olewa

JUMLA ya wagombea 62 wa Chama cha ACT-Wazalendo, wameng’olewa kwenye kinyang’anyoro cha ubunge Tanzania Bara na visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

JPM: Shukrani ya punda, mateke

DAKTARI John Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, licha ya kufanya kazi kubwa ya kuleta maendeleo Tanzania, bado kuna watu...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Gwajima aliamsha dude Kawe, ‘sina njaa’

ASKOFU Josephat Gwajima, mgombea ubunge katika Jimbo la Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema alianza kuitumikia Kawe siku nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Majaliwa: Bilioni 577 zatekeleza miradi Arusha, mchagueni Magufuli

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano...

Habari za Siasa

Maganja wa NCCR-Mageuzi abainisha vipaumbele 10 ikiingia Ikulu

CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania leo Jumamosi tarehe 5 Septemba 2020 kimezindua rasmi kampeni zake za Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Mbatia atoa siri upinzani kutoungana uchaguzi mkuu 2020

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, amesema ukosefu wa uaminifu ndiyo sababu vyama vya siasa vya upinzani kutofikia mwafaka wa...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi wamkosoa IGP Sirro

CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimeoneshwa kusikitishwa na kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro aliyesema ataweka kambi visiwani Zanzibar, kwa...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi wazindua Ilani ya Mwafaka wa Kitaifa

CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania kimezindua Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020, waliyoipa jina la ‘Ilani ya Mwafaka...

Habari za SiasaTangulizi

Kanisa Katoliki latoa tamko uchaguzi mkuu Tanzania

KANISA Katoliki nchini Tanzania, limevitaka vyombo vyote vinavyosimamia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kutenda haki ili kutoivuruga amani iliyopo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Polisi yawadaka wagombea wanaofuatilia rufaa NEC

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wagombea ubunge na udiwani kutoka Chama cha Demokraaia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wanakwenda Ofisi ya Tume...

Habari za Siasa

Chadema yaanza safari kutafuta uongozi Kinondoni

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Kinondoni, Dar es Salaam, kimeanza safari ya kusaka uongozi kata na jimbo hilo, katika Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: NEC turudishieni wagombea ili tupimane ubavu

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwarejesha wagombea wao wa...

Habari za Siasa

Alicia: Nilivutiwa na Lissu, nilidengua dengue kwanza

ALICIA Magabe, mke wa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameeleza jinsi walivyokutana na kukubaliana kisha...

Habari za Siasa

Profesa Mkumbo: Tutajenga ukumbi wa michezo wa kisasa

MGOMBEA ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amesema, akichagulia atahakikisha anaishaiwi Serikali kujengwa ukumbi wa...

Habari za Siasa

Profesa Mkumbo aanika vipaumbele 10

PROFESA Kitila Mkumbo, mgombea ubunge wa Ubungo, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amebainisha vipaumbele kumi atakavyokwenda kuvifanyia kazi endapo atachaguliwa...

Habari za Siasa

Chadema, TBC wamaliza tofauti zao

MGOGORO baina ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), umemalizika baada ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Utawala huu umenifikisha hapa

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kwamba, utawala wa awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli,...

Habari za SiasaTangulizi

JPM aitibua Chadema, ‘Sisi waongo, matapeli?’

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na kauli kwamba ‘wapinzani waongo, matapeli.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Nataka niwe kama Kikwete

DAKTARI John Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema anataka kukaa Ikulu kwa miaka 10 kama Rais Mstaafu, Jakaya...

Habari za Siasa

Membe awafariji wahanga wa mafuriko

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo, Bernard Membe amewafafiji wahanga wa mafuriko Kata ya Njinjo wilayani Kilwa mkoani Lindi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi...

Habari za Siasa

Magufuli aahidi kusimamia sekta ya madini

JOHN Magufuli, Mgombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameahidi kuimarisha mifumo...

Habari za Siasa

Bodi 100 taasisi za kisiasa, dini njiapanda 

WAKALA wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) nchini Tanzania, imezitaka Bodi za Wadhamini wa Taasisi 100 ambazo hazijafanya marejesho ya wadhamini kufanya hivyo...

Habari za Siasa

Wanasiasa wanaodhalilisha wanawake wawajibishwe

WANAMTANDAO wa Katiba, Uchaguzi na Uongozi ambao ni watetezi wa haki za wanawake na wasichana, wamelaani kauli za udhalilishaji zilizoanza kutolewa na baadhi...

error: Content is protected !!