JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limewaonya wanasiasa kujiepusha na vitendo vya ukiukwaji wa sheria kuelekea maandalizi ya...
By Regina MkondeJune 26, 2020TANZANIA imeahidi kuisaidia Burundi ili iweze kujiunga katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Hayo yamesemwa leo Ijumaa tarehe 26...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020KOCHA wa timu Liverpool Jurgen Klopp ameonesha hisia kali za furaha mara baada ya timu yake kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu nchini England,...
By Kelvin MwaipunguJune 26, 2020SERIKALI ya Kenya imeripoti wagonjwa wapya 149 wa virusi vya corona (COVID-19) baada ya kupima sampuli 3,090 ndani ya saa 24 zilizopita. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020JAPHETI Jirori, aliyekuwa Meneja Usimamizi wa Akaunti za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Wakili Arnold Temba, Mkurugenzi wa Kampuni ya ELA Advocate...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020MUSSA Aboud Jumbe, amekuwa mwanachama wa 30 wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuchuchukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho katika...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020TAASISI ya Kuzuiya na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Dodoma, imevikabidhi vyama vya akiba na mikopo (Saccos) vya MWASHITA na DUWASA kiasi...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020SERIKALI ya Tanzania imetoa zuio la Timu ya Mbeya City kucheza michezo yake ya nyumbani ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL)...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020SAFARI ya mwisho hapa duniani ya aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza inahitimishwa leo Ijumaa tarehe 26 Juni 2020. Anaripoti Mitandao ya Kimataifa...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020SERIKALI ya Tanzania imesema, ada za shule nchini humo zilipwe kulingana na makubaliano yaliyofikiwa mwanzoni mwa mwaka wa masomo 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 26, 2020CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakina imani na uchunguzi unaofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu viongozi wake walioshambuliwa. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...
By Hamisi MgutaJune 25, 2020SERIKALI ya Tanzania imepata Sh. 780 milioni kwa ajili ya kujenga kliniki ya huduma za methadone kwa waathirika wa dawa za kulevya mkoani...
By Hamisi MgutaJune 25, 2020BAKARI Khatibu, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka Kati wilayani Babati na katibu wake Juma Swalehe, wanashikiliwa na Taasisi ya...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), harejei nchini kwa kuwa, bado ana mashaka na maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJune 25, 2020BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limesema mwaka huu hakutakuwa na ibada ya Hijja, kutokana na janga la Virusi vya Corona. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wakulima wa mazao mbalimbali ya biashara wakiwemo wakulima wa ufuta waendelee na kilimo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020KUNA kila dalili kwamba, mgombea wa upinzani nchini Malawi, anaweza kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika juzi tarehe 23 Juni 2020. Unaripoti...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020TIMU ya Simba inahitaji pointi mbili kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya tatu mfululizo baada ya jana kuibuka na...
By Kelvin MwaipunguJune 25, 2020SHAAME Simai Mcha ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Uchaguzi...
By Mwandishi WetuJune 25, 2020MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umepewa siku saba na Serikali kujieleza kwa nini usichukuliwe hatua za kisheria, kutokana na...
By Regina MkondeJune 25, 2020BEKI wa Yanga, Mghana Lamine Moro amfungiwa michezo mitatu na kulipa faini ya Sh. 500,000, kwa kosa la kumrukia mgongoni mchezaji wa JKT...
By Kelvin MwaipunguJune 25, 2020MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Bernard Kamillius Membe, amekosoa utaratibu unaotumika na Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kumtafuta mgombea wake wa urais. Anaripoti Mwandishi...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli itaendelea kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakabili Watanzania wote zikiwemo za...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo na viongozi wengine waliokuwa wakishikiliwa na Polisi Mkoa wa Lindi...
By Masalu ErastoJune 24, 2020KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude na nyota wa Yanga, Bernard Morrison wamefungiwa kucheza michezo miwili pamoja na faini ya Sh. 500,000 kwa makosa...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2020TUHUMA kwamba siasa za James Mbatia, Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, sasa hivi zimepoa, zimemsukuma kusema ‘acheni umbea.’ Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...
By Regina MkondeJune 24, 2020WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Hussein Mwinyi amerejesha fomu za kuwania Urais wa Zanzibar ndani ya Chama Cha...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020UGONJWA wa virusi vya corona (COVID-19) umeendelea kushika kasi nchini Kenya baada ya wagonjwa wapya 254 kuripotiwa. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea)....
By Mwandishi WetuJune 24, 2020VYAMA vya upinzani vimetakiwa kuondoa manung’uniko yaliyojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, kabla ya kuingia ushirikiano mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti...
By Regina MkondeJune 24, 2020CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetuma ujumbe wa Jaji Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhakikisha watendaji wake wanatenda haki kwenye...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020MBIO za kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zinazidi kushika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020MKUU wa Wilaya (DC) ya Dodoma mjini nchini Tanzania, Patrobasi Katambi ametangaza kumsimamisha kazi, Hadson Magomba, afisa kitengo cha mipango miji katika Jiji...
By Danson KaijageJune 24, 2020SANINIU Laizer, amekuwa Mtanzania wa kwanza kuvunja rekodi ya uchimbaji mawe makubwa ya madini ya Tanzanite, yenye thamani ya Sh. 7.8 bilioni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) amesema, kama Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kadanganya kuhusu...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020MUSTAFA Muro, aliyekuwa Diwani wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameomba ridhaa ya kugombea ubunge katika...
By Regina MkondeJune 24, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, anawindwa na Jeshi la Polisi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Simon...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020LIGI Kuu England inaendelea tena leo kwa kupigwa michezo mitano ambapo Manchester United itashuka dimbani kuikabili Sheffield United kwenye dimba la Old Traford....
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2020UONGOZI wa klabu ya Yanga umempiga faini ya Sh. 1.5 Milioni nyota wake raia wa Ghana, Benard Morrison kwa kufanya mahojiano na mwandishi...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2020HASNA Atai Masoud, amekuwa mwanamke wa pili kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Zanzibar, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Magufuli, imedhamiria kufikisha huduma ya umeme katika...
By Mwandishi WetuJune 24, 2020UAMUZI wa Idara ya Habari na Maelezo nchini Tanzania kusitisha leseni ya uzalishaji na uchapishaji wa Gazeti la Kila Siku la Tanzania Daima,...
By Hamisi MgutaJune 24, 2020SELEMAN Bungara maarufu Bwege, Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF) amefikishwa Kituo cha Polisi cha Lindi Mjini akitokea Kilwa Masoko....
By Faki SosiJune 24, 2020JESHI la Polisi Mkoa wa Lindi limemsafirisha usiku kwa usiku Zitto Kabwe, kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na wenzake kutoka Kilwa Masoko kwenda...
By Faki SosiJune 24, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, atagombea urais. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJune 23, 2020JAJI Mstaafu Joseph Warioba, amsema ni utamaduni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu rais aliyepo madarakani kutetea kiti chake iwapo hajakiangusha chama. Anaripoti...
By Hamisi MgutaJune 23, 2020GAZETI la kila siku la Tanzania Daima, linalomilikiwa na Kampuni ya Free Media Limited, limeingia kifungoni kwa muda usiojulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Hamisi MgutaJune 23, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa...
By Hamisi MgutaJune 23, 2020TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inawashikilia wafanyakazi 30 wa Bohari ya Dawa (MSD) Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za ubadhirifu...
By Mwandishi WetuJune 23, 2020KIKOSI cha Yanga kesho inatarajia kuikabili Namungo FC, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutoka sare kwenye mchezo uliomalizika dhidi...
By Kelvin MwaipunguJune 23, 2020HASHIM Salum Hashim, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar, kupitia...
By Mwandishi WetuJune 23, 2020