Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Diwani Chadema kugombea ubunge NCCR-Mageuzi
Habari za Siasa

Diwani Chadema kugombea ubunge NCCR-Mageuzi

Mustafa Muro, diwani wa Kinondoni (Chadema)
Spread the love

MUSTAFA Muro, aliyekuwa Diwani wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameomba ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Muro ambaye anamaliza muda wake wa udiwani, ametangaza nia hiyo leo Jumatano tarehe 24 Juni 2020, wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam.

Pia amesema, Martha Chilomba, aliyekuwa mwanachama wa Chadema, ametia nia ya kugombea Jimbo la Kawe, jimbo hilo limeongozwa na Halima Mdee (Chadema) kwa miaka 10 (2010-2020).

“Mimi Mustapha Muro, nimetia nia kugombea Kinondoni, bahati mbaya mwenzangu wa Kawe, Martha Chilomba, amepata msiba na ameenda Tabora, pamoja na sisi hapa tunao watia nia wa udiwani,” amesema Murro.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!