Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wanawake washika kasi Urais Z’bar, wagombea wafika 26
Habari za SiasaTangulizi

Wanawake washika kasi Urais Z’bar, wagombea wafika 26

Fatma Kombo Masound
Spread the love

MBIO za kuwania Urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 zinazidi kushika kasi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya mwanamke wa tatu kujitoka kwenye harakati hizo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea).

Tangu shughuli ya uchukuaji na urejeshaji fomu ilipoanza tarehe 15 hadi 30 Juni 2020 imeshuhudia viongozi waliopo madarakani kama mawaziri, wakuu wa mikoa na watoto wa Marais wastaafu wa Zanzibar wakijitosa kwenye mbio hizo.

Leo Jumatano tarehe 24 Juni 2020, Fatma Kombo Masound amekuwa mwanamke wa tatu kuchukua fomu kuwania kumrithi Rais Ali Momahed Shein, ambaye anamaliza muda wake wa uongozi wa miaka 10.

Hasna Atai Masoud

Wanawake wengine waliojitosa kwenye kinyang’anyiro hicho  ambacho wagombea wamefikia 26 ni; Hasna Atai Masound aliyechukua fomu mapema leo Jumatano asubuhi na Mwatum Mussa Sultan.

Mara baada ya kukabidhiwa fomu hizo, Fatma aliwaeleza waandishi wa habari kwamba hana la kuzungumza na apewe fursa ya kwenda kuzisoma fomu hizo kujua anapaswa kufanya nini.

Mwantum Mussa Sultan akiwa na fomu za kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Wengine 25 waliokwisha kuchukua fumo ni;

  1. Mbwana Bakari Juma
  2. Ali Abeid Karume
  3. Mbwana Yahya Mwinyi :
  4. Omar Sheha Mussa
  5. Hussein Ali Mwinyi
  6. Shamsi Vuai Nahodha
  7. Mohammed Jaffar Jumanne
  8. Mohammed Hijja Mohammed
  9. Issa Suleiman Nassor
  10. Makame Mnyaa Mabarawa
  11. Mwatum Mussa Sultan
  12. Haji Rashid Pandu
  13. Abdulhalim Mohammed Ali
  14. Jecha Salum Jecha
  15. Dk Khalid Salum Mohammed
  16. Rashid Ali Juma
  17. Khamis Mussa Omar
  18. Mmanga Mjengo Mjawiri
  19. Hamad Yussuf Masauni
  20. Mohammed Aboud Mohammed
  21. Bakari  Rashid Bakari
  22. Hussein Ibrahim Makungu
  23. Ayoub Mohammed Mahmoud
  24. Hashim Salum Hashim
  25. Hasna Atai Masound

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!