Wednesday , 6 December 2023
Home Kitengo Michezo EPL hakuna kulala, michezo mitano kupigwa leo
Michezo

EPL hakuna kulala, michezo mitano kupigwa leo

Spread the love

LIGI Kuu England inaendelea tena leo kwa kupigwa michezo mitano ambapo Manchester United itashuka dimbani kuikabili Sheffield United kwenye dimba la Old Traford. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Michezo mingine kwenye ligi hiyo itaikutanisha Liverpool ambao wataikalibisha Crystal Palace, Norwich City dhidi ya Everton, Wolverhampton wanderers na Bournemouth na Newcastle United wataikabili Astorn villa.

Ligi hiyo ambayo ilisimama kwa miezi mitatu kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19, imesalia michezo nane kumalizika kwa msimu huu.

Mpaka sasa liverpool ndio vinara kwenye msimamo wa ligi akiwa na pointi 83, huku akifuatiwa na Manchester City mwenye pointi 63, Leicester city pointi 55 na nafasi ya nne akiwa Chelsea akiwa na pointi 51, na nafasi ya mwisho ikishwa na  Norwich yenye alama 21, huku klabu za Astornvilla, Bournemouth na West Ham United zikipambana kutoshuka daraja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Piga mkwanja wa kutosha katika usiku wa kibabe kati ya Man United vs Chelsea

Spread the love USIKU wa leo katika dimba la Old Trafford utapigwa mchezowa...

BiasharaMichezo

Mwana FA anogesha Tamasha la Exim Bima Festival

Spread the loveNAIBU Waziri Wa Utamaduni, Sanaa Na Michezo, Hamis Mwinjuma ‘Mwana...

Michezo

Manchester City dhidi ya Tottenham ni usiku wa kisasi

Spread the love KIPUTE kati ya klabu ya Manchester City dhidi yaTottenham Hotspurs...

Michezo

Wikiendi ya kutamba na Meridianbet hii hapa usikubali kuikosa

Spread the loveMERIDIANBET wanakwenda kukupa nafasi ya kutambawikiendi hii kupitia ODDS KUBWA walizoweka...

error: Content is protected !!