Friday , 26 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Prof. Muhongo atoa mapendekezo changamoto ufaulu shule za sekondari

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amewataka wazazi watimize wajibu wao wa malezi mazuri kwa wanafunzi wa shule za sekondari, yatakayowawezesha...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaja na ahadi ya “Taifa la Wote kwa Maslahi ya Wote”

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawaangukia Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Hii hapa ahadi ya ACT-Wazalendo kwa Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mchengerewa atangaza mabadiliko utalii, “sitaki mambo ya hovyo”

  WAZIRI mpya wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerewa amesema kuwa kwa kushirikiana na viongozi wenzake walioteuliwa hivi karibuni atahakikisha wanafanya mabadiliko na...

Habari za Siasa

Majaliwa atamani Mulugo ahamie Lindi

  KUTOKANA na kupungua kwa kero zilizokuwa zikiwakumba wananchi wa Jimbo la Songwe mkoani hapa, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumuunga...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amkumbuka Maalim Seif

  KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kinaendelea kumuenzi aliyekuwa Mwenyekiti wake Taifa, Maalim Seif Shariff Hamad, aliyefariki Dunia...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba anusurika kifo akitoka kuhutubia mkutano wa hadhara

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...

Habari za Siasa

Majaliwa aipongeza Tunduma kwa ukusanyaji mapato

  WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kuridhishwa na kasi ya ukusanyaji mapato uliopo katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe huku...

Habari za Siasa

Dk. Tax aongoza aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa mawaziri AU

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...

Habari za Siasa

Dk. Mpango akemea mivutano kati ya mawaziri na watendaji

  MAKAMU wa Rais, Daktari Phillip Mpango, amewataka mawaziri kuepuka mivutano kati yao na watendaji wizarani, badala yake washirikiane kuwaletea maendeleo wananchi. Anaripoti...

Habari za Siasa

CCM yatuma salamu kwa wapinzani Uchaguzi Serikali za Mitaa

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sophia Mjema, amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kitakachosumbua chama chake...

Habari za Siasa

AAFP yamkumbuka Hayati Magufuli, wampa neno Rais Samia

CHAMA cha Wakulima nchini (AAFP), kimesema kinamkumbuka aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, kutokana na kazi kubwa aliyofanya kulinda demokrasia...

Habari za Siasa

AAFP wapuliza kipyenga mikutano ya hadhara

CHAMA cha Wakulima nchini (AAFP), kimetangaza mpango wa kuanza kufanya mikutano ya hadhara kuanzia Februari 2023, baada ya kufanya mkutano wake mkuu kesho...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yaombwa kuchunguza mauaji wananchi, askari Serengeti

MBUNGE Viti Maalum, Esther Matiko, amemuomba Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, aagize Kamati ya Kudumu ya mhimili huo ya Ardhi, Maliasili na...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yafichua madhila wanayopitia vijana wa Dar

NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kimeiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto za uhaba wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atinga Polisi kuchukua gari lake “nataka nilipeleke makumbusho”

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametinga katika Ofisi ya Jeshi la Polisi mkoani Dodoma, kufuata gari...

Habari za Siasa

Majaliwa ampa maagizo mkandarasi, RC Dodoma

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza mkandarasi anayejenga Kituo cha Taifa cha Maafa katika mtaa wa Nzuguni Jijini Dodoma kumaliza ujenzi kwa wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Dk. Tulia achachamaa degree za heshima kuuzwa kama pipi

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema shahada za udaktari wa falsafa ‘degree za heshima’ zinazotolewa...

Habari za Siasa

Hoja ya Moshi kuwa Jiji yaibuliwa tena bungeni

  MBUNGE wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo, ameitaka Serikali kupandisha hadhi ya utawala miji iliyokidhi vigezo, pamoja na kugawa mikoa yenye ukubwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kauli ya Mwigulu yatibua Bunge, Spika aifuta

  KAULI ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba aliyoitoa bungeni kuwa “wabunge wajadili mambo mengine yanayohusu uganga” imeendelea kuutibua muhimili...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina akiwasha bungeni mkwamo marekebisho ya katiba

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amehoji bungeni jijini Dodoma, sababu za mchakato wa marekebisho ya katiba, kukwama licha ya Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari za Siasa

Ole Sendeka alitaka Bunge liache kulalamika, lichukue maamuzi

MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Olesendeka, amelitaka Bunge liache kulalamika kwa maamuzi yake iliyokwisha fanya, badala yake litoe maazimio ya kuwachukulia hatua watu wanaoshindwa...

Habari za Siasa

TEF yamwangukia Rais Samia muswada wa habari kukwama kuwasilishwa bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yatoa mapendekezo manne changamoto ukosefu ajira kwa vijana

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, imetoa mapendekezo manne kwa Serikali, juu ya namna ya kutatua changamoto za ukosefu...

Habari za Siasa

Jaji Biswalo aendelea kung’ang’aniwa fedha za ‘Plea Bargaining’, CUF wataka ajiuzulu

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, ajiuzulu cheo chake cha ujaji wa Mahakama Kuu, ili...

Habari za Siasa

Bunge labaini madudu mfumo ukusanyaji mapato, h’shauri tatu kikaangoni

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imedai kuwa, kuna changamoto ya uvujaji wa mapato ya Serikali...

Habari za Siasa

Mkuu wa wilaya ya Rungwe azindua vyumba sita vya madarasa vya thamani ya 64 mil

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amezindua vyumba sita vya madarasa katika shule ya Msingi Kinyangwa iliyopo Kijiji Cha Katunduru kata...

Habari za Siasa

Mbunge afurahia mabilioni ya Samia kutua jimboni

  MBUNGE wa Igunga, Nicholas Ngassa ameishukuru Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hasssan kwani...

Habari za Siasa

PIC yaishauri Serikali kuanzisha mfuko wa uwekezaji kusaidia mashirika ya umma

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), imeishauri Serikali ianzishe Mfuko Maalum wa Uwekezaji kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lalia msongamano wa mizigo bandari Dar es Salaam

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),limeishauri Serikali kuchukua hatua za kumaliza changamoto za msongamano wa shehena...

Habari za Siasa

Ongezeko la mapato lamkosha RC Songwe

  MKUU wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji Tunduma, Philimon Magessa kwa jitihada za ukusanyaji mapato...

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Dk. Mwigulu ajiuzulu uwaziri

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, kujiuzulu wadhifa wake ili kupisha uchunguzi wa...

Habari za Siasa

Mbatia, wenzake wakwaa kigingi, Mahakama yawatambua wajumbe wapya wa bodi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi wa kuwatambua wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha NCCR-Mageuzi,...

Habari za Siasa

DC aongoza kupanda miti 1,000 Rungwe kwa siku moja, mbolea, ruzuku kuendelea kusambazwa

MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ameongoza zoezi la Upandaji miti katika Kijiji cha Ijoka, Kata ya Mpombo Halmashauri ya Busokelo ikiwa...

Habari za Siasa

Miaka 46 ya CCM hakuna Mtanzania atayekufa njaa – Bashe

WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa na Serikali haitafunga mipaka ya nchi kwa kuzuia mfumuko wa bei ya...

Habari za Siasa

Spika Tulia aongeza kamati za kisekta bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameongeza kamati za kudumu za kisekta mhimili huo kutoka tisa hadi 11. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Akisoma...

Habari za Siasa

Chongolo aagiza Wami Ruvu kuongeza kasi usimamizi rasilimali za maji

  KATIBU mkuu wa chama cha mapinduzi Daniel Chongolo ameiagiza bodi ya maji bonde la wami Ruvu kuongeza kasi katika usimamizi wa rasilimali...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aungana na wananchi ujenzi maabara za sekondari

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, kwa kushirikiana na wananchi wa kata ya Nyamrandirira, mkoani Mara, wamechangia fedha na vifaa mbalimbali kwa...

Habari za Siasa

CCM apiga marufuku wazazi kuwatumia watoto wa kike kwenye mambo ya kimila

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amepiga marufuku tabia za wazazi na walezi nchini kuwatumia watoto wakike katika shughuli...

Habari za Siasa

Ofisi za mabalozi wa mashina zitumike kuwale vijana kimaadili – Chongolo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo ameagiza ofisi zote za mabalozi wa mashina nchini zitumike kuwalea na kuwajenga watoto katika...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo Dar wampa tano Rais Samia

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuunda tume ya kuangalia namna ya kuboresha mfumo wa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yaiangukia Serikali kunusuru wananchi Liwale, Nachingwea

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali kuchukua hatua za haraka kuwasaidia wananchi wa wilaya za Liwale na Nachingwea mkoani Lindi, wanaokabiliwa na baa...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo wanaokwamisha mradi Liganga na Mchuchuma kitanzani

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Zungu, watu wanaokwamisha utekelezaji wa mradi wa uchimbaji chuma cha Liganga na Makaa ya Mawe ya Mchuchuma,...

Habari za Siasa

Gridi ya Taifa kufumuliwa kukabiliana na katizo la mgao wa umeme

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba, amesema Serikali ina mpango wa kufumua gridi ya taifa, ili kuboresha miundombinu yake chakavu inayosababisha changamoto ya...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kuchunguza dawa za asili

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, imeitaka Serikali kudhibiti uuzaji holela wa dawa za asili zisizopimwa ubora,...

Habari za Siasa

Kada NCCR-Mageuzi aliyepotea aokotwa porini akiwa taabani, hajitambua

  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha NCCR-Mageuzi, Jovine Clinton, aliyepotea tangu tarehe 24 Januari 2023, amepatikana akiwa hajitambui katika pori...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yataka Jaji Mkuu, Jaji Biswalo wajiuzulu kupisha uchunguzi fedha za Plea Bargaining

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Jaji wa Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma na aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), ambaye kwa sasa...

Habari za Siasa

Kigogo ACT-Wazalendo: Vyama vya upinzani vilikosea kumpokea Membe, Lowassa

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema vyama vya upinzani vilifanya makosa kuwapokea baadhi ya makada waliotoka katika chama tawala...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yatoa tamko bungeni sakatala la viboko shuleni

  SERIKALI imewaagiza maafisa elimu wa mikoa na wilaya kuratibu usimamizi wa adhabu ya viboko shuleni, ili kuepusha vitendo vya walimu kutoa adhabu...

error: Content is protected !!