Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Samaki aibua hofu, akikung’ata huonani na mkeo miezi 6

  SAMAKI ni kitoweo pendwa kwa watu wengi duniani, hususani wakazi wa maeneo ya pwani na kando ya mito na maziwa. Lakini kwa...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza halmashauri kuvuna maji ya mvua

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo ameziagiza halmashauri zote kuhimiza uvunaji wa maji ya mvua...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene aipongeza LSF kuzindua mpango mkakati mpya 2022/2026

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada wa Kisheria (LSF)...

Habari Mchanganyiko

Mgao wa maji Dar, Majaliwa atoa saa 72

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku tatu (sawa na saa 72) kuanzia leo Jumatatu tarehe 15 Novemba 2021, kwa wasimamizi...

Habari Mchanganyiko

NBC yaendelea kumwaga zawadi washindi ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’

  MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dastan Kyobya  ameiomba Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuangalia uwezekano wa kuongeza zaidi matawi yake katika...

Habari Mchanganyiko

Mkazi Dar ajishindia pikipiki ya NMB Bonge la Mpango

  MSHINDI wa Droo ya Nne ya Msimu wa Pili wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde inayoendeshwa na Benki ya NMB ‘NMB...

Habari Mchanganyiko

NMB yatwaa tuzo ya MasterCard

  BENKI ya NMB imekuwa benki ya kwanza nchini kupata tuzo ya MasterCard kutokana na mafanikio makubwa waliyoyaonesha kwa wateja wao katika matumizi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu atoa maagizo mazito sekta ya misitu

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameuagiza Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) kuendelea kuwawezesha wajasiriamali wanaowekeza kwenye misitu kwa kuwapatia ruzuku itakayowezesha kunufaika na...

Habari Mchanganyiko

Ma-RC wapigwa msasa anuani za makazi

WIZARA ya Habari Mawasiliano na Teknologia ya Habari imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wakuu wa mikoa Tanzania juu ya umuhimu wa matumizi na...

Habari Mchanganyiko

Magari matano yagongana Mbezi Kwa Yusufu

  AJALI mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi, tarehe 13 Novemba, 2021 katika maeneo ya Mbezi kwa Yusufu, Dar es Salaam baada...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Vijiji 10,361 vyafikishiwa umeme, bado 1,956

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme hususan maeneo ya vijijini ambapo hadi sasa jumla ya...

Habari Mchanganyiko

Vichwa vya treni vilivyotelekezwa TPA vyapata mwenyewe

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amemaliza utata uliodumu kwa zaidi ya miaka mitatu juu ya vichwa 11...

Habari Mchanganyiko

Bima ya majeneza yaanzishwa Tanzania

KWA kile kinachoonekana si jambo la kawaida kutokea katika jamii, kampuni ya huduma za mazishi ya Goodmark imeanzisha huduma ya bima ya majeneza,...

Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 16 kwa tuhuma za...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa mapendekezo kuiomba   Tanzania ikubali hoja za UN

  MASHIRIKA yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yametoa mapendekezo manne ili kuiomba   Serikali ya Tanzania,  iyakubali mapendekezo yaliyotolewa na nchi wanachama wa Umoja wa...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro apangua makanda wa polisi

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yamnasa ‘kishoka wa umeme’ aliyedaiwa kuwatapeli wanakijiji Songwe

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Songwe imemnasa Eliam Fiabo anayedaiwa kuwa mkandarasi kwa tuhuma za kukusanya fedha kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ziarani Misri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Jumatano tarehe 10 Novemba 2021, ataondoka nchini kwenda Cairo, nchini Misri kwa ziara ya kiserikali...

Habari Mchanganyiko

Watanzania milioni 47 wapata umeme, mwaka 1961 ilikuwa mikoa 2 tu!

  WIZARA ya Nishati wakati Tanganyika (Tanzania Bara) inapata uhuru mwaka 1961 ni mikoa miwili pekee ndiyo iliyokuwa na nishati ya umeme ikilinganishwa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupa pingamizi lingine la kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...

Habari Mchanganyiko

NBS: Mfumuko wa bei haujapanda Oktoba

  MFUMKO wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2021 umebaki kuwa asilimia 4.0 kama ilivyokuwa kwa mwezi Septemba 2021. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yaendeleza udhamini wa upasuaji midomo sungura

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission ya Australia kwa mara nyingine mwaka huu imeendeleza udhamini...

Habari Mchanganyiko

Sabaya atoa hoja 10 kupinga kifungo miaka 30 jela

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha nchini Tanzania, imepokea maombi ya rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai...

Habari Mchanganyiko

Utafiti uboreshaji wa usafiri wa reli mijini kuanza jijini Dar

  SHIRIKA la Maendeleo la Kimataifa la Japani (JICA) kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na Shirika la Reli Tanzania (TRC)...

Habari Mchanganyiko

Serikali yagongelea msumari sakata la wamachinga

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ummy Mwalimu, ameziagiza halmashauri kupanga miji upya, ikiwemo kuwaondoa wafanyabiashara wadogo ‘wamachinga’, katika maeneo yasiyo rasmi....

Habari Mchanganyiko

Vijana waitwa mapambano dhidi ya mimba za utotoni, UKIMWI

  TAASISI ya Young and Alive Initiative (YAI), imeanza kusaka Vijana, kwa ajili ya programu maalumu ya kuwajengea uwezo watu wa rika hilo...

Habari Mchanganyiko

Vijana waanisha changamoto tano wanazopitia

  VIJANA nchini wamesema iwapo Serikali itahakikisha changamoto ya elimu, afya, ajira, uongozi na taarifa zitapatiwa ufumbuzi kundi hilo litaweza kupata maendeleo na...

Habari Mchanganyiko

TPA wafanya mageuzi uwekezaji wa vifaa kazi

  MAMLAKA ya Bandari nchini (TPA), imefanya mageuzi makubwa ya uwekezaji kwenye vifaa vya kazi ambao, ukikamilika utakuwa na thamani ya sh bilioni 500....

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu mgeni rasmi maadhimisho miaka 10 ya LSF

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika madhimisho ya miaka 10 ya Shirika la Legal Services Facility (LSF) yanayotarajiwa kufanyika tarehe...

Habari Mchanganyiko

Wanawake 2000 wapatiwa msaada kutatua migogoro ya ardhi

MWAKA 2018 LSF ilizindua mpango wake wa uwezeshaji wa wanawake waishio mijini ili wapate uelewa wa kisheria kuhusu masuala ya haki za mazingira,...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu Katoliki wapata ajali Chato

  MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu la Tabora na Severin Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge-Ngara mkoani Kagera,...

Habari Mchanganyiko

Serikali Yapongeza Jitihada Za Shirika la Bima Zanzibar Kuboresha Upatikanaji Huduma

  KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango, Dk. Juma Malik Akili amepongeza jitihada zinazoendelea kufanywa na Shirika la Bima Zanzibar (ZIC)...

Habari Mchanganyiko

TAWA yawataka wawekezaji kuchangamkia fursa utalii

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imetoa wito kwa wadau wa utalii kuwekeza katika maeneo ya vitalu 12 vya uwekezaji maalumu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia afanye uteuzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Profesa Maulid Mwatawala kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Athari za mabadiliko ya tabianchi hazichagui tajiri wala maskini

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema athari za mabadiliko ya tabianchi hazichagui nchi tajiri wala maskini hivyo kuna umuhimu kwa mataifa yote duniani kuwa...

Habari Mchanganyiko

RC Mbeya akoshwa na jitihada za Benki ya Exim kuwahudumia wafanyabiashara

  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Zuberi Homera  ameonyesha kuridhishwa na huduma pamoja na jitihada za Benki ya Exim katika kuwahudumia wafanyabiashara...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa bilioni 9.2 kutekeleza Mpango wa Uwajibika kwa Jamii

Kampuni ya Anglogold Ashanti – Geita Gold Mining Limited(GGML) na Halmashauri ya Mji Geita na halmashauri ya Wilaya ya Geita,zimetiliana saini Mkataba wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia afanya uteuzi akiwa Scotland

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Nicolaus Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Taharuki ajali Mbezi Mwisho, mama muuza mihogo adaiwa kufariki, dereva ala kichapo

  TAHARUKI imeibuka katika mitaa ya Mbezi – Mwisho baada ya daladala aina ya Coaster inayofanya safari zake Mbezi – Mkata kumgonga mama...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua bima ya wavuvi, Waziri Ndaki atoa wito

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amewataka wavuvi nchini kuchangamkia bima maalum ijulikanayo kama Jahazi, ili iwasaidie kuwakinga wanapokumbwa na majanga mbalimbali....

Habari Mchanganyiko

Megawati 700 za nishati jadidifu kuzalishwa 2024

  KATIKA kukabiliana na changamoto ya umeme nchini Serikali imesema itashirikiana na wawekezaji kuzalisha megawati 700 za nishati jadidifu ifikapo mwaka 2024. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene atoa siku 30 kwa wanaomiliki silaha haramu kuzisalimisha

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa watu wote wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha ndani ya muda...

Habari Mchanganyiko

Makinda aziangukia AZAKI kuhamasisha sensa 2022

  KAMISHINA wa Sensa na Makazi ya Watu nchini Anna Makinda ameziomba Asasi za kiraia kuwahamasisha watanzania kujitokeza kuhesabiwa wakati wa siku ya...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo waliodaiwa ‘wavamizi’ wamwangukia Biteko

  WACHIMBAJI wadogo wa Madini ya Dhahabu katika Kijiji cha Mwasabuka Kata ya Iyenze wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wamelalamikia kitendo cha kutimuliwa na...

Habari Mchanganyiko

Mjane aliyeporwa ardhi na kujengwa kituo cha afya, amvaa RC Songwe

  MKAZI wa kata ya Magamba wilayani Songwe mkoani Songwe, Kabula Kuba ambaye pia ni mjane, ameibuka katika Mkutano wa Mkuu wa mkoa...

ElimuHabari Mchanganyiko

TAMWA yalaani tuhuma za ngono UDOM yaipa ujumbe Takukuru

  CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania, (TAMWA) kinalaani tukio la Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Peter Mswahili kutuhumiwa kujihusisha na mahusiano...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za ngono, zamsimamisha Mhadhiri UDOM

  CHUO kikuu cha Dodoma (UDOM) nchini Tanzania, kimemsimisha kazi Mhadhiri wake, Petro Bazil Mswahili ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ngono kati...

Habari Mchanganyiko

NMB yapata faida ya kihistoria bilioni 211

  BENKI ya NMB nchini Tanzania imevunja rekodi kwa mara nyingine kwa kupata faida ya Sh.211 bilioni baada ya kodi, ikiwa ni ongezeko...

Habari Mchanganyiko

Membe: Cyprian Musiba popote ulipo leta pesa zangu

  DAKIKA chache baada ya Aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe kumbwaga Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba katika hukumu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aitaka mahakama kutoa hukumu, maamuzi ya haki

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa mahakama kuendelea kutoa hukumu na maamuzi ya haki kwa watu wote kwani hata vitabu vya...

error: Content is protected !!