Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP Sirro apangua makanda wa polisi
Habari Mchanganyiko

IGP Sirro apangua makanda wa polisi

IGP Simon Sirro
Spread the love

 

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mikoa iliyokumbwa na pangua-pangua hiyo ni Dar es Salaam, Katavi, Manyara, Dodoma na Mwanza.

Mabadiliko hayo yametangazwa leo Jumatano, tarehe 10 Novemba 2021 na David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi akisema “uhamisho na mabadiliko haya ni ya kawaida yenye lengo la kuboresha ufanisi katika kutekeleza jukumu la kulinda maisha ya watu na mali zao.

Undani wa mabadiliko hayo; soma taarifa yote ya Kamanda Misime

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!