Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni
Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni

Kamanda Polisi wa Kanda ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo
Spread the love

 

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 16 kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka minne na baadaye kupoteza maisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 11 Novemba 2021 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amesema, mtuhumiwa huyo jina linahifadhiwa kwa sasa.

Kamanda Muliro amesema, tukio hilo lilitokea jana Jumatano, tarehe 10 Novemba 2021 saa 3 asubuhi maeneo ya Chamazi Mbande wilaya ya Temeke.

“Uchunguzi wa kina juu ya tukio hilo unafanyika na hatua za kisheria wakati wa uchunguzi zitazingatiwa ili haki itendeke,” amesema Muliro

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!