Friday , 26 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Majina 19 waliofariki ajali ya ndege Bukoba yatajwa, wamo Rubani na msaidizi wake

  MAJINA ya watu 18 kati ya 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Jumapili asubuhi katika Ziwa Victoria...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awajulia hali manusura ajali ta ndege Bukoba

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kagera kushuhudia zoezi la uokoaji wa Ndege ya Shirika la Precision Air iliyopata ajali katika Ziwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

19 wafariki dunia ajali ya ndege Bukoba

WATU 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo...

Habari Mchanganyiko

Soko Misungwi latumika miaka 34 bila choo

MWENYEKITI wa Serikali ya Kijiji cha Mabuki- Kata ya Mabuki -Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza Selemani Masoud amesema kuwa Soko la...

Habari Mchanganyiko

Mtoto mchanga ni miongoni mwa abiria waliopata ajali-Precision

KAMPUNI ya ndege ya Precision imetoa taarifa ya uwepo wa mtoto mchanga mmoja miongoni mwa abiria 39 waliokuwa kwenye ndege iliyopata ajali Bukoba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watatu wapoteza maisha ajali ya ndege Bukoba

WATU watatu kati ya 27 waliookolewa hadi sasa wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision iliyotokea Bukoba mkoani Kagera....

Habari MchanganyikoTangulizi

Watu 26 kati 43 waokolewa katika ajali ya ndege Bukoba

  MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila, amesema watu 26 wameokolewa kati ya 43 waliokuwa kwenye ndege ya Precision ambayo imepata ajali...

Habari Mchanganyiko

Ajali ya ndege Bukoba; Samia awataka Watanzania kuwa watulivu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaasa Watanzania kuwa watulivu wakati zoezi la uokoaji linaendelea katika na ajali ya ndege namba PW 494 ya...

Habari Mchanganyiko

Kiwanda cha iphone China chatoa ahadi ya kudhibiti Uviko 19

  KIWANDA cha Iphone cha Zhengzhou, China kimetoa ahadi ya kuhakikisha usalama kwa wafanyakazi walioamua kuondoka na wale watakaobaki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Polisi wafunguka ajali ya Bukoba

  JESHI la Polisi mkoani Kagera limetoa taarifa ya awali ya ajali ya Ndege ya Precision Air iliyotokea leo tarehe 6 Novemba, 2022...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndege ya Precision ‘yaanguka’ Bukoba

  NDEGE ya kampuni ya Precision kutoka Tanzania, iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam, kuelekea Bukoba, imepata hitilafu na kulazimika kutua majini mjini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makamba aanika mikakati kutekeleza maagizo ya Samia kuhusu nishati safi

KATIKA kuhamasisha Watanzania kuachana na nishati chafu ya kupikia na kuhamia kwenye nishati safi, Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kwa mwaka huu...

ElimuHabari Mchanganyiko

SUMAJKT yatoa msaada jozi 500 za viatu kwa wanafunzi vijijini

  SHIRIKA la Uzashaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa SUMAJKT imekabidhi jozi 500 za viatu vya wanafunzi kwa ajili ya kusaidia kampeni...

Habari Mchanganyiko

KOICA, WFP kuwanufausha wakulima, wakimbizi 228,000

  SHIRIKA Maalum la Serikali ya Jamhuri ya Korea (KOICA) na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), yanatarajia kutoa dola za Marekani...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataja changamoto uzimaji moto Mlima Kilimanjaro

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema uwepo wa upepo unaobadilisha mwelekeo mara kwa mara ni miongoni mwa changamoto za kukabiliana na...

Habari Mchanganyiko

Wachenjuaji wadogo sasa kusimamiwa kisheria

  BUNGE la Tanzania limepitisha marekebisho ya Sheria ya Madini Sura ya 123 ili kuongeza leseni ndogo ya uchenjuaji wa madini katika orodha...

Habari Mchanganyiko

RUWASA kuvuka lengo la 85% ifikapo 2025

  WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), unatarajia kuvuka lengo la kutoa huduma ya maji vijijini kwa asilimia 85 ifikapo...

Habari Mchanganyiko

Wa-Ethiopia 24 mbaroni, wengine 23 washikiliwa kwa makosa mengine Mbeya

JESHI la Polisi mkoani Mbeya, kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama, limewakamata raia 27 wa Ethiopia kwa madai ya kuingia nchini kinyume...

Habari Mchanganyiko

TMA yataja utekelezaji wa majukumu na mafanikio yake 2022/23

MAMLAKA ya hali ya Hewa Tanzania (TMA), inesema katika utelekezaji wa majukumu yake katika mwaka wa fedha 2021/22 wamepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kuongezeka...

Habari Mchanganyiko

Exim yaja na “Chanja Kijanja, Kimasta Zaidi’’ kuhamasisha malipo kwa njia ya kadi

BENKI ya Exim Tanzania imezindua kampeni maalum inayolenga kuwashawishi wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard kufanya miamala zaidi kwa kutumia kadi hizo badala...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ruzuku yaendelea kushusha bei ya mafuta

  MAMLAKA  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo...

Habari Mchanganyiko

Mgawo wa maji wamuibua Prof. Lipumba, amtahadharisha Rais Samia

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ameishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuja na mipango endelevu ya kutumia mabonde...

Habari Mchanganyiko

Uhaba wa maji; Samia awataka RC Dar, Pwani, Dawasa wakasafishe Ruvu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaagiza wakuu wa mikoa ya Dar es Salaam, Amos Makala; Mkuu wa mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge na...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC kutoa hatifungani za Bil 30/- kuinua wajasiriamali

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC ) imetangaza utoaji wa hati fungani ya miaka mitano inayofahamika kama NBC Twiga bond, yenye thamani...

Habari Mchanganyiko

Mfuko wa nishati safi ya kupikia kuanzishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan mesema kuanzia bajeti ijayo Serikali itatenga fedha nzuri kuanzia mfuko wa nishati safi ya kupikia lengo likiwa ni...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa kuongoza kikosi kazi cha nishati safi ya kupikia

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwe kikosi kazi ambacho kitashughulikia nishati safi ya kupikia kitakachotoa mapendekezo pamoja na dira ya miaka 10...

Habari Mchanganyiko

RC Makala: Lita milioni 70 zinaingizwa mjini kupunguza mgawo wa maji

  MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla leo Jumanne ametangaza kwamba leo usiku lita milioni 70 za maji zitaingizwa katika...

Habari Mchanganyiko

THRDC:Marekebisho ya sheria za habari yataiheshimisha TZ kimataifa

MCHAKATO wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari nchini, umetajwa kuirudisha heshima ya Tanzania kimataifa, katika masuala ya ulinzi wa uhuru wa...

Habari Mchanganyiko

Wanusurika kifo kwa kuchomwa moto kisa wivu wa mapenzi

  WINIFRIDA Wambura, na watoto wawili, wamenusurika kufariki dunia baada ya mkwe wake, Naim Byabato, kuchoma moto nyumba kwa sababu ya wivu wa...

Habari Mchanganyiko

Zawadi NMB MastaBata kuwakwamua wateja kiuchumi

MSIMU wa nne wa kampeni ya NMB MastaBata tayari umeanza baada ya promosheni hiyo ya kuchagiza malipo kidijitali kuzinduliwa Mbeya huku sehemu ya...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi wa Bodi TMA aipongeza kwa kutekeleza mikataba ya Baraza la Wafanyakazi

  MWENYEKITI  wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi ameipongeza TMA kwa kutekeleza Mkataba waBaraza kwa kuhakikisha wajumbe wa Baraza wanakutana mara...

Habari Mchanganyiko

ACT wazalendo: Watanzania kukosa maji ni uzembe wa Serikali

WAKATI mjadala wa uhaba wa maji nchini ukiendelea kushika kasi Chama cha ACT-Wazalendo kimesema  Tanzania haipaswi kukumbwa na changamoto hiyo kwa kuwa kuna...

Habari Mchanganyiko

RC Makala azindua tawi la NBC Kigamboni

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amezindua tawi jipya la Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) lililopo eneo la Kibada...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawapa matumaini wanahabari kuhusu sheria kandamizi

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema mchakato wa marekebisho ya sheria za habari unakwenda vizuri na kwamba hivi karibuni Waziri wa...

Habari Mchanganyiko

  Uwekezaji Kidijitali – NMB yaendelea kukuza Uchumi wa Buluu

BENKI ya NMB imekuwa mstari wa mbele kwa ubunifu katika sekta ya TEHAMA kwa kutoa masuluhisho mbalimbali kwa wateja wake wa nyanja zote. NMB...

Habari MchanganyikoTangulizi

Daraja jipya la Wami laanza kutumika

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu Magari kuanza kutumia daraja jipya la wami kufuatia Ujenzi wake kukamilika kwa asilimia...

Habari Mchanganyiko

Rungwe amuangukia Rais samia uhuru wa habari

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chauuma), Hashimu Rungwe amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuzifuta sheria zote kandamizi kwa vyombo vya...

Habari Mchanganyiko

Watanzania sasa kutuma na kupokea Pesa nchi za SADC

  KAMPUNI ya simu za Mkononi ya Vodacom imezindua huduma  ya Vodacom M-Pesa inayoitwa “Dunia Kijiji, Afrika ni M-Pesa” ambayo inawawezesha Watanzania kutuma...

Habari Mchanganyiko

Korea yaipatia Tanzania mkopo wa bilioni 310

SERIKALI ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa Sh bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi...

Habari Mchanganyiko

Msajili wa Hazina akusanya bilioni 853

OFISI ya Msajili wa Hazina imekusanya zaidi ya Shilingi bilioni 852.98 ikiwa ni mapato yasiyokuwa na kodi kutoka katika mashirika mbalimbali ambayo yanasimamiwa...

Habari Mchanganyiko

Huduma za fedha za simu za mkononi zinaweza kukuza kiwango cha uchumi wa taifa

UTAFITI mpya umeonesha kuwa matumizi fanisi ya huduma za fedha za simu za mkononi yana mchango wa moja kwa moja katika ukuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Kukabiliana na ukame, Bodi ya Maji yasitisha vibali 12 vya watumia maji

BODI ya maji Bonde la Wami Ruvu katika kulinda vyanzo vya maji imelazimika kusitisha vibali 12 vya watumiaji maji mkoani Morogoro ili kupunguza...

Habari Mchanganyiko

Benjamini Mkapa yaokoa bilioni 3.881 matibabu ya kibingwa

HOSPITALI ya Benjamini Mkapa iliyopo Jijini Dodoma imeokoa kiasi cha Sh. bilioni 3.881 tangu ilipoanza kutoa huduma ya upandikizaji wa figo, upanuaji wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuleta neema ya 16.5 trilioni kupitia mradi wa LNG

UTAFITI wa Benki ya Stanbic umebaini kuwa mradi wa kuchakata gesi asilia (LNG) uliofufuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan utaingiza zaidi ya dola...

Habari Mchanganyiko

TMA tangaza utabiri wa msimu wa mvua za Mwaka, watoa ushauri

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza utabiri wa Msimu wa Mvua za Mwaka unaotarajiwa kuanza mwezi Novemba 2022 na kumalizika Aprili...

Habari Mchanganyiko

Waliofukuzwa kwa vyeti feki kuanza kurejeshewa michango ya hifadhi ya jamii Novemba Mosi

  KUANZIA Novemba Mosi, 2022 utekelezaji wa ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwarejeshea michango yao wale wote waliofukuzwa kazi kwasababu ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndumbaro: Wanahabari wakati ni huu

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewataka wadau wa habari nchini kupambana ili kubadili sheria za habari nchini huku akieleza...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya madiwani Ngorongoro: Mahakama yaipa siku 14 Jamhuri

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeuamrisha upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya madiwani wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda: Vyombo vya habari vikiwa huru vitaisaidia Serikali

  KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda amesema vyombo vya habari vikiwa huru vinaisaidia Serikali...

error: Content is protected !!