Friday , 26 April 2024

Month: May 2019

Habari Mchanganyiko

Polisi hawapaswi kumpiga mtuhumiwa

BUNGE limeelezwa kuwa, polisi hatakiwi hatakiwi kumpiga au kumtesa mtuhumiwa wa makosa mbalimbali, wakati akiwa mikononi mwake au kwenye Kituo cha Polisi. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

Ujerumani, JWTZ waongeza muda wa mkataba

SERIKALI ya Ujerumani imeongeza muda wa mkataba wa ushirikiano wake na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika masuala mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa maji kumaliza tatizo la wananchi kuchangia maji na wanyama

WAKATI zaidi ya 16, 000 wa vijiji vya Nyansenga, Kawekamo na Nyampande, Sengerema mkoani Mwanza wamesema wamekuwa wakiamka usiku wa manane kwenda kutafuta...

Habari za Siasa

Chadema: Mdude amejeruhiwa kichwani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza maendeleo ya afya ya mwanachama wake Mdude Nyagali, amejeruhiwa kichwani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Kwa...

Habari za Siasa

Makonda abanwa mbavu madhabahuni

KAULI ya Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwamba, hakuwahi kutegemea kuona Mchaga angeweza kutoa msaada kwa walemavu na kwamba,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Shoo akemea ubaguzi nchini

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo, amekemea tabia ya baadhi ya viongozi, kupandikiza chuki za ubaguzi...

Habari za Siasa

Waziri asikia kilio cha Mch. Msigwa

KAULI ya Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwamba, ni marufuku madaktari, wakunga na wauguzi nchini kufukuzwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mshtuko! Mdude wa Chadema apatikana akiwa hoi

MWANAHARAKATI na Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali amepatikana akiwa hoi baada ya kutupwa kwenye Kijiji cha Mkwenje, Kata...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mengi avunja rekodi ya mapokezi nchini

MAELFU ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kilimanjaro na mkoa jirani wa Arusha, wamejitokeza kuupokea mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa makampuni...

Habari Mchanganyiko

TADB Benki yatuhumiwa kupendelea wake wa vigogo

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), imedaiwa kutoa mikopo kwa kupendelea zaidi wake wa vigogo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Akiuliza swali bungeni...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Wamepanga kunikamata 

MAALIM Seif Shariff Hamad, mwanachama namba moja wa Chama cha ACT-Wazalendo amedai kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Jeshi la Polisi wamepanga kumkamata...

Habari Mchanganyiko

Mch. Gwajima: Hii ni vita, nainua makombora

ASKOFU Josephat Gwajima, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima nchini amesema, kusambazwa kwa video ya ngono inayodaiwa kuwa yake, ni vita kwake na...

Habari Mchanganyiko

DCI, Jeshi la Polisi lachunguza video inayodaiwa ya Mch. Gwajima

JESHI la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza uchunguzi wa video ya ngono, inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii inayodaiwa kuwa ni...

Habari za Siasa

Mbunge Msigwa amshitaki RC Hapi kwa waziri

MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa (Chadema) amemshitaki Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwili wa Dk. Mengi watua Kilimanjaro

MWILI wa Dk. Reginald Mengi, aliyekuwa mwenyekiti wa kampuni zilizo chini ya IPP Group, tayari umewasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Magufuli, Alhaj Mwinyi, Makinda wamuaga Dk. Mengi

RAIS John Magufuli ameongoza mamia ya Watanzania ikiwemo viongozi wa serikali, wanasiasa na wafanyabiashara kuuaga mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni zilizo...

Habari Mchanganyiko

Bila ya Mzee Mengi labda ningekuwa kipofu – Kubenea

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea amesema, hatosahau msaada wa hali na mali aliopata kutoka kwa Marehemu Dk. Reginald Abraham Mengi, alipomwagiwa tindikali mwaka...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi ateua wenyeviti 20 wa mabaraza ya ardhi

WILLIAM Lukuvi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amewateua wenyeviti 20 wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya kwa kipindi...

Habari Mchanganyiko

Polepole: Watu mashuhuri wanaokufa ni wa CCM

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikati na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema, watu wengi mashuhuri wanaokufa huwa wanachama wa chama hicho. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kuagwa Mengi: Viongozi wa dini watoa ujumbe maalum

VIONGOZI mbalimbali wa dini nchini, wametoa ujumbe maalum wa amani, upendo na umoja wakati wa ibada ya kuagwa Dk.  Reginald Abraham Mengi katika viwanja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maelfu wajitokeza kumlaki Dk. Mengi

MAELFU ya watu jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kuupokea mwili wa aliyekuwa mwenyekiti wa kampuni ya Industrial Projects Promotion (IPP Limited), Dk. Reginald...

Habari za Siasa

Bunge laagiza Mdude wa Chadema atafutwe

SAKATA la kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagawa limetua bungeni ambapo sasa, Bunge limetaka maelezo kujua alipo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za Siasa

Chadema: Tumemshtukia JPM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kushtukia ujanga unaotaka kufanywa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao. Anaripoti...

Habari za Siasa

Waziri atetea mbinu ya trafiki kujificha

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema, mbinu ya askari wa usalama barabarani (Trafiki) kujificha kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Zitto, Nape, Polepole wafika na ujumbe msibani kwa Dk. Mengi

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini na Humphrey Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, wamekutana nyumbani kwa Marehemu Dk. Reginald Abraham Mengi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Buguruni, Ilala, Kinondoni, Mwenge kushuhudia mwili wa Dk. Mengi

MWILI wa Dk. Reginald Abraham Mengi, aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni zilizo chini ya IPP Group, unatarajiwa kuletwa leo saa 8:30 mchana. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha Mengi: Rais Kikwete astaajabu

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amestaajabu uzushi unaosambazwa mitandaoni kuhusu kifo cha Dk. Reginald Mengi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Dk. Kikwete ambaye aliongoza nchi hii...

Habari Mchanganyiko

Ujerumani yaipa Tanzania msaada wa Bil 330

SERIKALI ya Tanzania imepewa msaada wa zaidi ya Sh. 330 bilioni na Serikali ya Ujerumani. Ni kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa...

Habari Mchanganyiko

Waislam watoa pole kifo cha Dk. Mengi

BARAZA la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limetoa pole kwa familia ya Dk. Reginald Abraham Mengi kutokana na kifo cha Mzee Mengi, kilichotokea Dubai, Falme...

Habari za SiasaTangulizi

Vituko Bunge la Spika Ndugai

STAILI ya kutishia kuvua nguo iwapo jambo fulani lisipotendwa ama kuthibiti, imeanza kupata umaarufu ndani ya Bunge la Jamhuri. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea)....

Habari za Siasa

Msukuma: Nagu umetumwa?

PENDEKEZO la wabunge kutaka kuwabebesha mzigo wananchi kwa kuongeza Sh. 50 kwa kila lita ya mafuta ya petroli na dizeli, limesababisha wabunge wa...

Habari Mchanganyiko

Wanasiasa, wasanii waomboleza kifo cha Dk. Mengi

MAMIA ya waombelezaji wameendelea kumiminika nyumbani kwa Dk. Reginald Mengi Hananasif, Kinondoni, jijini Dar es Salaam kutoa salamu za pole huku wakimuelezea marehemu...

Habari Mchanganyiko

TEF yatoa rai kwa serikali

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeishauri serikali kuunda chombo maalumu, kitakachofanya kazi ya kutoa mwongozo kwa wanahabari na vyombo vya dola, juu ya...

Habari za Siasa

Wasomi wananiangusha – Rais Magufuli

RAIS John Magufuli ameeleza kusikitishwa na wasomi anaowateua kwenye nafasi mbalimbali kwamba, wengi wao wanamwangusha. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Rais Magufuli ametoa...

Habari za Siasa

Ngono vyuoni: Rais Magufuli afura

VITENDO vinavyoashiria ngono katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), vimemchefua Rais John Magufuli. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea). Akizungumza katika hafla...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwili wa Dk. Mengi kuwasili Jumatatu, kuzikwa Alhamisi

MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, unatarajiwa kuwasili nchini Jumatatu wiki ijayo, kutoka Dubai,  Umoja wa Falme...

Habari Mchanganyiko

Wanaume mnaonyanyaswa jitokezeni – Serikali

SERIKALI imewataka wanaume wanaonyanyaswa kijinsia na wake zao, kutoa taarifa kwenye madawati ya kijinsia. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa...

Habari Mchanganyiko

Kilio kingine, Wakili atoweka pasipojulikana

KILIO kimeibuka kwenye familia ya Wakili Maneno Mbunda, Mwanasheria wa Hifadhi ya Wanyama ya Arusha kwa kudaiwa kukamatwa na watu wasiojulikana. Anaripoti Faki...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema aiwakia serikali

HATUA ya serikali kuahidi miradi mikubwa na kisha kuitekeleza, imemkera Gimbi Masaba, Mbunge wa Viti Maalum (Chadema). Anaripoti Dandoson Kaijage, Dodoma … (endelea). Masaba ameitaka...

Habari Mchanganyiko

Matukio uvunjifu wa haki kukusanywa kidigitali

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) kimezindua mfumo wa kidigitali wa kukusanya taarifa za matukio ya uvunjifu wa haki za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Spika Ndugai amwaga ‘wasifu’ wa Dk. Mengi

BAADHI ya mambo yaliyofanywa na Marehemu Dk. Reginald Abraham Mengi ambayo hayajulikani kwa ukubwa wake, yameelezwa na Job Ndugai, Spika wa Bunge. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Magufuli: Sikustahili urais

RAIS John Magufuli amesema kuwa, hakustahili kuwa Rais wa Tanzania bali Watanzania wenyewe ndio waliomchagua. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema, wananchi wa...

Habari Mchanganyiko

Ratiba ya Msiba wa Dk. Mengi kesho, Makonda, Rungwe watoa neno

RATIBA ya Msiba wa Reginald Mengi, Mkurugenzi wa Kampuni  za IPP zitafahamika kesho saa saba mchana. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Akizungumza na...

Habari Mchanganyiko

TARURA yajipa jukumu kutafutia kazi watoza ushuru magari

WAKALA wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Mwanza, umewataka wakusanya ushuru wa maegesho ya magari waliokosa nafasi za kazi kujiunga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbowe: Msiba wa Dk. Mengi hasara kwa Taifa

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa  amesema kuwa, msiba wa Dk. Reginald Abraham Mengi ni msiba kwa taifa. Anaripoti Faki Sosi...

Kimataifa

Kanisa Katoliki Sri Lanka lasitisha ibada

KANISA Katoliki nchini Sri Lanka limesitisha ibada zake kwa maelezo ya kujihami na shambulio la kigaidi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo...

Habari za Siasa

Waziri ampinga Mbunge CCM

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni amesema, hakuna utaratibu wa askari polisi kutoa fedha zao mfukoni kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Magufuli, Nape, Kibanda wamlilia Reginald Mengi

KIFO cha Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Media, Dk. Reginald Mengi klilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 2 Mei 2019, kimeshtua wengi ikiwemo...

Habari MchanganyikoTangulizi

BREAKING NEWS: Reginald Mengi afariki dunia

REGINALD Mengi, Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP na mfanyabiashara mkubwa nchini, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo tarehe 2 Mei 2019. Anaripoti Bupe...

Habari za SiasaTangulizi

Mei Mosi: Zitto apasuka

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amepinga sababu zilizotolewa na Rais John Magufuli za kutopandisha mishahara ya Watumishi wa Umma kwa miaka...

error: Content is protected !!