Saturday , 10 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Mwili wa Dk. Mengi watua Kilimanjaro
Habari MchanganyikoTangulizi

Mwili wa Dk. Mengi watua Kilimanjaro

Spread the love

MWILI wa Dk. Reginald Mengi, aliyekuwa mwenyekiti wa kampuni zilizo chini ya IPP Group, tayari umewasili kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA). Anaripoti Hamisi Mguta, Kilimanjaro … (endelea).

Viongozi mbalimbali wa serikali, mila, ndugu, jamaa na marafiki mkoani humo, wamejitokeza kuulaki mwili wa Dk. Mengi ambaye ulibebwa na Shirika la Ndege la Precision asubuhi ya leo tarehe 8 Mei 2019 na kutua KIA.

Dk. Mengi anatarajiwa kuzikwa kesho tarehe 9 Mei 2019 kijijini kwake Machame, Moshi baada ya shughuli ya ibada na taratibu zingine kufanyika.

Mfanyabiashara huyo (Dk. Mengi), alifariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 2 Mei 2019 Dubai, Falme za Kiarabu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

MichezoTangulizi

Benki ya NBC yakabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu kwa Yanga

Spread the loveMDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya...

BiasharaTangulizi

TLS wajitosa sakata la ukodishaji wa bandari

Spread the love  CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la...

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

Spread the love  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

Spread the loveMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),...

error: Content is protected !!