Categorizing posts based on content
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited imenyakua tuzo nne ikiwamo mshindi wa jumla katika maonesho ya teknolojia ya madini yaliyofanyika kwa muda wa...
By Gabriel MushiOctober 5, 2023NAFASI ya kuwa tajiri unayo mikononi mwako, lakini kuna kisa kimoja nataka ukifahamu kabla sijakupa mchongo kamili wa jinsi ya kutusua ulivyo....
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023BEI ya mafuta ya petroli kwa mwezi Oktoba 2023, imepanda kwa Sh. 68, huku dizeli ikiongezeka kwa Sh. 189. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy, ameondolewa madarakani kwa tuhuma za kukiasi chama chake cha Republican, akituhumiwa kushirikiana na Serikali ya Rais...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023KATIKA jitihada za kukuza na kuendeleza umoja miongoni mwa Watanzania na watu kutoka mataifa mengine, Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-Pesa iliungana...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023UTAMU wa kubeti ule bhana, na ukitaka kula ni rahisi tuu weka dau lako dogo pata kikubwa zaidi. Mechi za Usiku wa Ligi...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023Shirika la afya la Duniani (WHO) limeridhia chanjo ya pili ya ugonjwa wa malaria kwa watoto ambayo inaweza kuokoa maisha ya maelfu ya...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023HOSPITALI ya Benjamini Mkapa kwa kushirikiana na madaktari Bingwa kutoka nchi Japan kupitia taasisi ya Tokushikai Medical group ya Japan wanatarajia kuanzisha huduma...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023Benki ya Taifa ya Biashara – NBC imetumia maadhimisho ya mwezi wa huduma kwa wateja kwa kuwatembelea mawakala mbalimbali na wateja wa benki...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya BetPawa Tanzania, jana Jumatatu imezindua awamu ya pili ya programu yake ya kuwasaidia Watanzania wenye mawazo chanya...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023HATIMAYE kilio cha wengi kimesikilizwa na sasa ni mwendo wa kujichukulia maokoto ya kutosha pale Meridianbet, ni kwa wale wazee wa kuzichanga...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023BENKI ya NMB imeanzisha dirisha maalumu la kuwahudumia Watanzania wanaoishi nje ya nchi, huduma ambayo Serikali imesema itasaidia kuongeza fedha diaspora wanazotuma na...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023JE, unataka kushinda zawadi za kuvutia kama pikipiki, simuau mizunguko ya bure? Je, unapenda kubashiri michezo au kucheza sloti na kasino mtandaoni? Basi...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2023WAFANYABIASHARA waliopoteza mali zao katika ajali ya moto iliyotokea kwenye Soko la Kariakoo, maeneo ya Mnadani, wameiomba Serikali iwasaidie ili waweze kupata mitaji....
By Mwandishi WetuOctober 2, 2023CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kinampongeza Mobhare Matinyi kwa kuaminiwa na kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2023SERIKALI ya Urusi imefungua milango ya ushirikiano wa kiuchumi, kijamii na teknolojia, kwa mataifa ya Afrika, huku ikiahidi kutoingilia masuala yake ya ndani....
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) imeibuka kidedea kwa kuwa mshindi wa pili wa jumla katika Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023KAMPUNI ya Meridianbet kama ilivyo kawaida yao kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii kile kidogo walichovuna, Leo mapema wamefika Zahanati iliyopo Sinza na kutoa...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde ametembelea banda la Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi na wafanyakazi kutoka taasisi...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023SERIKALI imeanza kutekeleza maombi ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo (CCM) ya kupeleka vifaa tiba na watumishi katika kituo kipya cha...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2023WADUKUZI wa kichana wamedukua barua pepe 60000 serikali ya Marekani mwezi Mei mwaka huu. CNN inaripoti …(endelea). Msemaji wa idara ya Serikali ya...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023MWEZI wa Oktoba wengi hupenda kuuita mwezi wakutoboa wakiwa na maana ya kwamba, maokoto yanakuwamengi sana, huenda ikawa ni kweli lakini nataka nikuibiesiri...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TanTrade), wameandaa maonyesho makubwa ya kimataifa ya viwanda ambapo...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023MAONESHO ya Teknolojia ya Madini yamezidi kuwa darasa kwa wadau mbalimbali baada ya wageni kutoka Wizara ya Madini ya Serikali ya Uganda kushiriki...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu wenye ulemavu nchini kupitia fursa ya uwakala na uuzaji wa mkaa mbadala wa...
By Danson KaijageSeptember 29, 2023WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi za kusoma vyuo vikuu ndani...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, amefungua milango ya ushirikiano kwa vikundi vya kijeshi vya kujitolea ,ili kuongeza nguvu katika vita kati yake na...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023WATU takribani 50 wamefariki dunia huku wengine 50 wakijeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na msikiti nchini Pakistan, wakati wakisherehekea sikukuu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia mitaa ya Tandika jijini Dar-es-salaam na kufanya uzinduzi wa duka jipya ambalo litatoahuduma zote...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023Zaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS inayomiliki maabara ya upimaji wa sampuli za madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita wamepatiwa mbinu za kuzingatia katika masomo yao ili...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imetoa mafunzo kwa wakulima ili waweze kutumia viuatilifu vilivyosajiliwa kwa usahihi. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi hizo zipo kwaajili ya kukupatia pesa yani kukufanya uione hii Dunia ni yako...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza kuuza jezi ya mchezaji wa kitanzania Mbwana Samatta Nahodha wa timu ya taifa...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023BENKI ya NMBimekabidhi misaada mbalimbali yenye thamani ya Sh 40 milioni kwa Hospitali ya Wilaya ya Mafia, zahanati tano na shule moja ya...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia ya ulaghai kwenye shughuli zake za biashara katika muongo mmoja uliopita. Anaripoti Mwandishi...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2023WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki dunia kwa ajali ya moto iliyotokea usiku wa jana Jumanne, katika ukumbi waliokuwa...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023SERIKALI imesema uwekezaji unaofanywa na Sino-Tan katika Kongani ya Viwanda iliyopo Kwala, wilayani Kibaha mkoani Pwani utafanikisha ujenzi wa viwanda 200 vitakavyogharimu zaidi...
By Seleman MsuyaSeptember 26, 2023MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni ya Mali ya China ya Oceanwide Holdings Imeripotiwa na South China Morning Post...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023KAMPUNI ya simu ya Infinix leo imetangaza uzinduzi wa simu mpya ya Infinix ZERO 30 5G, simu mahiri ya kwanza kwa kampuni...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023KILA nchi ina vilabu viwili hasimu na pinzani nje ya uwanja na ndani, mfano Uingereza kuna Man Utd vs Man City (Manchester...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu dhamira yake ya kufanikisha ustawi wa biashara baina ya Tanzania na Afrika kusini kwa kuwawezesha...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023BENKI ya NMB imezindua rasmi programu mpya yenye hati fungani zenye thamani ya jumla ya Sh. trilioni moja, huku ikitajwa kuwa ya kwanza...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023Serikali kupitia Wizara ya Madini imepanga kununua mitambo 15 ya uchorongaji wa miamba kwa ajili ya utafiti wa kina wa madini. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023IMEELEZWA kuwa Kiwanda cha Kusafisha dhahabu cha Geita Gold Refinery (GGR) kinachomilikiwa na Mwekezaji Mtanzania, Sarah Masasi kimeiweka Tanzania katika Soko la Kimataifa...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023Shule ya Green Acres imejipanga kufanya mambo makubwa kwa mwaka 2023 / 2024 ikiwemo kuwakatia bima wanafunzi wa shule hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...
By Gabriel MushiSeptember 25, 2023WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) leo Ijumaa wamejitokeza katika maonesho ya sita ya teknolojia ya madini Geita na kupatiwa...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2023NAJUA umesikia na unazijua Derby nyingi kutoka jiji la London, lakini kuna hii ambayo inakwenda kupigwawikiendi hii pale katika dimba la Emirates kati ya...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2023KATIKA kuongeza wigo kwa wawekezaji na wafanyabiashara kurasimisha biashara zao, Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni nchini (BRELA) umetoa wito kwa wafanyabiashara...
By Gabriel MushiSeptember 24, 2023