JE, unataka kushinda zawadi za kuvutia kama pikipiki, simuau mizunguko ya bure? Je, unapenda kubashiri michezo au kucheza sloti na kasino mtandaoni? Basi usikose nafasi hiiya kujiunga na Promosheni hii mpya kutoka Meridianbet.
Promosheni ya “Jichukulie Maokoto na Halopesa” Inafanya kazipale ambapo mteja wa Meridianbet ataweka pesa TZS 10,000 au zaidi, na ubashiri tiketi ya michezo au ucheze michezo yoyoteya kasino mtandaoni yenye msisimko na thamani ya angalau TZS 10,000.
Kwa kufanya hivyo utapata nafasi ya kushinda mizunguko 125 ya bure kila siku kwenye mchezo wa kasino mtandaoni waPIA, simu Janja zitatolewa za kutosha huku ukiingia kwenyedroo kwenye za wiki, ya zawadi kubwa ya Pikipiki.
Usikose fursa hii ya kushinda zawadi kibao ukiweka naHalopesa Weka pesa na ubeti sasa!
Mchanganuo wa zawadi kwenye promosheni hii, uko hivi;
• Mizunguko 125 ya bure kwenye mchezo wa kasino mtandaoniunaoitwa PIA, itatolewa kwa wachezaji wote ambao watawekakuanzia Tsh 10,000/= au zaidi kupitia Halopesa kwa namba yabiashara hii (656565) au ukiwa kwenye website na App nakubashiri au kucheza kasino mtandaoni kwa kiasi sawa na hichokila siku.
• Simu zitatolewa kwa wachezaji wenye jumla ya juu ya amanakupitia Halopesa wakati wa kipindi chote cha promosheni hii. Pia simu zitatolewa kila Ijumaa ndani ya kipindi cha promosheni kuanzia tarehe 15 September 2023. Jumla ya simu20 zitatolewa ndani ya kipindi kizima cha Promosheni.
• Cashback/Rejesho ya 10% ya jumla ya pesa za wachezajiwalizopoteza kutoka Jumatatu hadi Jumapili zitawekwa kwenyeakaunti za wachezaji, ambao watapoteza zaidi ya 2,500,000/= ndani ya wiki hiyo maalum ya promosheni hii.
• Bonasi ya 10% ya jumla ya pesa za wachezaji walizopotezakutoka Jumatatu hadi Jumapili zitawekwa
kwenye akaunti za wachezaji, ambao watapoteza chini ya 2,500,000/= ndani ya wiki hiyo maalum ya promosheni hii.
• Zawadi kuu za Pikipiki zitatolewa kupitia droo kuu, nawashindi watachaguliwa bila mpangilio kutoka kwenye orodhaya wachezaji ambao wameshiriki promosheni hii na kukidhiVigezo na masharti yake
• Droo ya Pikipiki ya kwanza itafanyika tarehe 15 September 2023 katika Makao Makuu ya Meridianbet pale Upanga.
• Droo Pikipiki ya pili itafanyika tarehe 15 November 2023 katika Makao Makuu ya Meridianbet pale Upanga.
Leave a comment