Categorizing posts based on content
BAADA ya kukosa ladha ya ligi ya Ulaya hatimaye wikendi hii inarejea ikiwa na mechi kibao za kukupa pesa za kutosha ukibashiri...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023KAMPUNI kongwe na bora kabisa kwenye michezo ya kubashiri Meridianbet imeingia kwenye ushirikiano na kampuni ya simu za mikononi ya Halotel kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023MBUNGE wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amezindua Kampeni ya “Pika kwa Gesi, Tunza Mazingira” inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Cuba zimesaini hati za makubaliano ya kushirikiana katika sekta ya elimu...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023NMB Foundation imefungua rasmi dirisha la pili wa ufadhili wa masomo na usimamizi mwaka 2023/24, kwa wanafunzi wanaojiunga vyuo vikuu kupitia programu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji...
By Gabriel MushiSeptember 15, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano na Taasisi ya Teknolojia ya Habari JR Institute of Information and Technology ambao utakiwezesha chuo...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2023Mteja wa Meridianbet ambaye upo Mbagala Rangi 3 na unataka kupiga mkwanja wa maana basi mimi nakupa siri eneo ni moja tuu...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2023PTR Blackjack 1 ni mchezo mpya wa karata kutoka kampuni ya Playtech. Mchezo huu wa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unachezwa na...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2023MERLIN Megaways ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet unaokujia na fursa ya kukutana na mchawi. Wakati huu utakuwa na nafasi...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2023SERIKALI imeshauriwa kuweka mkazo katika kilimo hai kwa kuwa ndio kinazalisha chakula safi na salama kwa afya ya viumbe hai na mazingira. Anaripoti...
By Seleman MsuyaSeptember 13, 2023WADAU 600 na mifuko zaidi ya 60 ya uwezeshaji kutoka sekta za umma na binafsi wanatarajiwa kushiriki kwenye kongamano la saba la uwezeshaji...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2023BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua Jukwaa la Wanawake Mtandaoni ‘Rising Woman Network, lenye lengo la kuwawezesha, kuwaendeleza na...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2023SERIKALI imesisitiza kuendelea kupitia upya sera na mfumo wa udhibiti unaoongoza mazingira ya biashara nchini ili kufanya Tanzania kuwa eneo kuu la uwekezaji...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2023Rais Samia Suluhu Hassan amewatakia heri wanafunzi wote wa darasa la saba wanaoanza mitihani yao ya kuhitimu leo Jumatano. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2023RAIS wa Madagascar, Andry Rajoelina amejiuzulu baada ya kuthibitishwa rasmi kuwa mgombea katika uchaguzi wa urais utakaofanyika tarehe 9 Novemba 2023. Anaripoti Mlelwa...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023KIUNGO Mshambuliaji wa klabu ya Juventus ya Italia, Paul Pogba huenda akakumbana na adhabu ya kufungiwa hadi miaka minne kujihusisha na masuala ya...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023USHAWISHI ya Taifa la India imezidi kuongezeka katika anga ya kimataifa hasa pale ilipoungwa mkono kuogoza G20. Imeandikwa na The Interpreter …...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023BLACKJACK ni mchezo wa kadi/karata wenye kuvutia sana, na mtoa huduma Playtech anatuletea blackjack Live ya PTR Blackjack 2 kupitia Meridianbet kasino...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023ZAIDI ya watu 2000 wahofiwa kupoteza maisha huku maelfu wakiwa hawajulikani walipo baada ya kimbunga Daniel kuikumba nchi ya Libya. Anaripoti isaya Temu,...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023KAMPUNI inayojihusisha na uandaaji wa mapambano ya ngumi za kulipwa, Hall of Fame Boxing and Promotion, imeiburuza mahakamani Kampuni ya Azam Media, ikitaka...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023TUMEANDAA zawadi nzuri sana kwa wapenzi wote wa sloti za matunda. Mchezo huu wa kasino mtandaoni ya Meridianbet hautakuwa tu katika muundo...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023KAMPUNI ya Airpay Tanzania imezidi kupanua wigo wake wa kuhakikisha wananchi kuttoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar wanapata huduma za uhakika za malipo...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023HOSPITALI Kuu ya Jeshi la Polisi iliyopo wilaya ya Temeke Barabara ya Kilwa Mkoa wa Dar es Salaam itanufanika na mafunzo ambayo...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023TUNAKULETA mchezo wa kasino ya mtandaoni utakaokurudisha nyuma hadi kwenye zama za kati. Wakati huu, kwa msaada wa mshujaa, unaweza kufungua bonasi...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023IDADI vifo katika tetemeko la ardhi lilitokea usiku wa tarehe 8 Septemba 2023 katika miji kadhaa nchini Morocco, vimeongezeka kutoka 2,122 hadi 2,500....
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023HII ni sehemu nyingine ya mchezo ambao utafurahia sana kila uuchezavyo. Ikiwa unapenda mchezo wa blackjack kutoka Meridianbet, hutaweza kujizuia kucheza mchezo...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023NI wakati mwingine wa kufurahia bonasi kibao kutokaMeridianbet kasino ya mtandaoni, haswa kwa watejawaaminifu ambao wamekuwa na Meridianbet kila sikuambapo sasa watapatiwa mgao...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2023JE, Unapenda Uvuvi? Meridianbet Kasino ya Mtandaoni imekuandalia safari ya kushangaza kwa ajili yako mwezi huu wa Septemba! Anaripoti Mandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2023TIMU ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) imetua salama alfajiri ya leo tarehe 9 Septemba 2023 katika Uwanja wa Ndege wa...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2023Benki ya NMB imeshika nafasi ya tatu kwa ukubwa wa faida katika ukanda wa Afrika Mashariki ikiwa ni kutokana na mafanikio yake kiutendaji...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2023HUENDA umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2023SERIKALI imekanusha uvumi kwamba Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewa-blacklist vijana ambao wamesitishiwa ajira zao na mgodi huo kwa sababu mbalimbali...
By Gabriel MushiSeptember 8, 2023WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema inahitajika uwekezaji wa shilingi bilioni 650, ili kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na salama. Anaripoti...
By Seleman MsuyaSeptember 8, 2023Meridianbet Kasino ya mtandaoni inakupa nafasi ya kupatapesa za kutosha wakati ambapo ukijivinjari mtandaoniukicheza Crayz Jelly, mchezo wenye nguzo 5 zeye mistari...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2023TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeandika historia baada ya kufuza kwa mara ya tatu kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2023Ni siku nyingine tena njema na bora zaidi ya kukufungulia dunia ya michongo, Leo nakupata siri kwenye mchezo wa kasino mtandaoni ya...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2023RAIS mstaafu Jakaya Kikwete, amezishauri taasisi za utafiti wa kilimo nchini, kuwasilisha tafiti zao kwenye Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (AFP), ili...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2023HABARI zinazopendwa na wengi ni kuhusu michezo ya kasino mtandaoni ambapo mchezaji anakutana na maajabu mengi. Mtashuhudia mchawi, vitabu vyenye uchawi na...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2023MHADHIRI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Goodluck Urassa amesema ili shule ziweze kufanya vizuri kitaaluma, walimu wanapaswa kufanya kazi yao...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2023WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema kaya milioni 2.2 nchini Tanzania zinajihusisha na sekta hiyo na kuchangia ukuaji wa uchumi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2023TUNAKULETEA mchezo mwingine wa kasino mtandaoni wa Meridianbet unaofanyika chini ya maji. Wakati huu, wahusika wakuu ni kaa, na miongoni mwao, Bob...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2023Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea kulifadhili na kuliunga...
By Mwandishi WetuSeptember 6, 2023SERIKALI imesema hadi kufikia mwaka 2022 Tanzania ilikuwa na jumla ya maprofesa 226 kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki (Associate Professors) na...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2023HUWAJAHI kushuhudia mambo ya ndani kwenye hekalu la Budha? Kama hujawahi, mchezo mpya wa kasino mtandaoni Shaolin Power utakupa nafasi ya kufanya...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2023LEO tunakupa maelezo mafupi ya mchezo wa kasino mtandaoni wenye kufurahisha sana, ambao utakupatia bonasi za kasino na ushindi mwelele. Chukua nafasi...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2023WAKATI Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Malawi (MDF), Jenerali Jacob Mkunda na Jenerali Vicent Nundwe...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2023STAA wa muziki kutoka nchini Nigeria, Mr.Eazi ni gwiji linapokuja suala la kuachia rekodi tamu yenye burudani ya kipekee kwa jamii na sasa ameachia...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2023JENERALI Brice Nguema, aliyemng’oa madarakani Rais wa Gabon, Ali Bongo katika mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika wiki iliyopita, ameapishwa kuwa Rais wa mpito wa...
By Mwandishi WetuSeptember 4, 2023KAMPUNI 500 kutoka China, Tanzania, Angola, Kenya na Ethiopia zinatarajiwa kukutana tarehe 25 Septemba 2023 jijini Dar es Salaam, kutathmini eneo la viwanda...
By Seleman MsuyaSeptember 4, 2023