Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Habari Kimataifa Waliofariki kwa tetemeko Morocco wafikia 2,500
Kimataifa

Waliofariki kwa tetemeko Morocco wafikia 2,500

Spread the love

IDADI vifo katika tetemeko la ardhi lilitokea usiku wa tarehe 8 Septemba 2023 katika miji kadhaa nchini Morocco, vimeongezeka kutoka 2,122 hadi 2,500. Anaripoti Mlelwa Kiwale, TUDARCo kwa msaada wa Mitandao ya Kimataifa.

Idadi hiyo imetajwa kuwa inazidi kuongezeka kutokana na ukubwa wa tetemeko hilo ambalo limeharibu majengo na makazi ya watu, wengi wao wakiwa wamepoteza maisha kwa kufukiwa na vifusi huku wengine wakipota kusikojulikana.

Aidha, mmoja wahanga wa tetemeko hilo aliyejitambilisha Hassan ni mmoja wa wahanga wa tetemeko katika kijiji hicho kilichopo nchini humo, amesema ameweza kujiokoa kutoka kwenye kifusi hicho lakini mjomba wake bado amezikwa chini ya vifusi na hakuna nafasi kwamba anaweza kuwa hai.

“Hakukuwa na wakati wa kutoka na kujiokoa,” amesisitiza Hassan.

Hata hivyo, Wizara ya Mambo ya Ndani wa nchi hiyo imesema; “Watu wengine 2,476 walijeruhiwa ambayo kutokana na tetemeko hilo.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Mahakama yamkuta na hatia Donald Trump

Spread the love  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, amekutwa na hatia...

Kimataifa

Harusi yageuka msiba 100 wakifariki kwa ajali ya moto

Spread the love  WATU takribani 100, akiwemo bibi na bwana harusi, wamefariki...

Kimataifa

Kampuni ya mali ya China Oceanwide yapata agizo la kufilisiwa huko Bermuda

Spread the love  MAHAKAMA ya Bermuda imetoa amri ya kufilisiwa kwa Kamapuni...

Kimataifa

Uvamizi wa kijeshi Milango ya bahari ya Taiwan G7 yapinga China

Spread the loveMKUTANO wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa nchi za...

error: Content is protected !!