NI wakati mwingine wa kufurahia bonasi kibao kutokaMeridianbet kasino ya mtandaoni, haswa kwa watejawaaminifu ambao wamekuwa na Meridianbet kila sikuambapo sasa watapatiwa mgao wa Milioni 10, Tsh10,000,000/= kupitia promosheni ya Casino Loyalty Bonus. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).
Promosheni ya Casino Loyalty Bonus imeanza Ijumaa, Septemba 9, 2023, na itaendelea mpaka muda wa mwishoutakaotangazwa. Wachezaji wote waliojisajili kwenye tovuti au app ya meridianbet wanaweza kushiriki katika promosheni hii.
Kupitia tovuti ya meridianbet kasino ya mtandaoni kila wiki jumapili muenendo wa wachezaji utachunguzwa, kuanziaIjumaa usiku na kumalizika Alhamisi saa 11:59 usiku. Wachezaji watapewa zawadi kulingana na sababu tofauti, nashughuli zao ndio zinazoamua ukubwa wa bonasi yao.
Hivi ndivyo alama za wachezaji zitakavyo hesabiwa:
Wachezaji wanaweza kupata alama kulingana na shughuli zao:
Kila mchezo una odds tofauti:
Mifano:
Meridianbet inazingatia pesa taslimu tu, sio pesa za bonasi, tunapohesabu siku za shughuli na jumla ya beti zilizowekwa namchezaji.
Meridianbet inatoa jumla ya TSH 10,000,000 kama bonasi zakasino kila wiki kwa wachezaji wake waaminifu na wanaocheza Kasino.
Ili kubadilisha pesa za bonasi kuwa pesa taslimu, ni lazimazizungushwe mara 50 kwenye michezo yote ya Sloti.
Kima cha juu cha pesa taslimu kutoka kwenye bonasi moja ni 150,000 TSH.
Tunachapisha orodha ya wachezaji waliojishindia bonasi kilaIjumaa saa 3 asubuhi kwenye ukurasa wa promosheni. Wachezaji wanapewa taarifa wakati bonasi inapoongezwakwenye akaunti zao.
Promosheni hii ni halali kwa mtumiaji mmoja, anwani ya IP, au kaya moja.
Kwa kujisajili akaunti, wachezaji wanakubaliana na kanuni namasharti ya promosheni.
Meridianbet ina haki ya kubadilisha kanuni za promosheni, kuusitisha au kumundoa mchezaji wakati wowote.
NB: Mchezo wa Aviator Kasino mtandaoniinakupa bonasi ya beti za Bure 200 kila sikukwa wachezaji, mizunguko itagawiwa kwawachezaji bila mpangilio huendaikakuamgukia wewe. Cheza Aviator ushinde.
Leave a comment