Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Spika wa Marekani ang’olewa kwa madai ya usaliti
Kimataifa

Spika wa Marekani ang’olewa kwa madai ya usaliti

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy, ameondolewa madarakani kwa tuhuma za kukiasi chama chake cha Republican, akituhumiwa kushirikiana na Serikali ya Rais Joe Biden, anayetoka chama cha Demcratic. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

MacCarthy ameng’olewa madarakani jana Jumanne, baada ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye, na wabunge wenzake wa Republican, ambao wanaongoza kwa kuwa na idadi kubwa na nguvu bungeni.

Kwa mujibu wa mtandao wa BBC Swahili, kura hiyo ilitokana na hoja ya kutokuwa na imani na MacCARTHY, iliyowasilishwa na mbunge wa Republican, Matt Gaetz, katika mhimili huo Jumatatu iliyopita.

Miongoni mwa sababu za hoja ya Gaetz, ni madai ya McCarthy kufanya makubaliano ya siri na Ikulu ya White House, kuendelea kuifadhili Ukraine, tuhuma ambazo mwanasiasa huyo amezikanusha.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!