Friday , 3 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, ACT- Wazalendo kushirikiana uchaguzi mkuu 2020?

VYAMA viwili vya upinzani nchini Tanzania – Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na chama cha ACT-Wazalendo – viko mbioni kushirikiana ili kukabiliana...

Habari za SiasaTangulizi

Mtia nia CCM Jimbo la Ubungo adakwa na Takukuru

LIDA Lugani Mwakatuma, anayejipanga kugombea jimbo la Ubungo pamoja na viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), jimboni humo, wanashikiliwa na Taasisi ya...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu Majaliwa awanyooshea kidole waliochukua mali za mkonge

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali ya inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli, itahakikisha mali zote za wakulima wa zao la...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru nusura wamdake ‘mgombea’ ubunge CCM Ubungo, wanne mbaroni

MWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anayejipanga kugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo, jijini Dar es Salaam (jina tunalo), amewatoroka Taasisi ya Kuzuia...

Makala & Uchambuzi

Alibakwa, akaambukizwa Ukimwi, sasa shujaa

NI binti anayetimiza miaka 28 mwaka huu. Alibakwa akiwa na miaka 10 na kuwa chanzo cha kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Ameishi na virusi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mauaji ya Floyd: Hali ilivyo miji 25 Marekani

MAUAJI yaliyofanywa na polisi wa Mji wa Minnesota, yamebadili taswira ya miji 25 ya Marekani na kuwa ya vurugu, maandamano na uharibifu wa...

Habari za Siasa

Lwakatare: Ukishinda, usipotangazwa na NEC ni uzembe

WILFRED Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini kupitia Chadema, amekwenda kinyume na kiapo cha kustaafu siasa, kwa kurudi katika Chama cha Wananchi (CUF), alichokuwepo...

Habari za Siasa

Vurugu mkutano wa Waitara, Meya  jiji la Mwanza alazwa rumande

POLISI Mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, limemkamata na kumhoji, Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire kwa tuhuma zinazomkabili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza...

Habari za Siasa

JPM: Sikuwa na uhakika kama nitafanikiwa kuhamia Dodoma

RAIS wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amesema, kwa sasa Serikali yote ipo Dodoma ambapo ni mjii mkuu wa nchi kutokana na ofisi...

Habari za Siasa

CUF yaeleza itakavyomtumia Lwakatare kuiangamiza Chadema

CHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimesema, kitamtumia Wilfred Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini, kuvimaliza vyama vya upinzani, hususan Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Mwinyi ampa heko JPM, Mkapa na JK wamtaka asonge mbele

MARAIS wastaafu wa Tanzania, wamepongeza Rais wa nchi hiyo, John Pombe Magufuli, jinsi anavyoongoza nchi na kutimiza adhima ya Baba wa Taifa, Hayati...

Habari za Siasa

Lwakatare kutinga CUF, kupokelewa na Prof. Lipumba

WILFRED Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anatarajiwa kurejea kwenye chama chake cha awali cha CUF. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awakabidhi Tausi marais wastaafu, JK amkumbuka Msukuma

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewakabidhi marais wastaafu wa nchi hiyo ndege aina ya Tausi 25 kwa kila mmoja, ikiwa ni ishara ya...

Habari za Siasa

Magufuli, vigogo kushiriki ujenzi Ikulu Dodoma

RAIS wa Tanzania, John Magufuli kesho Jumamosi tarehe 30 Mei, 2020 atawaongoza marais wastaafu wa nchi hiyo, kuweka jiwe la msingi ujenzi wa...

Habari za Siasa

Zitto Kabwe asema hatarudi nyuma, mapambano yanaendelea

KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema, uamuzi wa kesi uliotolewa dhidi yake hautamrudisha nyuma katika harakati zake...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe anusurika kwenda jela, ‘afungwa mdomo’

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, nchini Tanzania, Zitto Kabwe, amenusurika kifugo cha mwaka mmoja gerezani. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kutotoa na kuandika maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yawaonya wanaokibeza, kudhoofisha upinzani

TUHUMA za kutumika katika kudhoofisha vyama vya upinzani nchini Tanzania, hususan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, zimekiibua Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Faini mpya wagombea udiwani, ubunge na urais hizi hapa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imeongeza viwango vya faini kwa wagombea watakaofanya makosa ya kimaadili, katika kampeni na Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Mahakama: Mdee ana kesi ya kujibu, mashahidi watano kumtetea

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imesema Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee  anayekabiliwa na kesi ya uchochezi kwa kutoa...

Habari za Siasa

Madiwani Chadema, CUF Dar watimkia NCCR- Mageuzi

VIGOGO wawili wa upinzani jijini Dar es Salaam, Mustafa Muro (Chadema) na Maalim Amir Mbuju (CUF), wamekimbia vyama vyao na kujiunga na NCCR-...

Habari za Siasa

Uhaba walimu wa sayansi, hesabu watua bungeni

MBUNGE wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi, ameitaka Ofisi ya Rais, Tawaza za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Tanzania kueleza ni lini...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji wanafunzi Veta kukosa mikopo, waziri amjibu

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema), Zubeda Sakuru, ametaka kujua kwa nini wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya ufundi stadi (Veta) kukosa mikopo. Anaripoti Danson...

Habari za SiasaTangulizi

Hatma ya Zitto Kabwe kesho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kesho Ijumaa, tarehe 29 Mei, inatarajia kusoma hukumu ya kesi inayomkabili Mbunge wa Kigoma...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru yaanza kuichunguza Chadema, vigogo wahojiwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeanza kuchunguza tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, inazokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yamwita kumhoji Balozi wa Marekani

SERIKALI ya Tanzania, imemwita Kaimu Balozi wa Marekani nchini humo, Dk. Imni Patterson ili kumhoji juu ya masuala mbalimbali ambayo ubalozi huo umekuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Lugola: Kiza kinene chatawala, DPP aliweka kiporo

KIZA kinene kimetawala katika ufujaji wa mabilioni ya shilingi yaliyotaka kutumika katika mkataba tata wa ununuzi wa vifaa vya Jeshi la Zimamoto na...

Habari za Siasa

Ongezeko matumizi mabaya ya mitandao yatua bungeni

MBUNGE wa Ulanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Goodluck Mlinga ameihoji Serikali ya Tanzania jinsi ilivyojipanga kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii....

Habari za Siasa

Kilichotarajiwa Burundi chatimia, wapinzani wang’aka

UCHAGUZI Mkuu nchini Burundi umefikia tamati, malalamiko yanayotolewa na vyama vya upinzani baada ya Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye wa chama tawala – CNDD-FDD...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu 2020: Takukuru yamtia mbaroni Aden Rage

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, inamshikilia Ismail Aden Rage kwa tuhuma za rushwa na kuanza...

AfyaHabari za Siasa

Majaliwa azungumzia hali ya corona Tanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa COVID-19 ambao umeanza kupungua nchini humo. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yawageukia wanaohoji matumizi ya fedha

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka wabunge wenye ushahidi juu ya tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, kuuweka hadharani. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

Habari za Siasa

Uhaba wa sukari wamuibua Dk. Bashiru, awataja mawaziri

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimeielekeza Serikali kuweka mikakati itakayomaliza changamoto ya uhaba wa sukari nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru ataja mambo 3 kuimaliza corona, ataka Kigogo apuuzwe

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally ametaja mambo makubwa matatu yanayowezesha Tanzania kushinda vita ya mapambano ya maambukizi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukimya takwimu za corona: Askofu Niwemugizi arudisha Ibada

ASKOFU Severine Niwemugizi, Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera ametangaza kurejesha misa jimboni humo kuanzia kesho Jumapili ya tarehe 24 Mei, 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Zitto aunda timu uandishi ilani ya ACT-Wazalendo

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, ameunda timu ya watu kumi ili kuandaa Ilani ya Uchaguzi Mkuu 2020/2025. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

TRA yashindwa kukusanya Sh. 712 bilioni

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) nchini Tanzania, imebaini hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2020 zaidi ya Sh. 712.4...

Habari za Siasa

#live: Kinachoendelea Bungeni muda huu

Tazama LIVE Mkutano wa Bunge, Mkutano wa 19 kikao cha 35 tarehe 22 May 2020

Habari za Siasa

CAG aichunguza TPA, Bunge latoa maagizo

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, imeanza ukaguzi maalumu kwa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA). Anaripoti...

Habari za Siasa

PAC yabaini ‘madudu’ NIDA, Bil 1 za Tamasha la Utalii

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) nchini Tanzania, imebaini upungufu katika maeneo mawili ndani ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)...

Habari za Siasa

Wabunge wa Viti Maalum Chadema, waanza kuondoka 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo jingine, kufuatia hatua ya wabunge wake wawili, Suzana Maselle (Mwanza) na Joyce Sokombi (Mara), kutangaza...

Habari za Siasa

Kauli ya Mbowe, Zitto iliyomchefua Polepole, ataka wanyimwe kura

HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutaka wananchi wafungiwe...

Habari za Siasa

#VIDEO: Humphrey Polepole akizungumza na waandishi wa habari

Tazama LIVE Mkutano wa Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole akizungumza na waandishi wa habari muda huu kuhusu mambo mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuwafyeka ‘wateule wa Rais’ walioanza kampeni mapema

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania amewatangazia kiama, watumishi wa umma, wakiwemo wateule wa Rais John Magufuli walioanza kampeni mapema za uchaguzi mkuu...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Ratiba mitihani kidato cha sita, Ualimu hizi hapa

BARAZA la Taifa la Mitihani (Necta) nchini Tanzania, limetoa ratiba ya mitihani ya kidato cha sita na Ualimu mwaka 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaMichezo

‘Kuidhikahi picha ya Rais’ kwaendelea kumsotesha Idris Sultan

IDRIS Sultani, Msanii wa Vichekesho nchini Tanzania, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2020, anaweza kufikishwa mahakamani, kwa kosa la kuidhihaki picha ya Rais...

ElimuTangulizi

Mitihani kidato cha sita Juni 29, Prof. Ndalichako atoa maagizo

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Joyce Ndalichako amesema, mitihani ya kidato cha sita mwaka 2020 itaanza Juni 29 hadi...

Habari za Siasa

Zitto ahoji matokeo uchunguzi maabara ya Corona 

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amehoji matokeo ya kamati iliyoundwa kuchunguza sakata la vipimo vya ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari za Siasa

Tanzania kupokea mabilioni ya wafadhili

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kupokea fedha za msaada, kwa ajili ya kukabiliana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aonya pokeapokea vifaa ya corona, watakaobainika

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaonya watu watakaopokea misaada ya vifaa vya kupambana na janga la virusi vya...

error: Content is protected !!