Thursday , 2 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Dk. Maryrose: Siwahofii Lissu, Msigwa urais Chadema

DAKTARI Maryrose Majinge, aliyejitokeza katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kugombea Urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu...

Habari za Siasa

Hoja 5 zilizofanya Bunge limpongeze Spika Ndugai

CHARLES Kitwanga, Mbunge wa Misungwi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewasilisha bungeni azimio la kumpongeza Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai. Anaripoti...

ElimuTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatuajiri walimu wa sanaa

SERIKALI ya Tanzania imesema, itawaajiri walimu wa masomo ya sanaa  pale idadi ya walimu wa sayansi, hisabati, kilimo, biashara, elimu maalum na mafundi sanifu...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza: Ni Mungu tu asiyekosea

UMMA na mataifa huongozwa na wanadamu. Sifa kuu ya mwanadamu ni kukosea au kuishi katika uwezekano wa kufanya makosa. Anaandika Mwandishi Maalum …...

Habari

Azimio kuzuia Serikali kuhama Dodoma kutua bungeni

BUNGE la Tanzania litapitisha azimio la kuibana Serikali ya nchi hiyo kutobadili uamuzi wa kuhamisha shughuli za Serikali kutoka jijini Dodoma kwenda kwingine....

Habari za Siasa

Bunge la Tanzania kumpongeza Spika Ndugai

BUNGE la Tanzania, linatarajia kupitisha Azimio la kumpongeza Spika wa Bunge hilo, Job Ndugai kwa mafanikio ya Bunge la 11. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Kwa nini tunaumba Miungu itakayogharimu taifa?

SERIKALI iko mbioni kuwasilisha bungeni muswada wa Sheria ya Utekelezaji wa Haki na wajibu wa Msingi, Sura ya 3 (The Basic Rights and...

Habari za Siasa

Ado Shaibu: Serikali ilitaka nimlipe Rais Milioni 123

ADO Shaibu Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Serikali ilimtaka alipe Shilingi 123 Milioni kama faini ya kushindwa kesi aliyomshtaki Rais John...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wapinga kinga ya Rais, Jaji Mkuu, Spika

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeleeza kuwa nia ya serikali ya kupitisha Muswada wa sheria mbalimbali Na.3 ya mwaka 2020 inalenga  kufunga milango ya kudai...

Habari za Siasa

JPM: Mungu kajibu maombi 

RAIS John Magufuli amesema, Mungu amejibu maombi ya Watanzania kuepusha ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virisi vya corona (COVID-19) nchini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Sina sababu ya kuomba radhi

WAZIRI wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa zamani wa Tanzania, Bernard Membe amesema, hana sababu ya kumuomba radhi Rais John...

Tangulizi

Safu Mount Meru kufumuliwa

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Godwin Mollel, ameagiza kuondolewa kwa safu ya uongozi wa Hospitali ya...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Rungwe atangaza ‘kutembeza bakuri’

KAMATI Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) nchini Tanzania, kimetangaza kushiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020, huku kikitoa wito kwa vyama...

Habari za SiasaTangulizi

CUF:  Tupo tayari kushirikiana lakini… 

CHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania,  kimetoa msimamo kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya upinzani vyenye dhamira ya kukiondoa madarakani Chama...

Habari za Siasa

Chadema yajitosa Urais Zanzibar, yatoa siku 10

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  kimefungua milango ya wanachama wake wanaotaka kuwania urais wa Zanzibar,  kuandika barua kwenye ofisi ya naibu katibu...

Habari za Siasa

Uchaguzi mkuu 2020: TYC yatoa somo kwa vyama vya siasa Tanzania

VYAMA vya siasa nchini Tanzania, vimetakiwa kuweka mazingira sawa ya ushiriki wa wanawake, vijana na wenye umelavu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020....

Habari za Siasa

TLS yatoa tamko kupinga mahabusu kufanyishwa kazi

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeiomba Serikali ya Tanzania, kusitisha mpango wake wa kufanyisha kazi mahabusu, kwa kuwa unakwenda kinyume na Katiba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mchungaji Msigwa amtangulia Lissu ‘urais’ Chadema 

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini tayari amefungua pazia la kugombea urais ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Lissu kueleza mikakati ya urais J’tatu

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara amesema, atazungumza na Watanzania Jumatatu tarehe 8 Juni 2020 kuelezea adhima yake...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli kufungua shule, amshangaa Spika kuvaa barakoa

DK. John Magufuli, Rais wa Tanzania, amesema atafungua shule za msingi na sekondari hivi karibuni, kama ataridhishwa na kasi ya upunguaji wa maambukizi...

Habari za Siasa

CWT yamwomba Rais Magufuli awaache vizuri

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeiomba Serikali kuajiri walimu wapya, ili kuondoa changamoto ya uhaba wa walimu iliyotokana na mpango wa elimu bila...

Habari za Siasa

Matiko aambiwa ‘Watumishi waliokuwa ardhi, wamehamishwa’

WIZARA ya Nchi Ofisi wa Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeeleza, watumishi wa sekta ya ardhi waliokuwa chini...

Habari za Siasa

Mrema: Piga ua galagala Dk. Magufuli atashinda Urais

MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party,  (TLP) Augustine Lyatonga Mrema amesema, katika uchaguzi mkuu mwaka 2020 chama chake hakitaweka mgombea wa Rais...

Habari za Siasa

Kinana: Naomba Rais Magufuli anisamehe

KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Rais John Magufuli, kutokana na mazungumzo yaliyofanyika kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ‘amwita’ Mbowe, Zitto mezani

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ‘wamealikwa’ kwenye meza ya mazungumzo...

Makala & Uchambuzi

Wanawake wanapenyaje uchaguzi mkuu 2020?

JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 limeanza kufukuta, vyama mbalimbali vya siasa vimeanza kuweka mikakati yake ya kupata wagombea. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Mwenyekiti...

Habari za Siasa

Mbunge Lwakatare, kula matapishi yake?

WILFRED Muganyizi Lwakatare, mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Bukoba Mjini, mkoani Kagera, aliyetangaza kustaafu mbio za ubunge,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateta na vigogo wa CCM Ikulu

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi, Rais John Pombe Magufuli amefanya kikao na viongozi waandamizi wa chama hicho akiwemo Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed...

Habari za Siasa

Spika Ndugai, Mwambe wapeta

MAHAKAMA Kuu Masjala ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba ya kupinga uamuzi wa Job Ndugai, Spika wa Bunge kumrejesha bungeni...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lisu: Nitagombea urais

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maaendeleo (Chadema)-Bara, amesema atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Mnyika: Tunataka tume huru, nguvu ya umma haijawahi kushindwa

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, ameitaka Serikali kutumia kipindi kifupi kilichobaki cha uhai wa Bunge, kupeleka muswada...

Habari za Siasa

Uchaguzi mkuu 2020: Chadema yafungua milango ya ushirikiano

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimefungua milango ya majadiliano na vyama vingine vya upinzani ili kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa...

AfyaMakala & Uchambuzi

Ufahamu ulemavu wa miguu kifundo na madhara yake

SIKU ya miguu kifundo au nyayo za kupinda ulimwenguni huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Tarehe hii ilitokana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yapuliza kipyenga cha Urais

CHAMA cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema) kimefungua milango kwa watia nia wa urais wa chama hicho kuanzia leo Jumatano tarehe 3, Juni hadi...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: NEC yabebeshwa tuhuma mpya

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inalaumiwa kubagua vyama vya siasa vya upinzani. Ni katika maboresho ya kanuni mbalimbali za uchaguzi. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

Ubunge, udiwani CCM kaa la moto, Takukuru, Polisi wapewa rungu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimetoa utaratibu mpya utakaotumika kuwapata wagombea udiwani, ubunge na uwakilishi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Kelvin...

Habari za SiasaTangulizi

Ofisa TRA, wenzake 17 wa CCM mbaroni tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mtwara, imewakamata wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) 18 akiwamo Ofisa wa Mamlaka...

Habari za Siasa

Ugawaji majimbo Z’bar, ACT-Wazalendo ‘walia’ figisu, ZEC yawajibu

JOTO la Uchaguzi wa urais, wabunge na wawakilishi utakaofanyika Oktoba 2020, visiwani Zanzibar, limepamba moto huku kukiwa na tuhuma za vyama vya upinzani,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awapa ujumbe wanaotaka kugombea uchaguzi mkuu

MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli, amewataka wanachama wa chama hicho, wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, ACT- Wazalendo kushirikiana uchaguzi mkuu 2020?

VYAMA viwili vya upinzani nchini Tanzania – Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na chama cha ACT-Wazalendo – viko mbioni kushirikiana ili kukabiliana...

Habari za SiasaTangulizi

Mtia nia CCM Jimbo la Ubungo adakwa na Takukuru

LIDA Lugani Mwakatuma, anayejipanga kugombea jimbo la Ubungo pamoja na viongozi watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), jimboni humo, wanashikiliwa na Taasisi ya...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu Majaliwa awanyooshea kidole waliochukua mali za mkonge

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali ya inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli, itahakikisha mali zote za wakulima wa zao la...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru nusura wamdake ‘mgombea’ ubunge CCM Ubungo, wanne mbaroni

MWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anayejipanga kugombea ubunge katika Jimbo la Ubungo, jijini Dar es Salaam (jina tunalo), amewatoroka Taasisi ya Kuzuia...

Makala & Uchambuzi

Alibakwa, akaambukizwa Ukimwi, sasa shujaa

NI binti anayetimiza miaka 28 mwaka huu. Alibakwa akiwa na miaka 10 na kuwa chanzo cha kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Ameishi na virusi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mauaji ya Floyd: Hali ilivyo miji 25 Marekani

MAUAJI yaliyofanywa na polisi wa Mji wa Minnesota, yamebadili taswira ya miji 25 ya Marekani na kuwa ya vurugu, maandamano na uharibifu wa...

Habari za Siasa

Lwakatare: Ukishinda, usipotangazwa na NEC ni uzembe

WILFRED Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini kupitia Chadema, amekwenda kinyume na kiapo cha kustaafu siasa, kwa kurudi katika Chama cha Wananchi (CUF), alichokuwepo...

Habari za Siasa

Vurugu mkutano wa Waitara, Meya  jiji la Mwanza alazwa rumande

POLISI Mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, limemkamata na kumhoji, Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire kwa tuhuma zinazomkabili. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza...

Habari za Siasa

JPM: Sikuwa na uhakika kama nitafanikiwa kuhamia Dodoma

RAIS wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amesema, kwa sasa Serikali yote ipo Dodoma ambapo ni mjii mkuu wa nchi kutokana na ofisi...

Habari za Siasa

CUF yaeleza itakavyomtumia Lwakatare kuiangamiza Chadema

CHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimesema, kitamtumia Wilfred Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini, kuvimaliza vyama vya upinzani, hususan Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Mwinyi ampa heko JPM, Mkapa na JK wamtaka asonge mbele

MARAIS wastaafu wa Tanzania, wamepongeza Rais wa nchi hiyo, John Pombe Magufuli, jinsi anavyoongoza nchi na kutimiza adhima ya Baba wa Taifa, Hayati...

error: Content is protected !!