WANAKIJIJI wanne wakongwe wameteketezwa kwa moto jana tarehe 17 Oktoba, 2021 baada ya kutuhumiwa kuwa ni wachawi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuOctober 18, 2021ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2021WAKATI mataifa mengi duniani yakikwepa utawala wa kijeshi, kwa upande wa Sudan baadhi ya wananchi wameandamana kupinga Serikali ya mseto inayoundwa na...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema haendi nje ya nchi kucheza, bali anakwenda kutafuta fursa za maendeleo ya nchi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021BENKI ya NMB nchini Tanzania, imehitimisha maadhimisho wiki ya huduma kwa mteja kwa kutumia Sh.180.25 milioni kutoa misaada ya sekta ya elimu...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempa miezi mitatu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha (DED), Karia Rajabu,...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021WASICHANA Irine Christopher Msengi, ameibuka kuwa mwanafunzi bora katika shahada ya awali ya Biashara katika Uhasibu wa Chuo Kikuu cha Dar es...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021MBUNGE wa Arumeru Magharibi wa chama tawala nchini Tanzania-CCM, Lembris Noah, amemuomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi ya...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya ambaye amehukumiwa miaka 30 gerezani, kesho Jumatatu tarehe 18...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021SERIKALI ya Tanzania, imesema haizuii mikutano ya vyama vya siasa bali mikutano inayozuiwa ni ile yenye viashiriavya kuhatarisha usalama wa nchi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, Serikali inaendelea kuzifanyia kazi changamoto kwenye bidhaa za ndani hususan kodi...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2021MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo Kiswaga amesema siri ya Manispaa ya Kahama kuwa mshindi wa kwanza kitaifa katika kilele...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hadi kufikia jana tarehe 15 Oktoba, 2021 jumla ya Watanzania 940,507 walikuwa wamekwishachanja chanjo ya Covid –...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema sababu ya kuwapo kwa uhaba wa watumishi wa kada ya afya na elimu ni kutokana na mahesabu...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021POLISI nchini Uingereza imesema, kisa cha mbunge David Amess kuuawa Ijumaa kwa kudungwa kisu, kilikuwa kitendo cha kigaidi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amesema amewashangaa na kuhuzunika kusikia baadhi ya viongozi wa...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kusimama katika yale...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021NBC PremierLeague inarejea leo Jumamosi tarehe 16 Oktoba, 2021 kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja viwili tofauti. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuOctober 16, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, amewashukuru wananchi wa Kilimanjaro kwa kukipa ushindi Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, kwenye nafasi...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amewaachia fumbo wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro kwamba wachague moja kati ya Vunjo kupewa hadhi ya Halmashauri Mpya...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Kilimanjaro, wamefikisha kilio cha changamoto za majimbo yao, kwa Rai Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021MASTEN Wanjala mtuhumiwa aliyegonga vichwa vya habari nchini Kenya baada ya kukiri kuwaua zaidi ya watoto 13 na baadaye kutoroka katika kituo...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ummy Mwalimu amesema kuna vidudu mtu ambao wanaeneza kwamba...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021RAIS wa Marekani, Joe Biden amekutana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta Ikulu ya White House huku Biden akiahidi kutoa dozi milioni...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua Barabara ya Sanya Juu- Elerai, iliyopo Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Mwandishi WetuOctober 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Alhamis, tarehe 14 Oktoba 2021, amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kuanzia ziara...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021TIMU ya Geita Gold imezipiga mkwara timu shiriki za Ligi Kuu Tanzania bara, kwamba zisitegemee mteremko kwa mechi zake zitakazochezwa uwanja wake wa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameagiza mamlaka zifanye uchunguzi taarifa ya ya miradi 49 iliyobainika kuwa na dosari katika Mbio za...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoingoza inakamilisha mchakato wa kuifanya Chato kuwa Mkoa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita … (endelea)....
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021ZEGE halilali, ndivyo unavyoweza kutafsiri kilichoibuliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka huu ambapo jumla ya miradi 49 yenye thamani ya Sh bilioni...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili itaolewa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021NAKAUNDA Mangosongo na Charles Mkwizu ambao ni wakazi wa Dodoma wamejishindia pikipiki za miguu mitatu aina ya Sky Mark katika droo ya...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua kaburi la aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Hayati John Pombe Magufuli. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021BENKI ya NMB nchini Tanzania, imesema katika kufanikisha Kampeni ya Temeke Gulio inafanikiwa, watatoa mafunzo na mikopo kwa wamachinga na wajariamali wa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2021JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe nchini Tanzania, limesema linafanya uchunguzi wa tukio la ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021JESHI la Polisi Mkoani Kilimanjaro, linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo (43), kwa...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta atakutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani, Joe Biden wakati akimaliza ziara yake ya siku mbili...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021KAMPUNI ya udalali ya Greenlight kwa idhini ya Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya Kinondoni kituo cha Ukonga, jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021MCHAMBUZI maarufu wa masuala ya kisiasa na kihistoria katika ukanda wa Afrika Mashariki, Profesa Patrick Lumumba amewataka Watanzania kujihoji kuwa demokrasia ni...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amezuru kaburi la Hayati John Pombe Magufuli na kushiriki sala ya kumwombea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021SIKU chache baada ya uongozi wa kikundi cha wanamgambo wa Taliban walioshika madaraka nchini Afghanistan kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021MGOGORO wa kuwania eneo la pembe tatu lililopo katika bahari ya Hindi kati ya mataifa ya Kenya na Somalia umezidi kutokota baada...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh.28.6 bilioni kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa miradi...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2021WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewapiga marufuku wakuu wa mikoa, wakuu...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wananchi hususani vijana wajiepushe na matumizi yasiyo sahihi ya teknolojia ya habari na mawasiliano (Tehama)...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021MKURUGENZI wa Habari, Uenezi, Mahusiano na Umma wa Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, Mhandisi Mohamed Ngulangwa na wenzake watano, wamefutiwa kesi...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Stephen Wasira amemuelezea Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere alikuwa kiongozi...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021BENKI ya Exim Tanzania imeombwa kuangalia namna kujitanua zaidi mkoani Iringa kwa kuongeza matawi kwenye wilaya mbalimbali za mkoa huo ili huduma...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021MRADI wa maji wa mshikamano, Jimbo la Kibamba, umeanza kushika kasi baada ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2021