MBUNGE wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson (CCM) ameibuka kidedea katika nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MGOMBEA wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewahakikishia wabunge kuwa Bunge halitamezwa na...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio amemtaka...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MGOMBEA wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru amewapagawisha wabunge baada ya kuwaahidi kupunguza...
By Masalu ErastoFebruary 1, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa mwandishi na mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zunura Yunus kuwa Mkurugenzi...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022LEO Jumanne, tarehe 1 Februari 2022, Bunge la Tanzania linafanya uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022DAKTARI Tulia Ackson, ametangaza kujiuzulu nafasi ya naibu spika wa Bunge la Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Taarifa ya kujiuzulu...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022FEDHA kiasi cha Sh. 699,000, zinazodaiwa kutolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe mwaka 2020 kwa ajili ya kufadhili vitendo vya kigaidi,...
By Regina MkondeJanuary 31, 2022ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Denis Urio, amedai hakuamini kama Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anaweza kufanya vitendo...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2022MWENYEKITI mpya wa chama cha upinzani nchini Tanzania-ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu Babu Duni amewashukuru wote waliomchagua kushika wadhifa huo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Sera, Bunge na Uratibu nchini Tanzania, Balozi Pindi Chana amemtaka mkandarasi anayesimamia kazi ya ujenzi...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2022KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewaagiza viongozi wautumie 2022 kukiimarisha chama hicho kuanzia ngazi ya Kitaifa hadi mashinani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kimeteua watu wa kufuatilia utendaji wa wizara na taasisi za Serikali. Anaripoti...
By Regina MkondeJanuary 29, 2022OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, imevitaka vyama vya siasa kuanza kuboresha mifumo yao ya ndani ya demokrasia kabla...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KATIBU Mkuu wa Shuraa ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameviomba vyama vya siasa vya upinzani nchini Tanzania viache tofauti zao...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, Sisty Nyahoza, amemuomba Kiongozi wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, akishauri Chama...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amekieleza Chama cha ACT-Wazalendo, kuwa hakiwezi kuingia kwenye uchaguzi bila ya kupatikana...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha ACT-Wazalendo, wamchague mtu...
By Regina MkondeJanuary 29, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo kimezindua mfumo wa usajili wa kisasa wa wanachama wa chama hicho uliopewa jina la ‘ACT Kiganjani’ wenye lengo...
By Mwandishi WetuJanuary 29, 2022Halmshauri Kuu ya Chama imepokea na kuthibitisha mapendekezo ya Kamati Kuu ya Chama juu wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Makamu Mwenyekiti...
By Gabriel MushiJanuary 28, 2022SHAHIDI wa Jamhuri, katika kesi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis Urio, amedai mwanasiasa...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, Luteni Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, hakutaka kuzungumzia ugaidi kwenye mawasiliano ya simu, bali...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imewaamuru watu waliofika mahakamani hapo kusikiliza kesi ya uhujumu...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2022ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luten Denis Urio, amedai hafahamu kosa na sababu za kukamatwa kwa Halfan Bwire Hassan,...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imemuamuru Luteni Denis Urio, shahidi wa 12 Jamhuri, ajibu maswali...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kwa muda kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuJanuary 27, 2022LUTENI Denis Urio, shahidi wa 12 wa Jamhuri, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, katika nyakati tofauti alimpatia Sh. 699,000, kwa ajili...
By Regina MkondeJanuary 27, 2022SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri, katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, ASKARI wa Jeshi la...
By Regina MkondeJanuary 26, 2022MAKAMU wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi – Zanzibar, Othamn Masoud Othman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati kuu ya...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2022OFISA wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Denis Urio, amedai Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, alimueleza anatafuta kampuni za...
By Regina MkondeJanuary 26, 2022LUTENI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Dennis Urio (42), amepanda kizimbani kutoa ushahidi wake, katika kesi ya ugaidi...
By Regina MkondeJanuary 26, 2022KESI ya uhujumi uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeahirishwa hadi Jumatano, tarehe 26 Januari 2022, kutokana na shahidi...
By Regina MkondeJanuary 24, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana wa Kitanzania wahakikishe wanajiwekea malengo ya kusoma kwa bidii ili kupata maarifa yatakayolisaidia Taifa...
By Mwandishi WetuJanuary 24, 2022KAMISHNA wa Tume ya Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amewaomba viongozi wa dini kupitia Jumuiya ya Maridhiano kuwahamasisha Watanzania kushiriki...
By Danson KaijageJanuary 24, 2022MPELELEZI wa Makosa ya Jinai, Goodluck Minja, amedai hafahamu kama ripoti ya uchunguzi wa tukio la aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema),...
By Regina MkondeJanuary 24, 2022ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, sasa ameamriwa kufika mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2022MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema mkoa huo umevunja rekodi kwa kupokea kiasi kikubwa cha fedha za maendeleo zilizotolewa na...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2022LICHA ya kukaribishwa na wimbo wa simba jike katika uzinduzi wa Tamasha la utamaduni mkoa Kilimanjaro, Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2022SERIKALI kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na majadiliano ya...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2022MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Goodluck Minja, amedai washtakiwa wawili katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2022MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi James Mbatia amefungua Shauri namba 2 la Kikatiba la mwaka 2022 kuzuia uchaguzi wa Spika, akidai mchakato...
By Seleman MsuyaJanuary 21, 2022MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Askari Polisi namba H4347 Goodluck, amedai Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa...
By Regina MkondeJanuary 21, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Januari, 2022 amemteua Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2022KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania – Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempitisha Dk. Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti cha Spika...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2022WANACHAMA 11 wa chama cha siasa cha upinzania, ACT-Wazalendo, wamechukua fomu kuomba nafasi za uongpzi, wawili wakiwania uenyekiti. Anaripoti Selemani Msuya, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, iliyopo Mawasiliano jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Jamhuri kutimiza wajibu...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2022MCHUNGUZI wa vifaa vya kidigitali wa Jeshi la Polisi Tanzania, Innocent Ndowo (37), amedai hajawasilisha mahakamani sauti za mawasiliano baina ya Mwenyekiti...
By Regina MkondeJanuary 20, 2022HUKU mchakato wa kumpata spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea, imeshauriwa kupatikana spika mwenye ujasiri wa kumshauri Rais Samia...
By Gabriel MushiJanuary 20, 2022CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo Alhamisi, tarehe 20 Januari 2022, kitatoa dira ya nani atakuwa Spika wa Bunge...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema hana ugomvi na shahidi wa Jamhuri, Innocent Mdowo (37), kwani ni...
By Regina MkondeJanuary 20, 2022