Friday , 26 April 2024

Month: March 2019

Habari za SiasaTangulizi

Tume ya Uchaguzi yatangaza uchaguzi Jimbo la Nassari

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Semistocles Kaijage ametangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki. Anaripoti Hamisi Mguta … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi Wizara ya Fedha na TRA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Adolf Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango anayeshughulikia...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli atunuku Kamishisheni Maafisa 146 wa JWTZ

RAIS John Magufuli amewatunuku Kamisheni Maafisa wapya 146 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kundi la 65/18. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Hafla...

Habari Mchanganyiko

Kituo cha kuzalisha umeme Mlandizi chateketea

KITUO cha kuzalisha na kusambaza umeme cha Mlandizi mkoani Pwani, kimteketea kwa moto leo tarehe 30 Machi 2019. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Kimataifa

BBC na VOA wapigwa marufuku tena Burundi    

SERIKALI ya Burundi, imewapiga marufuku waandishi wa shirika la BBC na Sauti ya Marekani (VOA), kutofanya kazi nchini humo. Baraza la taifa la...

Habari za SiasaTangulizi

Baada ya Segerea, Mbowe kuongoza Kamati Kuu leo

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Taifa, pamoja na wajumbe wa Kamati Kuu wanakutana leo tarehe 30 Machi 2019 kujali...

Habari Mchanganyiko

Kigogo wa TAKUKURU aburuzwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

TAASISI ya Kuzuiya na Kupambana na Rushwa  (Takukuru)  imemburuza kortini Kulthum Mansoor, Mkurugenzi wa Taasisi hiyo wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini  kwa kudaiwa...

Elimu

‘Wahitimu Kidato cha IV wachangamkie fursa hii’

WANAFUNZI waliomaliza Kidao cha IV mwaka 2018 na matokeo yao kutangazwa, sasa wanaweza kutumia mfumo maalumu kubadili chaguo za masomo na tahasusi kulingana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Twiga wa ATCL ‘amnogesha’ JPM, amwaga mamilioni

KAZI ya upakaji rangi, sambamba na uchoraji wa picha ya Twiga kwenye ndege ya viongozi wa serikali iliyotolewa na Rais John Magufuli kwa...

Afya

Serikali yaokoa Bil 10 za chanjo

KUKAMILIKA kwa ujenzi wa jengo la Bohari ya Taifa ya chanjo, umesaidia kuokoa Sh. 10 bilioni kwa mwaka ambazo zingetumika katika kuhifadhi chanjo...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh wa Takbir ya ACT-Wazalendo akanwa kweupe

SHEIKH Juma Ramadhan, Imamu wa Msikiti wa Masjid Taqwa, jijini Dar es Salaam, amejipachika cheo kisicho chake. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakati...

Habari za Siasa

Nusura ATCL wamwingize mkenge Rais Magufuli

MAOFISA wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), walikuwa kwenye hekaheka za kukwapua fedha za umma kupitia kauli ya Rais John Magufuli aliyoitoa tarehe...

Habari za Siasa

Bulaya akwamisha kesi ya vigogo Chadema

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana...

Habari za Siasa

Takukuru kufuatilia kwa karibu Uchaguzi Serikali za Mitaa

UCHAGUZI wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, utafuatiliwa kwa karibu zaidi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania...

Habari za Siasa

Hatma ya pingamizi za serikali kwa Nassari kesho

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dodoma kesho tarehe 29 Machi 2019, itatoa uamuzi wa pingamizi tatu, zilizotolewa na serikali katika kesi ya maombi madogo...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif apigwa ‘stop’ Clouds TV

MAMLAKA katika kituo cha televisheni cha Clouds, jijini Dar es Salaam, imeagiza kufutwa kwa mahojiano kati ya kituo hicho na mwanasiasa mkongwe Visiwani...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yabatilisha hukumu ya Bob Chaha Wangwe

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imebatilisha hukumu ya mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa Tarime, marehemu Chacha Wange- Bob Chacha Wangwe. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba kupata pigo jingine la mwaka  

WABUNGE karibu wote wa Chama cha Wananchi (CUF), kutokea Unguja na Pemba,  wanatarajiwa kutangaza kuondoka kwenye chama hicho, muda wowote kutoka sasa. Anaripoti Yusuph Katimba …...

Habari za SiasaTangulizi

Takbiri ya ACT-Wazalendo; Mkakati wa CUF kutumia masheikh wavuja

MKUTANO ulioitishwa na Sheikh Juma Ramadhan, Naibu Amiri wa Shura ya Vijana na Maimamu wa Mkoa wa Dar es Salaam, umeratibiwa na uongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wazuia mkutano wa ACT-Wazalendo

JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam, limepiga marufuku mkutano wa kisiasa wa Chama cha ACT-Wazalendo, kwa madai ya kuwapo tishio la vurugu....

Elimu

Waziri Mkuu atoa onyo kwa maofisa Elimu

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa maofisa elimu nchini kutojihusisha kwenye vitendo vya kupanga na kuiba mitihani ya kitaifa. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua Mkurugenzi Mamlaka ya Viwanja vya Ndege

RAIS John Magufuli amemteua Mhandisi, Julius Ndyamukama kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe amuumbua Jaji Mutungi   

ZITTO Zuberi Kabwe Ruyangwa, “ameivua nguo,” ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Ameionyesha kutokuwa makini katika kushughulikia masuala yanayohusu ofisi yake;...

Habari za Siasa

Wabunge wa ‘Maalim Seif’ wategwa CUF

UONGOZI wa Chama cha Wananchi (CUF) umeanza kushinikiza wabunge waliokuwa wakimuunga aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shariff Hamad kwenda kuungama. Anaripoti...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mdhamini wa Lissu afunguka

ROBERT Katula, mdhamini wa kwanza wa mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, ametaja sababu tatu kubwa za kuomba kujitoa kwenye udhamini wa...

Habari za Siasa

Kuchomwa bendera; CUF yatinga kortini

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimefungua shauri mahakamani visiwani Zanzibar kushitaki watu wanaodaiwa kuchoma bendera zake pia kupaka rangi ya bendera ya Chama cha...

Habari za Siasa

Hivi ACT-Wazalendo inawachoma CUF, CCM, Ofisi ya Msajili?

BARUA ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini iliyotoka na kusambazwa jana tarehe 25 Machi 2019 kwenye mitandao ya kijamii na...

Michezo

Pondamali afunguka safari ya Lagos 1980

MLINDA mlango wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Pondamali amesema kuwa safari ya timu hiyo kufuzu katika michuano ya lililokuwa...

Michezo

JPM: Sikutaka fedheha, atoa zawadi ya karne kwa Taifa Stars

RAIS John Magufuli amekutana na Timu ya Soka ya Taifa-Taifa Stars- leo tarehe 25 Machi 2019 ambapo amewaeleza, alishindwa kwenda uwanjani kuangalia mechi...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawakaba koo wadhamini wa Lissu 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza kupekwa mbele ya mahakama, taarifa ya kinachoendelea juu ya matibabu ya mbunge wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kimbunga ACT-Wazalendo; CCM yaungana na CUF ‘kulaani’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeungana na Chama cha Wananchi (CUF) kulalamikia hatua ya waliokuwa wanachama wa chama hicho (CUF) kubadili rangi za majengo...

MichezoTangulizi

Ni zamu yetu, baada ya miaka 39, Stars yatinga AFCON 2019

BAADA ya miaka 39 na takribani miaka 27 ya kuitwa, “kichwa cha Mwandawazimu,” hatimaye timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), imefanikiwa kufuzu...

Habari Mchanganyiko

UNICEF: Cheti cha kuzaliwa ni ulinzi kwa mtoto

MKUU wa Kitengo cha ulinzi wa Mtoto kutoka UNICEF, Maud  Droogleever Fortuyn amesema kuwa usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto chini...

AfyaHabari Mchanganyiko

Watanzania 269 wanahisiwa kuwa na Kifua Kikuu

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa katika kila Watanzania 100,000, kati yao 269 wanahisiwa kuwa...

Michezo

Amunike awajia juu wanaobeza mfumo wake

KUELEKEA kwenye mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu kwa kombe la mataifa Afrika dhidi ya Uganda, kocha mjuu wa timu ya Taifa ya...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Msiombe JPM adumu madarakani

FIKRA kwamba, Rais John Magufuli anapaswa kuendelea kuwepo madarakani hata baada ya kumaliza muhula wake wa pili iwapo atachaguliwa, wametakiwa kuzika fikra hizo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ala kiapo mbele ya Wapemba

ACT-WAZALENDO hakujapoa. Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na amsha amsha ya ‘ShushaTangaPandishaTanga Safari iendelee’ inavyotekelezwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Bupe Mwakiteleko…(endelea). Ni kauli mbiu iliyoasisiwa baada...

Habari za Siasa

BAVICHA si kikundi cha uasi – Sosopi

HIKI sio kikundi cha uasi. Hatutukani mtu hapa wala hatushauri vurugu. Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema (BAVICHA) linafuata...

Habari za Siasa

JPM atibua Chadema, kwenda kortini

CHAMA cha Chadema kimesema kitafungua shauri mahakamani, kupinga sheria mpya ya vyama vya siasa, iliyosainiwa na  Rais John Magufuli tarehe 19 Machi mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba azidi kutokomezwa

HARAKATI za Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) kujiweka mbali na vyama shirika vya upinzani zinaelekea tamati. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Ni...

Habari Mchanganyiko

Makonda achimba mkwara DC, DEC

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ametoa siku tano kwa watendaji wa halmashauri zilizoko jijini humo, kuanza utekelezaji wa miradi...

Michezo

Peter Tino, Mutebezi waipa somo Stars

WACHEZAJI wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Peter Tino na Taso Mutebezi, wamewataka wachezaji wa sasa wa timu ya...

Afya

Dk. Ndugulile atembelea MOI, akagua chumba cha tiba mtandao

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Faustine Ndugulile ametembelea Taasisi ya Tiba ya mifupa, upasuaji wa ubongo,...

Kimataifa

New Zealand kufanya tukio la kihistoria leo

KUSHAMBULIWA na kuua wa kwa Waiumini wa Dini ya Kiislam msikitini kumeibua mambo mengi nchini New Zealand ikiwa ni pamoja na kuimarisha mshikamano...

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Msajili wa Vyama afute ACT-Wazalendo

KISHINDO cha Maalim Seif Shariff Hamad kuhamia Chama cha ACT-Wazalendo tayari kimeyumbisha chama chake cha awali, Chama cha Wananchi (CUF). Anaripoti Jabir Idrissa …...

Kimataifa

Baada ya Jerusalem Trump ataka Irsael itwae mlima Golan, Syria

BAADA ya kuteka Mji wa Jerusalem kutoka Taifa la Palestina na kuukabidhi kwa Israel, sasa Donald Trump, Rais wa Marekani anaelekeza nguvu kuuteka...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aifungulia Qatar milango ya uwekezaji

RAIS John Magufuli ameiomba nchi ya Qatar kushirikiana na serikali yake kwenye utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo, ikiwemo uzalishaji wa nishati ya...

Habari Mchanganyiko

Zitto, Mwigulu Nchemba, waparurana

MBUNGE wa Iramba (CCM), Mwigulu Nchemba, amemvaa  mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, kwa kile alichokiita, “kukosa utu.” Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Tanzania yatangaza fursa za Utalii kwa wawekezaji

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Professa. Adolf  Mkenda, amesema serikali imeanza mipango na mikakati itakayosaidia wizara hiyo kuongeza ukusanyaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge CUF, wamtega Lipumba

PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amewekwa njia panda na baadhi ya wabunge wa chama chake hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu...

error: Content is protected !!