Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Kituo cha kuzalisha umeme Mlandizi chateketea
Habari Mchanganyiko

Kituo cha kuzalisha umeme Mlandizi chateketea

Spread the love

KITUO cha kuzalisha na kusambaza umeme cha Mlandizi mkoani Pwani, kimteketea kwa moto leo tarehe 30 Machi 2019. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Akizungumza na MwanaHALISI ONLINE kuhusu tukio hilo, Wankyo Nyigesa, Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani amesema, moto huo ulizuka majira ya saa 2.15 asubuhi. 

Kamanda Wankyo amesema, hadi sasa chanzo cha moto huo hakijajulikana na kwamba, moto huo umeteketeza transform moja yenye megawati 24 ambayo ilikuwa ikizalisha na kusambaza umeme katika maeneo ya Bagamoyo, Kibaha na Mloganzila.

“Nikikuwepo eneo la tukio, hakuna madhara yoyote kwa binadamu isipokuwa jenereta limeteketea.  Hadi sasa chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana, tunasubiri matokeo ya uchunguzi wa watalaamu,” amesema Kamanda Wankyo.


                                    

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi wa wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

Spread the love  KAMISHNA wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP...

Habari Mchanganyiko

Vijana 400 waguswa na programu ya “Learning for Life” ya SBL

Spread the love  PROGRAMU ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

error: Content is protected !!