TAASISI ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemuhoji Lingstone Lusinde, aliyekuwa Mbunge wa Mtera (CCM) kwa tuhuma za kugwa rushwa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 9, 2020WIZI wa kura unaolalamikiwa wakati wa uchaguzi mkuu, sasa hautatokea kwa namna Chama cha ACT-Wazalendo kilivyojipanga Bara na Visiwani. Anaripoti Faki Sosi, Kasulu Kigoma...
By Faki SosiJuly 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad atashinda urais wa Zanzibar na tuna uhakika wa kushinda majimbo 34 ya uchaguzi visiwani humo. Anaripoti Faki Sosi, Kigoma …...
By Faki SosiJuly 9, 2020MIEZI sita baada ya kung’olewa Umeya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia...
By Hamisi MgutaJuly 9, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, yupo mdomoni mwa Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 8, 2020HOJA kwamba, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar, anachaguliwa Tanzania Bara imepingwa na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa chama...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2020JOSHUA Nassari, aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha na Willy Qambalo, aliyekuwa Mbunge wa Karatu, wote kutoka Chadema, wametimkia CCM. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020JIMBO la Nkenge lililopo katika Wilaya ya Misenye, Kagera linawindwa na makada 19 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmoja kutoka Chama cha...
By Danson KaijageJuly 8, 2020NATAMANI Tanzania iliyo tofauti na ya sasa, natamani Tanzania isiyogawika, tena isiyo na fursa ya kuwafanya hawa wawe chini au hawa juu. Tanzania...
By Regina MkondeJuly 8, 2020GASPAR Mwanalyela, Wakili wa Mahakama Kuu Tanzania, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 8, 2020WAKATI watia nia wanane kutoka CCM katika Jimbo la Bukoba Vijijini wakichuana kuwania kuteuliwa kugombea, Conchester Rwamlaza, aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum (Chadema)...
By Danson KaijageJuly 8, 2020IDADI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika majimbo tisa mkoani Kilimanjaro, wanaotaka kuwa wabunge mpaka sasa imefika 124. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020DAKTARI John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesikitishwa na kifo cha Balozi Job Lusinde, aliyekuwa mdhamini wa chama hicho katika uasisi...
By Mwandishi WetuJuly 8, 2020RIZIKI Mngwali, mtia nia wa ubunge katika Jimbo la Mafia kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, kelele za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye jimbo...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri wa Mambo ya Nje Nje katika Serikali ya Awamu ya Nne, ni...
By Hamisi MgutaJuly 8, 2020VIONGOZI wa mikoa mitano ya Chama cha ACT Wazalendo, wamemwomba Bernard Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tanzania, akubari ombi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema malengo ya Serikali ni kuimarisha usafiri kwenye maziwa yote na bahari ili kuwawezesha Watanzania wafanye biashara...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020DAKTARI Mayrose Majinge, amechukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020....
By Regina MkondeJuly 7, 2020ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC) alikuwa na mpango wa kwenda kugombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini, lakini amefuta wazo...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020AUGUSTINE Lyatonga Mrema, Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), amesema mitego ya chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, bado...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Mkuu wa Wilaya (DC) na Wakurugenzi wa Halmashauri (DED) tano nchini humo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020BERNARD Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania anazidi kuviweka mtegoni vyama vya upinzani nchini humo baada ya kusema, atagombea urais...
By Mwandishi WetuJuly 7, 2020WAZIRI wa Nchi, Ofisa ya Rais, Mwnejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amefanya uteuzi wa makatibu tawala watano wa wilaya (DAS)...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020BERNARD Kamillius Membe, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, ametangaza kurejesha kadi yake ya uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020IDDI Azzan, aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni (CCM), anajipanga kumvaa Maulid Mtulia anayemaliza muda wake kwenye jimbo hilo, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeJuly 6, 2020UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, jimbo la Iringa Mjini watashinda asubuhi na mapema....
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020WAKUU wa Mikoa, Wilaya na hata wakurugenzi wanaoomba ruhusa ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao, wapo njia panda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020PROFESA Palamaganda Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amewataka watumishi wa umma nchini kuwa waadilifu na uaminifu wakiwa...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020KASHFA ya dawa za kulevya niliyobebeshwa, ilitaka kunipelekea kufanya uamuzi wa kujitoa roho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Ni kauli ya...
By Regina MkondeJuly 6, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewaapisha wakuu wa mikoa (RC) na Katibu Tawala (RAS) aliowateua wakiwemo wakuu wa mikoa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli, itaendelea kudhibiti matumizi ya fedha...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameacha simanzi ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Mkoa wa Mtwara na Lindi. Anaripoti Faki Sosi, Lindi...
By Faki SosiJuly 6, 2020WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiendelea na mchujo wake kwa watia nia wa urais visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad tayari amechukua fomu...
By Mwandishi WetuJuly 6, 2020ABDUL Nondo, Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, ametangaza nia ya kugombea ubunge Kigoma Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2020KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, ameiagiza Kampuni ya Xiamen Ongoing Construction Group inayojenga Bandari ya Karema kwa gharama za zaidi ya Sh.47...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakurugenzi watano wa Halmashauri (DED) nchi humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Uteuzi...
By Masalu ErastoJuly 4, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakurugenzi watatu katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Masalu ErastoJuly 4, 2020KAMATI Maalum ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, imependekeza majina matano kati ya 31 ya wanachama wa chama hicho waliojitokeza...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kitatumia nguvu ya umma, kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonya watia nia katika kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kutoleta mpasuko ndani ya...
By Regina MkondeJuly 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimeweza kupata wagombea wa ubunge na udiwani, takribani asilimia 90 ya viti vyote vinavyogombewa. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 4, 2020PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), kwa kutumia mamlaka ya kikatiba, amemsimamisha Naibu Katibu Mkuu Zanzibar wa chama hicho,...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020TUNDU Antipas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amechukua fomu ya kugombea urais wa Tanzania, kupitia chama hicho, katika...
By Regina MkondeJuly 4, 2020TUNDU Antipas Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, atarejea Tanzania mwishoni mwa mwezi huu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJuly 4, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua, Mariam Perla Mmbaga kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu (RAS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2020RAIS wa Tanzania,John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mkoa (RC) wawili na Wilaya (DC) tisa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuJuly 3, 2020ZAIDI ya watia nia 30 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejitokeza kutaka kugombea Jimbo la Ngara, Kagera kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba Mwaka...
By Danson KaijageJuly 3, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeonesha hofu ya kuchafuliwa kupitia uchunguzi unaofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru). Anaripoti...
By Mwandishi WetuJuly 3, 2020ESTHER Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini amesema, ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hakuna manyanyaso ya kingono. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...
By Regina MkondeJuly 3, 2020WAZIRI wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu anayeshughulikia uwekezaji, Angellah Kairuki amesema, serikali iko mbioni kukamilisha uhakiki wa madai ya ushuru wa asilimia...
By Mwandishi WetuJuly 2, 2020