WAZIRI wa Nchi, Ofisa ya Rais, Mwnejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amefanya uteuzi wa makatibu tawala watano wa wilaya (DAS) nchini Tanzania.
Miongoni mwa Ma- DAS hao yumo, Hassan Ngoma, Mtangazaji wa Kituo cha Redio na Televisheni cha Clouds jijini Dar es Salaam anayekwenda Wilaya ya Singida.
Taarifa ya uteuzi hii hapa chini;
Leave a comment