Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ma-DAS 5 wateuliwa, yupo mtangazaji wa Clouds
Habari za Siasa

Ma-DAS 5 wateuliwa, yupo mtangazaji wa Clouds

Rais John Magufuli
Spread the love

WAZIRI wa Nchi, Ofisa ya Rais, Mwnejimenti ya Utumishi na Utawala Bora, George Mkuchika amefanya uteuzi wa makatibu tawala watano wa wilaya (DAS) nchini Tanzania.

Miongoni mwa Ma- DAS hao yumo, Hassan Ngoma, Mtangazaji wa Kituo cha Redio na Televisheni cha Clouds jijini Dar es Salaam anayekwenda Wilaya ya Singida.

Taarifa ya uteuzi hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!