Saturday , 27 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Maalim Seif: Safari hii tunakaba kote

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, hakitaruhusu sehemu yoyote Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupita bila kupingwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Zitto amteua Membe kuwa mshauri mkuu ACT-Wazalendo

BERNARD Membe, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo, amepewa cheo cha ‘mshauri wa chama’ hicho. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Urais Chadema: Kesi za Lissu si hoja

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeeleza kwamba hakitakwama kumpitisha Tundu Lissu kwa sababu ya kuhofia kesi zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Magufuli awapokea mabalozi wa Marekani, Vietnam

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amepokea hati za utambulisho za mabalozi wawili walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yanza kupitia ‘mafaili’ ya watia nia

KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeketi leo tarehe 2 Agosti 2020 ikiwa ni maandalizi ya kuelekea Mkutano Mkuu. Anaripoti Hamis Mguta, Dar...

Habari za Siasa

Lissu kupenya Urais Chadema?

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ndio jina linalokita kwenye vichwa vya wengi kuhusu kupitishwa kwake kuwania urais...

Habari za SiasaTangulizi

Ngoma bado mbichi CCM

KAULI ya Kasim Majaliwa, Waziri Mkuu na Humphrey Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwamba ‘wateule hawajapatikana,’ inaumiza...

Habari za Siasa

Nondo: Mahakama iwape dhamana viongozi Bavicha

NGOME ya Vijana ya Chama Cha ACT-Wazalendo kimelaani viongozi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), kunyimwa dhamana. Anaripoti...

Habari za Siasa

Samia afungua maonyesho ya nanenane, atoa maagizo nchi nzima

SERIKALI ya Tanzania, imeagiza wizara, taasisi za umma na binafsi kutumia maonesho ya kilimo ‘Nanenane’ kama jukwaa la wakutanisha wadau wake, kwa ajili...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yatoa vifaa vya uchaguzi Dodoma

CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimeanza kugawa vifaa vya uchaguzi kama bendera, katiba na kadi kwa wagombea wake wa...

Habari za SiasaTangulizi

Saa 72 za moto Chadema

CHAMA Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kinaingia siku tatu ngumu za mchakato wa kupata mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar katika...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Mufti Wa Tanzania awapa neno Waislamu

ABOUBAKAR Zubeir, Mufti Mkuu wa Tanzania, amewaonya watu wanaopanga kufanya vurugu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba, 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Viti maalum UVCCM: Agness aibuka mshindi, DC awapa neno

AGNESS Mchau (30), ameibuka mshindi kura za maoni ubunge wa viti maalum Mkoa wa Kilimanjaro kupitia Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Mwanafunzi ‘atumia fursa’ mbele ya JPM

REHEMA Mikidani Ngenje, Mwanafunzi wa Darasa la Nne Shule ya Msingi Somanga, Lindi amemweleza Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, shule yao ilivyo...

Habari za SiasaTangulizi

ZEC: Uchaguzi mkuu Z’bar Oktoba 27 na 28

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imetangaza Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa urais na uwakilishi utafanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Wajumbe UVCCM wapokonywa simu mkutanoni

WAJUMBE wa Baraza la Vijana la Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) jijini Dodoma, wamepokonywa simu zao za mkononi, wakati wa mkutano wa kura za...

Habari za SiasaTangulizi

Ubunge Viti maalum: Wajumbe UVCCM kazini leo

WAJUMBE wa Mabaraza ya Vijana ya Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wa mikoa nchini Tanzania, leo Alhamisi tarehe 30 Julai 2020, watapiga kura za...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwinyi amwombea msamaha Mkapa

ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, amemwomba Mwenyezi Mungu kumsamehe Hayati Benjamin William Mkapa pale alipoteleza wakati wa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Kikwete aeleza walivyotoana jasho na Mkapa mwaka 1995

RAIS mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameeleza jinsi alivyomtoa jasho Hayati Benjamin William Mkapa, katika mchujo wa mgombea...

Habari za Siasa

Shibuda apitishwa kugombea urais Tanzania

KATIBU Mkuu wa Chama cha ADA-Tadea, John Shibuda amepitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi...

Habari za Siasa

Kesi ya viongozi, wanachama 26 Chadema yakwama

KESI ya viongozi na wafuasi 26 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaokabiliwa na mashtaka saba yakiwamo kutoa lugha ya maudhi na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli atua Mtwara, mwili wa Mkapa wawasili Lupaso

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mtwara kwa ajili ya kushiriki shughuli ya mazishi ya Rais mstaafu...

Habari za Siasa

Zitto, Maalim Seif na Membe walivyozungumzia ujio wa Lissu

VIGOGO wa siasa za upinzani nchini Tanzania , Maalim Seif Sharif Hamad, Zitto Kabwe na Bernard Membe wamemkaribisha nchini humo kwa maneno ya...

Habari za Siasa

Simulizi ya Tundu Lissu ilivyosisimua

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ametoa simulizi ya hali aliyonayo sasa iliyowafanya wasikilizaji kulengwa lengwa na machozi...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba kugombea urais Tanzania

MKUTANO Mkuu Maalum wa Chama cha Wananchi (CUF), leo Jumatatu tarehe 27 Julai 2020, umempitisha Prof. Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama hicho kuwani...

Habari za Siasa

NEC yawanoa wasimamizi wa uchaguzi, yawapa onyo

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kuzingatia weledi na kuepuka kufanya kazi...

Habari za Siasa

Ofisi ya Msajili: Mkapa ana historia ndani ya CUF

SISTY Nyahoza, Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania amesema, Hayati Benjamin William Mkapa, Rais wa awamu ya tatu ameacha mchango wake...

Habari za SiasaTangulizi

Mapokezi ya Lissu yalivyotikisa

UJIO wa Tundu Antiphas Lissu, makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, umetikisa viunga vya Jiji la Dar es...

Habari za Siasa

Lipumba asimulia mwaka 1995 alivyoitwa Profesa uchwara

MWAKA 1995, niliitwa Profesa uchwara, zile sera za Chama cha Wananchi (CUF), sasa wanazitekeleza lakini wanashindwa kutekelza kwa ufasaha wake kwa kuwa sio...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba: CCM bila dola haipo

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema, Watanzania wamechoshwa na maisha ya umasikini, na sasa uhai wa Chama Cha Mapinduzi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atua Tanzania, shangwe zatawala

TUNDU Antiphas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara amewasilia nchii hum oleo Jumatatu tarehe 27 Julai...

Habari za Siasa

Lissu kupokelewa kwa maandamano

WANACHAMA na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watamsindikiza Tundu Lissu kwa maandamano kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

Habari za Siasa

Wamiminika kumpokea Lissu

BAADHI ya wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kutua Tanzania leo, maandalizi yakamilika

TUNDU Antiphas Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania cha Chadema- Bara ameanza safari ya kutoka Ubelgiji kurejea nchini mwake...

Habari za Siasa

Mwili wa Mkapa warejeshwa hospitali ya Lugalo

MWILI wa Hayati Rais wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin William Mkapa umerejeshwa Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo kutoka Uwanja wa Uhuru...

Habari za Siasa

Lissu: Nilivyo si kama nilivyokuwa awali

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, anarejea nyumbani kwao Tanzania lakini alivyo sasa si kama alivyokuwa miaka...

Habari za Siasa

Mbunge akumbuka wema wa Mkapa

MBUNGE aliyemaliza muda wake wa Itilima Mkoa wa Simiyu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Njalu Daudi amesema, wananchi wa jimbo hilo watamkumbika Hayati...

Habari za Siasa

Mbowe apigiwa kura za ndio Hai, wawili wamkataa

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania Chadema ameshinda kura za maoni za kuwani Ubunge wa Hai Mkoa wa Kilimanjaro katika...

Habari za SiasaTangulizi

Ibada kuaga mwili wa Mkapa Dar, Rais Magufuli ashiriki

MAMIA ya wananchi wamejitokeza kwa wingi Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, kuuaga mwili wa Hayati Rais mstaafu wa awamu ya tatu...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Rais Magufuli atangaza mapumziko Oktoba 28

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametangaza Oktoba 28, 2020 siku ya Uchaguzi Mkuu kuwa mapumziko. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: SAU yapata wagombea urais Tanzania, Z’bar

CHAMA cha Sauti ya Umma (Sau) nchini Tanzania, kimewapitisha wagombea wa urais wa Tanzania na Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aifariji familia ya Mkapa

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefika nyumbani kwa Hayati Rais wa awamu ya tatu wa nchi hiyo, Benjamini William Mkapa, Masaki jijini...

Habari za Siasa

Hoja ya Uchaguzi Mkuu 2020 yaibuka msiba wa Mkapa

VIONGOZI mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania, wameendelea kujitokeza nyumbani kwa Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa nchi hiyo, Benjamini William...

Habari za Siasa

Mchungaji Msigwa: Sioni wa kunishinda Iringa Mjini

MBUNGE anayemaliza muda wake wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameshinda kura za maoni kutetea nafasi...

Habari za Siasa

Membe akwama kupokelewa Lindi

BERNARD Kamilius Membe, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, amekwama kupokewa Lindi leo Jumamosi tarehe 25 Julai 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Polisi Tanzania yazuia mikusanyiko isiyo halali

JESHI la Polisi Tanzania limetoa onyo la mikusanyiko ya aina yoyote katika kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Rais mstaafu wa awamu...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba- Mwaka 2001 Tulijitenga na Mkapa

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema baada ya mauaji ya Zanzibar mwaka 2001, walijitenga na Rais mstaafu Benjamin William...

Habari za Siasa

Mama Samia: Akisimama Mkapa, shughuli imeisha

MAMA Samia Suluhu Hassam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameeleza kufadhaishwa na kifo cha Benjamin Mkapa, Rais wa awamu...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Viongozi wastaafu wajifunze kwa Mkapa

CHAMA tawala nchini Tanzania Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kitamkumbuka Rais wa awamu ya tatu, Hayati Benjamin William Mkapa jinsi alivyokijenga chama hicho na...

Habari za Siasa

Butiku: Ukiondoka madarakani, usiwachagulie Watanzania kiongozi

JOSEPH Butiku, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), amesema, Chama Cha Mapinduzi (CCM), hakina tabia ya kuwachaguliwa Watanzania rais na...

error: Content is protected !!