Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi Tanzania yazuia mikusanyiko isiyo halali
Habari za Siasa

Polisi Tanzania yazuia mikusanyiko isiyo halali

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime
Spread the love

JESHI la Polisi Tanzania limetoa onyo la mikusanyiko ya aina yoyote katika kipindi hiki cha maombolezo ya kifo cha Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Onyo hilo limetolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime leo Jumamosi tarehe 25 Julai 2020.

Miseme amatoa onyo hilo ikiwa ni saa chache zimepita tangu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwakaribisha Watanzania kumpokea Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa chama hicho.

Lissu anatarajiwa kurejea Tanzania Jumatatu mchana tarehe 27 Julai 2020 akitokea nchini Ubelgiji ambako amekuwa huko tangu tarehe 6 Januari 2018.

          Soma zaidi:-

Katika taarifa ya Misime imesema, katika kipindi hicho, Taifa liko katika maombolezo ya hayati Mkapa aliyefariki usiku wa kuamkia jana Ijumaa tarehe 24 Julai 2020 katika moja ya Hospitali jijini Dar es Salaam.

Soma taarifa yote ya Kamanda Misime

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

error: Content is protected !!