Sunday , 28 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

DK. Mashinji amvaa Rais Magufuli

DAKTARI  Vicent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amesema dhamira ya Rais John Magufuli, kukabiliana na ufisadi haiwezi kufanikiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto, Mrema walilia MAWIO

MUDA mfupi baada ya Serikali kutangaza kulifungia gazeti la MAWIO kwa miaka miwili, Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na John...

Habari za SiasaTangulizi

CCM ‘yawagwaya’ Chenge, Muhongo, Ngeleja

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwa sasa hakiwezi kuwachukulia hatua wabunge wa chama hicho ambao wamekuwa wakihusika mara kwa mara katika kashfa za...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli awakingia kifua Mkapa, Kikwete sakata la madini

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amevijia juu vyombo vya habari vinavyowataja na kuwahusisha marais wastaafu Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete kwenye ripoti ya...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye, Lowassa watajwa sakata la madini bungeni

WAKATI wabunge wa upinzani wakishinikiza marais waliopitisha mikataba mibovu kuhojiwa, Job Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania amewaibua Mawaziri wastaafu Edward Lowassa na...

Habari za Siasa

Magufuli ajiapiza ‘kuwamaliza’ Mdee, Bulaya

RAIS John Magufuli, amempongeza Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua anazochukua dhidi ya wabunge “wasumbufu” na...

Habari za Siasa

Mdee airarua Bajeti

HALIMA James Mdee, Waziri kivuli wa Fedha na Mipango, na Mbunge wa Jimbo la Kawe (Chadema), amechambua mapendekezo ya bajeti ya serikali kwa mwaka...

Habari za Siasa

Halima Mdee kuliburuza Bunge mahakamani

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee amesema wanatarajia kwenda mahakamani kwa ajili ya kupinga uamuzi wa Bunge wa kuwasimamisha kwa kutohudhuria vikao vya bunge...

Habari za Siasa

Regina Lowassa awapa mbinu BAWACHA kuing’oa CCM

BARAZA la wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) wametakiwa kuungana na kuweka mipango mikakati ya nguvu ili kuhakikisha wanaiondoa CCM madarakani...

Habari za Siasa

Prof. Mkenda: Wanasiasa msitupelekeshe

PROFESA Adrof Mkenda, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, amewataka wanasiasa hapa nchini kuacha kuingilia masuala ya kitaalam yanayofonywa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea aukataa mpango wa uchumi

MBUNGE wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema) ameiponda taarifa ya hali ya uchumi 2016 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha...

Habari za SiasaTangulizi

Mfumo wa JPM wautibua ACT-Wazalendo

KAMATI ya Uongozi ya chama cha ACT-Wazalendo imeonesha kutofurahishwa na namna ya teuzi za John Magufuli, Rais wa Tanzania zinavyofanyika bila mashauriano na wahusika...

Habari za Siasa

Lukuvi azua mtafaruku ibada ya Ndesamburo

WILLIAM Lukuvi  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amesababisha mtafaruku kwa muda mfupi baada ya kutinga kanisani na ving’ora vya jeshi la...

Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira akabidhiwa Ilani CCM, ACT kumjadili

ANNA Mghwira, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo amekabidhiwa Ilani ya CCM baada ya kuapishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ikulu leo, anaandika Hamisi Mguta....

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya, Mdee wazuiwa kuingia bungeni mpaka mwakani

BUNGE la Tanzania limetoa hukumu kwa Wabunge Halima Mdee wa Kawe na Esther Bulaya wa Bunda kutohudhuria vikao vyote vya bunge vinavyoendelea mpaka...

Habari za Siasa

Anna Mgwira kumrithi Meck Sadick

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amemteua Anna Mgwira, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kuwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, anaandika Hamisi Mguta. Mgwira ambaye alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Bavicha wamlaani Ndugai

SIKU moja baada ya Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, kumtoa kwa nguvu Waziri Kivuli wa Wizara ya Nishati na Madini, John...

Habari za Siasa

Kubenea awalipua Mwakyembe, Mwambalasa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Saed Kubenea (Chadema) amewalipua Dk. Harrison Mwakyembe na Victor Mwambalasa kuwa ni miongoni mwa watu ambao wanahusika katika kupitisha...

Habari za Siasa

Mgogoro Poli Tengefu la Loliondo wadumu miaka 25

MBUNGE wa Viti Maalum, Catherine Magige (CCM) amehoji kuhusina na ni lini serikali itatatua mgogoro wa Pori Tengefu la Loliondo uliodumu zaidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai amtupa ‘jela’ Mnyika, Wapinzani wasusa

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameamuru askari wa Bunge wamtoe nje, John Mnyika, Mbunge wa Kibamba na iutohudhuria vikao saba la bunge hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali haimjui aliyebuni Nembo ya Taifa

SERIKALI imesema mpaka sasa haijafahamika ni nani aliyebuni nembo ya taifa tofauti na ilivyokuwa ikijulikana kuwa aliyebuni nembo hiyo ni Francis Ngosha (80)...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe aelezea Ndesambulo alivyofariki

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupokea kwa mshutuko mkubwa wa kifo cha Muasisi wa chama hicho na mbunge wa mstaafu wa jimbo...

Habari za Siasa

Kubenea amtoa jasho Mwijage bungeni

WAZIRI wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji,Charles Mwijage alijikuta katika wakati mgumu baada ya kushindwa kujibu swali la nyongeza la Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea...

Habari za Siasa

Serikali kurudisha viwanda vyake kutoka kwa wawekezaji

SERIKALI, iko mbioni kuvirejesha serikalini viwanda vyake vinane vilivyokuwa vinaendeshwa na wawekezaji, anaandika Dany Tibason. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa...

Habari za SiasaTangulizi

TANZIA: Philemon Ndesamburo afariki dunia

MBUNGE wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo amefariki dunia ghafla leo, wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi,...

Habari za SiasaTangulizi

CDA wazidi kubanwa, sasa kuchunguzwa

WAKATI Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akikiri kwamba kuna utapeli unaodaiwa kutekelezwa na baadhi ya watendaji wa iliyokuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwijage ajifananisha na Gaddafi

WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema yeye ni muumini wa Mohammed Gaddafi, kwa kueleza kuwa yeye anafanya kazi ya kujenga...

Habari za Siasa

Mchanga wa madini waondoka na Prof. Muhongo

RAIS Rais John Magufuli ameanza kutekeleza ushauri aliopewa katika ripoti ya Kamati ya kuchunguza makontena ya mchanga wa madini yaliyokamatwa kwa kumtengua uteuzi...

Habari za Siasa

Chadema kuiteka Dodoma

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinategemea kupokea wageni zaidi ya 1,500 katika mji wa Dodoma ambao watahudhuria vikao vya kamati kuu na...

Habari za Siasa

Halima Mdee adai haki ya wanawake kumiliki ardhi

MBUNGE wa Kawe Halima Mdee (Chadema) ameitaka serikali ieleze ni lini sheria kandamizi kwa akina mama zitaondolewa hasa katika upande wa umilikaji na...

Habari za SiasaTangulizi

CCM Mwanza watifuana, maslahi binafsi yatajwa

VIONGOZI wakubwa wa Jiji la Mwanza, James Bwire, Meya wa jiji hilo kwa tiketi ya CCM na Mkurugenzi wa jiji hilo, Kiomoni Kibamba...

Habari za SiasaTangulizi

Matajiri Dodoma watangaziwa vita

MKURUGENZI wa Manispaa ya Dodoma, Godwin Kunambi amewatangazia vita matajiri wakubwa waliopora na kujilimbikizia viwanja bila kuviendeleza kwa wakati, anaandika Dany Tibason. Kunambi amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Mkurugenzi Mwanza matatani kutoa zabuni ‘kinyemera’

KIOMONI Kibamba, Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, ameingia katika mvutano na madiwani wa halmashauri ya jiji hilo baada ya kujenga chini ya kiwango...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Serikali inaua viwanda vya ndani

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameitaka serikali kusimamia ipasavyo sekta ya viwanda ili kuhakikisha kinachozalishwa nchini kinakuwa na maana kwa faida ya...

Habari za SiasaTangulizi

Agizo la Magufuli lawatafuna wafungwa Moro

AGIZO la Rais John  Magufuli kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukata umeme popote hata katika taasisi ya serikali imesababisha Magereza 14 katika...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wadai bima ya maisha

WABUNGE wameshangazwa kitendo cha ofisi ya bunge kupitia Jumuiya ya Madola (CPA) kushindwa kuwakatia bima ya maisha wabunge ambao wanamaliza muda wao kama...

Habari za Siasa

Wabunge, Spika watoa Sh. 100 milioni kwa wafiwa

WABUNGE wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameadhimia kutoa milioni 86 pesa za posho ya kikao cha siku kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Hazina waisusia mishahara Lushoto

HALMASHAURI ya wilaya ya Lushoto inatumia zaidi ya Sh. 28 milioni kulipa mishahara ya watumishi kila mwezi Bunge limeelezwa, anaandika Dany Tibason. Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Shilingi 29 bil kujenga kituo kipya cha Ubungo

UJENZI wa kituo kipya cha Mabasi cha Ubungo kinachotarajiwa kujengwa maeneo ya Mbezi Luis kinakadiliwa kutumia Sh. 28.72 bilioni, anaandika Dany Tibason. Naibu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM mdaiwa sugu

JUMANNE Kishimba, Mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga (CCM) anatuhumiwa kushindwa kulipa kodi ya ardhi kiasi cha Sh. 2.7 milioni kwa kipindi cha mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Mdee huru kesi ya kumshika matiti RAS

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge wa Ukawa na madiwani wawili waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa...

Habari za Siasa

Waziri hajui gharama za kukimbiza Mwenge

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama ameshindwa kujua bajeti ya ukimbizaji...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Fedha za Bombadier zingejenga hospitali za Ocean Road tano

MBUNGE wa Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema) amesema anasikitisha kuona serikali inakimbilia kutoa mabilioni ya fedha kununua ndege wakati hali ya afya ni mbaya...

Habari za Siasa

Mtatiro: Kambaya mimi sio ‘size’ yako

JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi CUF, amesema hawezi kukutana na Abdul Kambaya, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF,  kujadili...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee atupwa ‘jela,’ Mbowe asamehewa

KAMATI ya Haki na Maadili ya Bunge imetoa adhabu kwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kutohudhuria vikao vya Bunge la Bajeti vilivyobaki baada...

Habari za Siasa

Lukuvi atishia kumtoboa kitambi DED

WILLIAM Lukuvi, WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemtahadhalisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela, John Wanga, kwamba atakitoa pumzi kitambi chake,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM atuhumiwa kuhujumu uchumi

MBUNGE wa Kwimba, Mwanza, Shannif Mansour (CCM), anatuhumiwa kugoma kulipa kodi ya eneo lake la ardhi lenye ukubwa wa hekta 39,000, kiasi cha...

Habari za Siasa

Bunge lisiwe ndumilakuwili – Kubenea

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, amehoji uhalali wa Bunge kuwaadhibu wabunge wa upinzani na “kuwanyamazia” wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anaandika Erasto...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti ya vyeti feki yamlinda Makonda

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambaye anatuhumiwa kutumia vyeti feki amenusurika kuondolewa katika nafasi yake baada ya Waziri wa...

Habari za Siasa

Rais Magufuli achimba mkwara kiaina

RAIS John Magufuli, amesema mtu yeyote atakayejitokeza na kujaribu kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zazibar atavunjika yeye, anaandika Dany Tibason. Amesema kuulinda Muungano...

error: Content is protected !!