Saturday , 3 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Bulaya, Mdee wazuiwa kuingia bungeni mpaka mwakani
Habari za SiasaTangulizi

Bulaya, Mdee wazuiwa kuingia bungeni mpaka mwakani

Wabunge Ester Bulaya na Halima Mdee
Spread the love

BUNGE la Tanzania limetoa hukumu kwa Wabunge Halima Mdee wa Kawe na Esther Bulaya wa Bunda kutohudhuria vikao vyote vya bunge vinavyoendelea mpaka mkutano ujao wa Bunge la Bajeti ya 2018/19, anaandika Hamisi Mguta.

Kamati ya Maadili  leo imesema Bulaya na Mdee wamemaliza adhabu za kawaida zilizopo kwenye kanuni za bunge, huku hukumu hiyo ikiungwa mkono na wabunge wengi.

Hata hivyo, Bunge liliendelea  kujadili makosa ya wabunge hao huku George Mkuchika, Mwenyekiti wa kamati hiyo akiomba Bunge kujadili adhabu inayostahili kulingana na makosa yao.

Kanuni inasema, mbunge anayefanya kosa la kwanza anaweza akazuiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 10 na atayakosea kwa mara ya pili anaweza kuzuiwa kuhudhuria vikao visivyozidi 20.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi NIC apandishwa kizimbani, akabiliwa na mashitaka 365

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

error: Content is protected !!