Friday , 26 April 2024
Home mwandishi
8721 Articles1245 Comments
Habari Mchanganyiko

GSM atoa vielelezo umiliki eneo Makonda analodai lake

MFANYABISHARA Ghalib Said Mohamed maarufu GSM, ametoa vielelezo kadhaa vinavyoonesha kuhusika katika umiliki wa eneo lenye mgogoro baina yake na aliyekuwa Mkuu wa...

Michezo

Rayvanny akiwasha Ufaransa, Mondi akizindua EP

MSANII wa Bongofleva kutoka lebo ya Wasafi, Raymond Mwakyusa ‘ Rayvanny’ amezidi kuzikwea ngazi za kimuziki duniani baada ya kuangusha bonge la shoo...

Kimataifa

Madadapoa watangaza mgomo wa huduma kwa madereva bodaboda

BAADHI ya wanawake wanaofanya biashara haramu ya ngono katika Mji wa Mombasa nchini Kenya, wametangaza kusitisha kutoa huduma zao kwa waendesha bodaboda baada...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti ya pili ya Rais Samia imelenga kufikisha wapi uchumi?

  WAKATI mwaka mmoja wa kukamilisha bajeti yake, ukifikia ukingoni, Serikali ya awamu ya sita imelenga kuongeza zaidi ukuaji uchumi kwa mwaka wa...

Habari Mchanganyiko

North Mara yaeleza inavyodhibiti uchafuzi mazingira

  Mgodi wa Dhahabu wa North Mara, umeeleza mikakati mbalimbali iliyofanyika katika kuhakikisha hausababishi uchafuzi wa mazingira ikiwemo vyanzo vya maji. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaitaja vita Ukreinia-Urusi vihatarishi bajeti 2022/23

VITA inayoendelea baina ya Ukreinia na Urusi, imetajwa miongoni mwa vihatarishi kwa utekelezaji wa bajeti ya Serikali 2022/23. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndumbaro ateta na klabu tatu Hispania kuitangaza Tanzania

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki ligi kuu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataja sababu nne kuongezeka mfumuko wa bei

SERIKALI imetaja sababu nne za kuongezeka mfumuko wa bei hadi wastani wa asilimia 4 katika kipindi cha Julai 2021 hadi Januari 2022. Anaripoti...

Habari za Siasa

Uchumi wa Tanzania waongezeka kwa asilimia 0.1

UCHUMI wa Tanzania umeongezeka kwa asilimia 0.1 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Dodoma … (endelea). Uchumi wa Tanzania umeongezeka kwa...

KimataifaMichezo

Muigizaji Jussie Smollett ahukumiwa jela siku 150

  MAHAKAMA nchini Marekani imemuhukumu mwigizaji, Jussie Smollett, kifungo cha siku 150 jela ,baada ya jopo la majaji kugundua kuwa alidanganya polisi kuhusu...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wafanyabiashara 35 wapatiwa tuzo za umahiri

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, amekabidhi jumla ya tuzo 35 za umahiri kwa wanawake wafanyabiashara zilizotolewa na...

Tangulizi

Vijana ACT-Wazalendo watoa mapendekezo sita upatikanaji tume huru ya uchaguzi

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetoa mapendekezo sita yatakayowezesha upatikanaji wa tume huru ya uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Elimu

Mfumo wa elimu Tanzania kufumuliwa

  SERIKALI ya Tanzania imeanza mchakato wa kufanyika kwa mabadiliko makubwa ya sekta ya elimu ikiwemo kuipitia upya Sera ya Elimu ya mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee:Chadema yasema haitapeleka barua nyingine bungeni

  CHAMA cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitapeleka barua nyingine kwenda kwenye uongozi wa Bunge, kulitaarifu msimamo wake wa kufukuza uanachama wabunge...

Habari za Siasa

Lissu asema mchakato katiba mpya mgumu, ataka safari ianze

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema mchakato wa upatikanaji katiba mpya ni mgumu, kwani unachukua muda mrefu na...

Michezo

Bilionea Uganda ajitosa kuinunua Chelsea

  BILIONEA Joel Jaffer A’ita raia wa Uganda ameibua gumzo baada ya kuwasilisha ombi la kutaka kuinunua Klabu ya Soka ya Chelsea inayoshiriki...

Habari Mchanganyiko

Balozi Katanga atoa maagizo kwa viongozi

  KATIBU Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Hussein Katanga amewataka viongozi wenye nafasi ya kufanya uamuzi wa masuala ya kisera na kiutendaji serikalini,...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Hakuna mwanafunzi wa Tanzania aliyebaki Ukraine

  SERIKALI ya Tanzania, imesema hakuna mwanafunzi wa Kitanzania, aliyebaki katika Chuo cha Taifa cha Sumy, nchini Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Tanzania Bara, Zanzibar kufumua sheria za habari

  SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, zimeahidi kushirikiana katika kuzifanyia marekebisho sheria zinazosimamia sekta ya...

Kimataifa

Marekani yapiga marufuku uagizaji mafuta kutoka Urusi

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa nchi hiyo yake imepiga marufuku ununuzi wa gesi, mafuta na makaa ya mawe kutoka Urusi....

Habari za Siasa

Mbowe ateta na RC, RPC Iringa

  MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (RC), Queen...

Habari Mchanganyiko

Wahariri kumsapoti Rais Mwinyi Uchumi wa Buluu

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limeahidi kuunga mkono ajenda ya Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ya kuvifanya visiwa hivyo kuwa...

Habari Mchanganyiko

Video za mahojiano mke wa msuya, polisi zakwama kortini, Jaji kutoa uamuzi

  UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayomkabili, mke wa bilionea Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatus Muyella umepinga kilelezo chenye ushihdi wa video...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ataja chanzo cha kukamatwa, kufunguliwa kesi ya ugaidi

  MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amedai chanzo cha yeye kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi, ni hotuba yake ya uchambuzi...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza aeleza kwa nini CCM itakufa

  ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe, ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Benson Bagonza, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakufa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuwa mwenyeji Mkutano wa utalii duniani

  TANZANIA imesaini rasmi mkataba wa kukubali kuwa Mwenyeji wa Mkutano Mkubwa wa Utalii wa 65 wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia...

Habari za SiasaTangulizi

BAWACHA yatangaza ziara nchi nzima

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema litafanya ziara katika kanda za nchi, kwa ajili ya kuhamasisha ufufuaji...

Habari za Siasa

BAWACHA yawapa jukumu wanawake

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka wanawake kujenga familia zinazozingatia misingi ya usawa wa kijinsia. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka ushirikiano na NGO’s

  SERIKALI imetaka ushirikiano na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini (NGO’s), katika uwasilishaji wa masuala yanayohusu Tanzania, kwenye mikutano ya kimataifa. Anaripoti Regina...

Kimataifa

Kiongozi kundi linalotaka kujitenga Nigeria aachiwa huru

  MAMLAKA nchini Benin imemwachia huru kiongozi wa Nigeria anayetaka kujitenga, Sunday Lgboho Adeyemo kulingana na msemaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Tanzania kurejea Mahakama ya Afrika

  SERIKALI ya Tanzania, iko katika mazungumzo ya kurejea kwenye Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), baada ya kujiondoa...

KimataifaMichezo

Mechi ya Uskochi na Ukrenia kufuzu kombe la dunia yaahirishwa

  MECHI ya nusu fainali katika michuano ya kufuzu fainali za kombe la dunia kati ya Uskochi na Ukrenia imeahirishwa. Inaripoti BBC …...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Tito VS NEC: Mahakama yaipa siku nne Jamhuri

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imetoa siku nne kwa upande wa Jamhuri kuwasilisha hati kinzani, katika kesi ya...

Kimataifa

Raila Odinga ageukia muziki, aachia kibao

  WAKATI kampeni za kuelekea Uchaguzi Mkuu nchini Kenya zikiendelea kupamba moto, mmoja wa wagombea urais katika uchaguzi huo, Raila Odinga kutoka Chama...

Michezo

Harmonize akanusha kumnyang’anya Country Boy gari

MKALI wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ na uongozi mzima wa rekodi lebo ya Konde Gang sio kweli kwamba walimpokonya msanii Country Boy...

Habari Mchanganyiko

Fundi madaraja asombwa na maji

  MKAZI wa kijiji cha Musimi kata ya Sepuka wilayani Ikungi, Mkoa wa Singida, Ramadhani Mnyambi ‘Tandika’ (47) ambaye ni fundi madaraja amenusurika...

Habari za Siasa

Meya Moshi kutimuliwa, vikao CCM vyaendelea

  KITI cha umeya wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kinachokaliwa na Juma Raibu kinazidi kufukuta moto, baada ya kamati ya siasa ya...

Elimu

TEA yakabidhi kompyuta 120 shule za Temeke

  MAMLAKA ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na asasi ya BRAC-Maendeleo wametoa kompyuta 120 zenye thamani ya Sh milioni 132 kwa shule tatu...

Habari Mchanganyiko

Jafo afurahishwa na maonyesho ya wanawake wafanyabiashara Dar

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Selemani Jafo amepongeza maonyesho ya wafanyabiashara wanawake yanayoendelea kwenye viwanja vya...

Kimataifa

Serikali ya Urusi yawasaidia wanafunzi Watanzania kuondoka Ukrenia

Serikali ya Urusi imewaandalia ushoroba salama wa kupitia wanafunzi wa kitanzania waliokwama Ukrenia katika Chuo cha Taifa cha Sumy ambapo wataondoka kupitia Urusi....

Kimataifa

 Raia 66,000 waliokimbia Ukrenia warejea kupigania nchi yao

Wachambuzi wengi wa tukio la uvamizi wa Urusi nchini Ukrenia wamekuwa wakilinganisha ukubwa wa jeshi la Putin na lile la Zelensky. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Rais Msumbiji apangua baraza la mawaziri, ateua waziri mkuu

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amemteua Adriano Afonso Maleiane kuwa Waziri Mkuu mpya, baada ya kulifanyia mabadiliko Baraza lake la Mawaziri wiki hii....

HabariTangulizi

Serikali yatenga Tril. 1/- kukopesha mabenki kwa riba ndogo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imetenga Shilingi trilioni moja katika mpango mahususi wa kuwezesha mabenki kukopesha kwa riba ndogo isiyozidi asilimia 10....

Habari

Vijana 854 waliofukuzwa JKT wasamehewa

  MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amewasamehe vijana 853 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa makambini April 12, 2021 kutokana...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa mtama wafundwa kuzalisha mbegu

  WAKULIMA zaidi ya 22,000 wa zao la mtama, kupitia Mradi wa Kilimo Himilivu cha Mtama (CSA), wamepatiwa mafunzo ya kilimo cha kisasa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda: Malumbano ya Mbowe, Zitto yaachwe

KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa wito kwa Watanzania kuacha malumbano yanayomhusu Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za SiasaTangulizi

Walichoteta Rais Samia, Mbowe Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Putin aonya vikwazo zaidi dhidi ya Urusi

  RAIS Putin ametoa onyo kwa wale wanaopinga hatua ya Urusi nchini Ukraine “kutozidisha tatizo kuwa baya zaidi” kwa kuiwekea nchi yake vikwazo...

Kimataifa

Blinken: NATO ipo tayari kama mzozo utatugusa

  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Kujihami-NATO, Jens Stoltenberg, amekutana na Katibu Mkuu wa Marekani, Antony Blinken pamoja na mawaziri wa mambo ya...

Kimataifa

Meli ya mizigo yazama pwani ya Ukreini baada ya mlipuko

  WAMILIKI wa meli kutoka Estonia wamesema meli yao imezama katika pwani ya Ukreini baada ya kutokea mlipuko. Inaripoti BBC … (endelea). Wamiliki...

error: Content is protected !!