Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Kiongozi kundi linalotaka kujitenga Nigeria aachiwa huru
Kimataifa

Kiongozi kundi linalotaka kujitenga Nigeria aachiwa huru

Sunday Lgboho Adeyemo
Spread the love

 

MAMLAKA nchini Benin imemwachia huru kiongozi wa Nigeria anayetaka kujitenga, Sunday Lgboho Adeyemo kulingana na msemaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Lgboho alikamatwa katika uwanja wa ndege wa Benin julai 2021 pamoja na mkewe , kwa ombi la Nigeria ingawa mkwewe aliachiwa siku chache baadae. Wanandoa hao walisemekana kuelekea Ujerumani ambako mkewe ni raia wa huko.

Alishitakiwa kwa kuingia Benin kinyume cha sheria nakupanga kuleta fujo , lakini halikanusha mashitaka hayo. Mamlaka ya Nigeria haikuwai kutoa ombi rasmi la kurejeshwa kwake nchini mwake .

Katika taarifa zake siku ya Jumatatu msemaji wake alisema Lgboho aliachiwa na kiongozi wa shirika la Mwamvuli makundi ya kujitawala ya Yuruba, Banji na Akintoye.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!