Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa  Raia 66,000 waliokimbia Ukrenia warejea kupigania nchi yao
Kimataifa

 Raia 66,000 waliokimbia Ukrenia warejea kupigania nchi yao

Spread the love

Wachambuzi wengi wa tukio la uvamizi wa Urusi nchini Ukrenia wamekuwa wakilinganisha ukubwa wa jeshi la Putin na lile la Zelensky. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Kutokana na ukweli kwamba jeshi la Urusi ni kubwa kwa Ukrenia, Waziri wa Ulinzi, Oleskii Reznikov, amesema zaidi ya wanaume wa Ukrenia 66,000 waliokimbia nchi yao awali, wameamua kurejea kuipigania Taifa lao.

Mmoja wa waliorejea ni Yuriy Vernydub (56), ambaye pia ni kocha wa Sheriff Tiraspol iliyoishinda Real Madrid mwaka jana kwenye michuano ya klabu bingwa.
Ameiambia BBC News kuwa ameamua kurejea baada ya kijana wake kumpigia na kumweleza kuwa Urusi wameshambulia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!