Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Serikali ya Urusi yawasaidia wanafunzi Watanzania kuondoka Ukrenia
Kimataifa

Serikali ya Urusi yawasaidia wanafunzi Watanzania kuondoka Ukrenia

Spread the love

Serikali ya Urusi imewaandalia ushoroba salama wa kupitia wanafunzi wa kitanzania waliokwama Ukrenia katika Chuo cha Taifa cha Sumy ambapo wataondoka kupitia Urusi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Chuo cha Sumy kipo karibu na mpaka wa Ukrenia na Urusi, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Tanzania nchini Urusi leo Machi 5, 2022, wanafunzi watatakiwa kutoka chuoni kuelekea eneo la Sudja ambapo watapoklewa na jeshi la Urusi .

“Kutoka Sudji watasafirshwa na jeshi hilo hadi eneo la Belgorod ambapo watapoklewa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania uliopo Moscow kwa taratibu zingine za kurejea nyumbani Tanzania,” imesema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imeeleza zaidi kuwa wanafunzi wanashauriwa kutoka chuoni kwa makundo na kubeba bendera ya Tanzania ili kuwatambulisha wanapopita katika ushoroba huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!