Friday , 26 April 2024
Home mwandishi
8722 Articles1244 Comments
Kimataifa

Meli ya mizigo yazama pwani ya Ukreini baada ya mlipuko

  WAMILIKI wa meli kutoka Estonia wamesema meli yao imezama katika pwani ya Ukreini baada ya kutokea mlipuko. Inaripoti BBC … (endelea). Wamiliki...

Kimataifa

Majeshi Urusi yateka mitambo ya nyuklia Ukreini, mataifa yaonya

  UKREINI imesema majeshi ya Urusi yameshambulia na kuteka mtambo wa kuzalisha nishati ya nyuklia wa Zaporizhzhia ambao ni mkubwa zaidi barani Ulaya....

Habari za Siasa

Taasisi yaomba makumbusho ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

  TAASISI ya Kumbukumu ya Mwalimu Julius Nyerere, imeiomba Serikali, wadau  na wananchi, watoe mchango wao wa hali na mali, kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wamwomba Rais Samia kuwaachia kina Mbowe

  VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...

Habari Mchanganyiko

Tito Magoti afungua kesi akitaka fidia kutopiga kura uchaguzi 2020

  MTETEZI wa haki za binadamu, Tito Magoti ameifikisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam,...

Afya

Tanzania yaokoa bilioni 249 za kupeleka wagonjwa nje

  SERIKALI ya Tanzania imeokoa Sh.249 bilioni zilizokuwa zitumike kugharamia wagonjwa kwenda nje ya nchi kufuata huduma za matibabu ambazo awali zilikuwa hazipatikani...

Kimataifa

Urusi waendelea kuteka miji muhimu Ukraine

  Vikosi vya Jeshi la Urusi vimeendelea kusonga mbele katika kushambulia na kuteka miji muhimu nchini Ukraine ambapo wanadai kuuteta mji wa Kherson...

Kimataifa

Ukraine wadai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi

  JESHI la Ukraine limedai kuua wanajeshi 5,840 wa Urusi tangu kuanza kwa vita kati ya nchi hizo mbili siku saba zilizopita. Anaripoti...

KimataifaMichezo

Grand P amvisha pete mchumba wake live kwenye TV

  MWIMBAJI mwenye umbo la mbilikimo kutoka nchini Guinnea, Moussa Kaba maarufu kama Grand P amemvalisha pete mpenzi wake mwenye umbo matata raia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki Tanzania watoa waraka wa Kwaresima, wagusia upatanisho

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa Kwaresima wa mwaka 2022 ambao kwa sehemu kubwa umejikita kuzungumzia umuhimu wa upatanisho....

Habari za Siasa

#LIVE: Mawaziri Tanzania wakielezea mafanikio ya ziara za Rais Samia

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania wanaelezea ziara zilizofanywa na kiongozi mkuu wa Taifa hilo, Rais Samia Suluhu Hassan. Hivi karibuni, Rais Samia...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani leo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 2 Machi 2022, itasikiliza maombi ya kufungua kesi...

Kimataifa

Putin kuburuzwa Mahakama ya kimataifa (ICC)

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya Uhalifu ICC inatarajia kuanza uchunguzi kuhusu uwezekano wa uhalifu wa kivita nchini Ukraine hali ambayo inatafsiriwa kumweka matatani...

Makala & Uchambuzi

Uvamizi Ukraine: Warusi waanza kuonja makali ya vikwazo

  “NINGEKUWA na uwezo ningehama Urusi sasa hivi. Ningefanya hivyo. Lakini siwezi kuacha kazi yangu,” anasema Andrey. Hataweza kumudu mpango wa kununua nyumba...

Habari Mchanganyiko

DPP awafutia mashtaka ya ugaidi masheikh 15

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewaacha huru Masheikh 15, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu...

Habari Mchanganyiko

EWURA yatangaza bei mpya za mafuta

  MAMLAMKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Bei...

Habari za Siasa

Godlisten Malisa afunguka Makonda alivyopigwa urais vyuo vikuu

  MWANAHARAKATI wa kisiasa nchini Tanzania, Godlisten Malisa amezungumzia jinsi aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambavyo hakupaswa...

Kimataifa

Baharia Ukraine mbaroni kwa kujaribu kuizamisha boti ya bosi Mrusi

  MBAHARIA mmoja wa Ukraine amekiri kujaribu kuizamisha boti inayomilikiwa na Mkuu wa kampuni ya silaha ya serikali ya Urusi, kwa lengo la...

Kimataifa

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari Mchanganyiko

Doris Mollel, Segal wapeleka neema kwa watoto njiti

  NAIBU Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dk. Godwin Mollel amekabidhi vifaatiba kwa ajili ya huduma za matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya...

Habari

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

HabariMichezo

GSM wapata pigo

BABA mzazi wa mfanyabiashara maarufu na mfadhiri wa klabu ya Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM), mzee Said Mohamed amefariki Dunia leo Jumanne tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa azungumzia kesi ya Mbowe

  ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa amesema, anamwombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili haki iweze...

Michezo

Kapombe, Inonga, Banda kuchuana

  MABEKI wa klabu ya Simba Shomary Kapombe na Henock Inonga sambamba na kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Peter Banda wamewekwa kwenye kinyang’anyiro...

Habari Mchanganyiko

Vita Urusi-Ukraine: Tanzania yatangaza neema bei ya mafuta

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kuondoa tozo ya Sh.100 kwa lita ya mafuta ya Dizeli, Taa na Petroli zinazopaswa kulipwa na watumiaji wa...

HabariMichezo

Poland yagoma kucheza na Urusi mchujo Kombe la Dunia

RAIS wa Chama cha Soka Poland, Cezary Kulesza amesema taifa hilo litakataa kuchuana na Urusi katika mechi ya mchujo ya kuwania Kombe la...

Kimataifa

Wanajeshi Urusi wakwaa kisiki Kiev

  WAKATI mapigano kati ya majeshi ya Urusi na Ukraine yakiingia siku ya nne, taarifa zinaeleza kwamba Urusi imekumbana na upinzani mkali ambao...

Habari Mchanganyiko

‘Mfalme Zumaridi’ atiwa mbaroni madai ya usafirisha haramu wa binadamu, unyonyaji

  JESHI la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Dianna Edward Bundala maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu na unyonyaji....

Afya

RC Malima anusa ubadhirifu ujenzi Hospitali ya Halmashauri Handeni

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na...

Afya

Tanga kujenga Kituo cha Mifupa

  MKUU wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema mkoa wake unakusudia kuanzisha kituo cha Mifupa (Orthopaedic Centre) kwa ajili ya watu wanaopata...

Kimataifa

240 wauawa Ukraine, 160,000 wakimbia

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikiendelea kwa siku ya nne mfululizo, Umoja wa Mataifa umetoa taarifa kuwa hadi sasa jumla...

Habari za Siasa

Rais Samia afanya uteuzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Brigedia Jenerali, Yohana Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania...

Habari Mchanganyiko

ZIC yawahakikishia usalama wawekezaji Dubai

SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) limewakaribisha wawekezaji Visiwani Zanzibar kuwekeza kwa kuwahakikishia usalama wa uwekezaji na mali zao wakati wote wakiwepo Visiwani humo....

HabariMichezo

Pablo aimaliza Berkane, awapa maagizo maalumu wachezaji

  NI kama swala la muda tu kikosi cha klabu ya Soimba kushuka dimbani kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi...

Afya

Serikali yatoa tahadhari mlipuko ugonjwa wa Polio

  SERIKALI ya Tanzania, imewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa Polio, ulioibuka hivi karibu katika nchi jirani ya Malawi. Anaripoti...

Kimataifa

Rais Biden amteua mwanamke ‘muafrika’ kuwa jaji wa mahakama ya juu

RAIS wa Marekani, Joe Biden amemteua mwanamke wa kwanza mweusi kuwa jaji wa Mahakama ya Juu kabisa nchini humo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Rais Ukraine akataa ofa ya Marekani, ni ya kuikacha nchi yake

  WAKATI vita kati ya Urusi na Ukraine ikizidi kushika kasi kwa siku ya tatu mfululizo, imeelezwa kuwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky...

Habari za Siasa

DPP amfutia kesi ya ugaidi kigogo wa ACT-Wazalendo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Tanga, imemuachia kwa masharti Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ahmed Kidege na wenzake wawili, baada ya Mkurugenzi wa...

Kimataifa

Biden aimwagia Ukraine matrilioni kuendelea na vita

  RAIS wa Marekani, Joe Biden ametia saini mkataba wa kutoa fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni 600 (sawa na Sh trilioni...

Kimataifa

Urusi watinga Mji Mkuu Ukraine, wananchi wakabidhiwa silaha

  WAKATI leo tarehe 26 Februari, 2022 ikiwa ni siku ya tatu tangu kuibua kwa vita kati ya mataifa Ukraine na Urusi, imeelezwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yazindua ‘Join the Chain,’ Lissu aeleza malengo

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimezindua program maalum iitwayo ‘Join the Chain’ yenye lengo la kukusanya fedha za ujenzi...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa dini Mwanza wataka sheria kali kuwalinda Albino

  KAMATI ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Mwanza, imeiomba Serikali iweke sheria kali na sera za kuwalinda watu wenye ulemavu...

Kimataifa

Ukraine yadai imetengwa vita dhidi ya Urusi, ICC kuingilia kati 

  RAIS wa Ukraine, Volodomyr Zelenskky, amesema dunia imewaacha peke yake katika mapambano ya kivita dhidi ya Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea)....

Habari za Siasa

Tanzania kushirikiana nchi zingine kudumisha amani

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kushirikiana na mataifa mengine ili kuhakikisha amani, ushirikiano, ustawi wa kijamii...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashe akaribisha wawekezaji wa kilimo

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa Tanzania ipo tayari kushirikiana na kampuni kubwa duniani kuwekeza kwenye kilimo ili kukiongezea thamani na kuhakikisha...

Habari za Siasa

Dk. Kikwete ataka sera zinazotabirika uwekezaji sekta ya madini

  RAIS wa Awamu ya Nne Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ameishauri Serikali iwe na sera zinazotabirika katika usimamizi wa sekta ya madini, ili...

Kimataifa

Urusi yaivamia Ukraine

  NCHI ya Urusi, imeanzisha rasmi mapigano ya kijeshi katika mikoa ya mashariki ya Ukraine, baada ya Rais wake, Vladimir Putin kutangaza operesheni...

Michezo

Yanga yajikita kileleni, yaibamiza Mtibwa Manungu

  KLABU ya Soka ya Yanga imeendelea kujichimbia kileleni mara baada ya kuibuka na alama tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara...

Habari

Rais Samia ataja kazi tatu Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, ‘viongozi wanayumbayumba kuleta maendeleo’

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uanzishwaji wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere itakwenda kujibu...

Habari

Majaliwa aelezea sekta ya madini inavyoimarika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema sekta ya madini imeendelea kukua kwa kasi na kuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya...

error: Content is protected !!