Friday , 26 April 2024
Home mwandishi
8721 Articles1244 Comments
HabariMichezo

TFF yawalima faini Manara, Bumbuli

MAAFISA kutoka Idara ya Habari na mawasilinao ya klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli na Haji Manara wametozwa faini ya shilingi 500,000 na kamati...

HabariMichezo

Beki Yanga afungiwa mechi tatu na Faini

  BEKI wa kati wa klabu ya Yanga, Dikson Job amefungiwa michezo mitatu na kupigwa faini ya shilingi 500,000 kufuatia kumkanyaga kwa makusudi...

HabariMichezo

Beki wa zamani wa Yanga, Taifa Stars afariki Dunia, kuzikwa kesho

  MLINZI wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” Ally Mtoni maarufu kama Sonso amefariki Dunia...

HabariTangulizi

Zungu apitishwa bungeni kwa 98.35%, atoa ujumbe Uchaguzi 2025

  NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu, amewaeleza wabunge kuwa Uchaguzi Mkuu wa 2025, uko mbioni hivyo washirikiane kutekeleza miradi ya Serikali....

Habari za Siasa

Bunge lataka muongozo usafishaji mito

  BUNGE la Tanzania, limeishauri Serikali, kuandaa muongozo wa kitaifa wa usimamizi wa usafishaji mito, ili kutunza mazingira. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Ushauri...

Habari

JOWUTA, MCT wapongeza Serikali kufungulia magazeti

  CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) na Baraza la Habari Tanzania (MCT), wamepongeza Serikali ya nchi hiyo, kuyafungulia magazeti...

Habari

Profesa Kitila ashauri mfumo wa elimu ufumuliwe

  MBUNGE wa Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameshauri kupitiwa na kupangwa upya kwa mfumo...

HabariTangulizi

Rais AfDB azuru kaburi la Hayati Magufuli

RAIS wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Daktari Akinwumi Adesina, amezuru katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tano,...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya afya: Tupande miti, tusafishe mazingira

  NAIBU Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dk. Godwin Mollel amewataka wataalam wa afya mazingira katika ngazi ya mkoa na halmashauri kuhakikisha wanatoa...

Habari

Majaliwa: Unahitajika umakini mkubwa kuigawa Tanesco

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema unahitajika umakini mkubwa sana kama itaonekana kuna haja ya kuligawa Shirika la Umeme nchin humo (Tanesco)....

Habari

CCM yamjulia hali Profesa Jay, yatoa ahadi

  DANIEL Chongolo, Katibu Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) amemjulia hali aliyekuwa mbunge wa Mikumo mkoani Morogoro kupitia...

Habari

Nape atangaza neema kwa vyombo vya habari, waandishi

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Tanzania, Nape Nnauye ameagiza taasisi za Serikali zilizokuwa zinasita kutoa matangazo kwa vyombo vya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Magazeti ya MwanaHALISI, Mawio, Tanzania Daima na Mseto yafunguliwa

  SERIKALI ya Tanzania imeyafungulia magazeti manne yaliyofungiwa ya MwanaHALISI, Mseto, Tanzania Daima na Mawio. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Miradi Dodoma: Mbunge Ditopile amfagilia Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Mariam Ditopile amesema Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani anazidi kuwaumbua wale...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya maji yaingia mkataba na GF Trucks

  WIZARA ya Maji nchini Tanzania, imeanza mikakati ya kihakikisha inamaliza tatizo la maji mijini na vijijini kwa kuingia mkataba wa kusambaza vifaa...

Tangulizi

Rais Samia kufanya ziara Ufaransa, Ubelgiji

  RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini kuelekea Ufaransa na baadaye Ubelgiji kwa ajili ya ziara ya kikazi katika nchi hizo. Anaripoti...

Kimataifa

Kesi ya Sankara: Blaise Compaoré kufungwa miaka 30

  OFISI ya Mwendesha Mashtaka ya Kijeshi imeomba kifungo cha miaka 30 jela dhidi ya Rais wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré...

Habari

Rais Samia ateswa na sauti ya Magufuli

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amekuwa akisumbuliwa na sauti ya mtangulizi wake Hayati John Magufuli juu ya utekelezaji wa miradi aliyoianzisha. Anaripoti...

Tangulizi

Wawa: Hatutacheza kwa presha dhidi ya ASEC

  BEKI wa kati wa klabu ya Simba, Raia wa Ivory Coast Pascal Wawa, amefunguka kotocheza kwa presha kwenye mchezo wa michuano ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi adai kuumwa, mahakama yataka uthibitisho

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

HabariMichezo

Zouma matatani kwa kumpiga paka teke ‘kama mpira’

  MCHEZAJI nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza, Kurt Zouma anaweza kufunguliwa mashtaka baada ya kurekodiwa kwenye video akimpiga paka wake kama mpira...

HabariTangulizi

Mabula aapishwa kumrithi Lukuvi

  WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula ameapishwa kushika wadhifa huo ambao awali ulikuwa chini ya Wiliam Lukuvi. Anaripoti...

HabariMichezo

Yanga walia na waamuzi Ligi Kuu, wataka haki itendeke

  KLABU ya soka ya Yanga imeibuka na kulalamikia mwenendo wa waamuzi kwa baadhi ya michezo kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara na kutaka...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wahoji jalada kufunguliwa bila maelezo

  TUMAIN Swila, Shahidi wa 13 wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu amedai wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askari polisi adai haina maslahi binafsi

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Michezo

Mbeya City, wahirudisha Yanga kambini haraka

  MARA baada ya kulazimishwa sare ya bila ufungana na kikosi cha Mbeya City, wachezaji wa klabu ya soka ya Yanga wamerejea hii...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Inspekta Swila akana kuwa mpelelezi wa kimkakati

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai uhamisho wake wa muda kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama: Makonda atangazwe gazetini, nyumbani kwao

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni leo Jumanne tarehe 8 Februari 2022, imetoa amri ya kutangazwa gazetini, nyumba aliyoishi Masaki na au kijijini...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mpelelezi abanwa sababu msaidizi wa Sabaya kuachwa huru

  MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai Justine Kaaya,  aliyekuwa msaidizi wa Lengai Ole Sabaya, akiwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari za Siasa

Maagizo ya Samia yampasua kichwa RC Mara, asema jana hakulala

  MKOA wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema jana tarehe 6 Februari, 2022 yeye pamoja na wasaidizi wake hawakulala kwa lengo la...

Makala & Uchambuzi

Maboresho ya kanuni yanavyochochea ukuaji sekta ya mawasiliano Tanzania

  KATIKA kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wiki hii imetangaza maboresho ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia azuru kaburi Mwalimu Nyerere

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 7 Februari 2022 amezuru kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere nyumbani kwake Butiama mkoani...

KimataifaMichezo

Senegal yatangaza mapumziko baada ya kushinda Afcon

  RAIS wa Senegal, Macky Sall ametangaza leo Jumatatu tarehe 7 Februari, 2022 kuwa siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wa timu ya taifa...

Habari za Siasa

RC Hapi awachongea wakuu wa idara kwa Rais Samia

  MKUU wa Mkoa wa Mara (RC), Ally Hapi amemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kufumua wakuu wa idara mkoani humo wanakwamisha...

Michezo

Fainali AFCON2021: Mane, Salah nani kuibuka bingwa

  NI nani kati ya Sagio Mane na Mo Salah atakayeibuka mbambe dhidi ya mwenzake katika Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON)...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yakabidhiwa miche 30,000 ya michikichi, ASA yawaita wengine

  MAMLAKA ya Majisafi na Ufasi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imekabidhiwa Miche ya Michikichi 30,000 kutoka kwa Wakala wa Mbegu za...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge CCM wachuana kumrithi Dk. Tulia

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameanza kujitosa kuchukua fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea nafasi ya...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya watu: THRDC yamuomba Rais Samia aunde tume ya kudumu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umemshauri Rais Samia Suluhu Hassan, aunde tume ya kudumu ya kitaifa, kwa ajili...

Habari za Siasa

Miaka 45 ya CCM: Chongolo atoa maagizo kwa wenyeviti

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaagiza wenyeviti wa CCM mkoa na wilaya kutenga siku...

Habari za Siasa

Shaka achambua miaka 45 ya CCM

  KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Shaka Hamdu Shaka, amesema ndani ya miaka 45 tangu kuzaliwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa aunda timu kuchunguza mauaji, amuagiza IGP Sirro

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameunda timu maalum ya watu tisa ambayo imepewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika Mtwara na Kilindi,...

Habari za Siasa

Kisa mauaji: Rais Samia awanyooshea kidole polisi, ampa maagizo Majaliwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati ya kwenda kuchunguza mauaji yaliyotolea mkoani Mtwara yanayodaiwa kufanya...

Habari za Siasa

Polepole pasua kichwa CCM

  UNAWEZA kusema aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole, ni...

Habari za SiasaTangulizi

Mfungua jalada la kesi aeleza walivyomnasa Mbowe

  MKAGUZI wa Polisi, Tumaini Swila (46), amedai aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Ramadhani Kingai, alimuagiza...

Habari za Siasa

Rais Samia atengua Ma-DED wanne

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa halmashauri (DED) ya Buchosha (Mwanza), Iringa, Mbeya na Singida...

Habari za SiasaTangulizi

Kaka wa Lissu atambulishwa kama mgeni kesi kina Mbowe

  WAKILI maarufu Alute Mughwai Lissu, kaka wa kiongozi wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu ametambulishwa mahakamani kama...

Habari za Siasa

Mrithi wa Dk. Tulia kupatikana Februari 11

  BUNGE la Tanzania limetanganza mchakato wa kujanza nafasi ya naibu spika wa Bunge ambapo uchaguzi wake utafanyika tarehe 11 Februari 2022. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wajiuza kwa magunia ya mpunga

  TABIA ya baadhi ya wanawake wafanyabiashara ya kujiuza maarufu kama nzige au madanga, kwa malipo ya mpunga, imelalamikiwa na wakazi wa kata...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mauaji Tanzania yatinga bungeni, Serikali yatoa maagizo

  SERIKALI ya Tanzania, imeziagiza kamati za kutokomeza ukatili wa kijinsia zishirikiane na vyombo vya dola, kutokomeza mauaji yanayosababishwa na migogoro ya kifamilia....

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Kubenea: Makonda kusakwa

  MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

error: Content is protected !!