Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8681 Articles1237 Comments
Habari za Siasa

Mrithi wa Ndugai: Balozi Kagasheki amtumia ujumbe Rais Samia

  WAZIRI wa zamani wa maliasili na utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amemwomba Mwenyekiti wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...

Michezo

Mapinduzi arejea uwanjani Yanga ikiibuka na ushindi

  KLABU ya Soka ya Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya mkoani Arusha...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM yasogeza vikao mbele

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesogeza mbele vikao vyake kikiwamo cha kamati kuu kutoka jana Jumanne, tarehe 18 Januari...

Habari Mchanganyiko

Vijiji 2,349 kufaidika na miradi ya TASAF

  IMEELEZWA kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, inatarajiwa kutoa ajira kwa walengwa 195,000 ambao watalipwa jumla ya...

Michezo

Shabiki Simba ajinyonga, siku ya mchezo dhidi ya Mbeya city

  SHABIKI wa klabu ya Simba Khalfan Mwambena mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa kata ya Kholobe mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga muda...

Kimataifa

Hofu yatanda Simba kuambukizwa Corona Afrika Kusini

  SIMBA na Puma katika bustani ya wanyama ‘zoo’ nchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wahudumu wao. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Wizara ya Elimu Tanzania yatoa maagizo watoto wenye mahiyaji maalum

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imewataka maafisa elimu maalum wa halmashauri kushirikiana na maafisa elimu kata na jamii ili...

Habari

Mke wa Sabaya apanda kizimbani kumtetea mme wake

  MKE wa mfungwa, Lengai ole Sabaya, aitwaye Jesca Nassari (28) ameieleza Mahakama kuwa namba ya simu 0758707171 inayodaiwa kuwa ya Sabaya, amekuwa...

HabariTangulizi

Adaiwa kujifanya polisi kwa miaka saba

  MKAZI wa Nyamanoro, Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, Abdul Nassoro (49) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa tuhuma za...

HabariTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM kufyeka wagombea 67

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakuwa na jukumu zito la kufyeka wagombea 67 kati ya 70...

Habari Mchanganyiko

Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa

  MSANII wa muziki wa Injili nchini, Rose muhando amefunguka kwamba mojawapo ya mambo anayotaka afanikiwe kwa mwaka huu ni kumpata mume mzungu...

Kimataifa

Ujumbe wa mwanawe Museveni kwa Uhuru waibua mjadala

  Mwanawe Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amemwandikia Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ujumbe ulioibua mjadala mzito miongoni mwa mataifa hayo...

Michezo

Man U kwawaka moto, Martial amvaa kocha mpya

  Mshambuliaji wa mashetani wekundu, Anthony Martial amekanusha madai kuwa alikataa kujumuishwa kwenye kikosi cha Manchester United kilichocheza dhidi ya Aston Villa. Anaripoti...

Habari

Rais Samia ateua viongozi 2

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili akiwemo Mcha Hassan Mcha kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya...

Habari Mchanganyiko

Wanaume Moshi hutandikwa na wake zao

  BAADHI ya wanaume, hususan walio ndani ya ndoa katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, wamekuwa wakikumbana na vitendo vya kikatili,...

Michezo

Mobeto, Tanasha wazidi kuoneshana mahaba, wala bata pamoja…

  ACHANA na habari za kuwa Ma-Exa wa Staa wa Bongo fleva, Diamond Platnumz… habari ya mjini ni kwamba Mashosti ambao nao pia...

Habari za Siasa

Ujenzi Ikulu ya Chamwino kukamilika Mei 2022

  UJENZI wa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma nchini Tanzania umefikia asilimia 91 na utakamilika Mei 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Kimataifa

Rais aliyepinduliwa madarakani aaga dunia

  RAIS wa Mali aliyeondolewa madarakani, Ibrahim Boubacar Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76, familia yake na rafiki zake wamesema. Anaripoti...

Habari za Siasa

UVCCM yampa tuzo Rais Samia, mambo 3 yatakwa

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amemtaja mambo matatu turufu kwa Rais Samia...

Michezo

Yanga yafunga usajili na ushindi

CHIKO Ushindi aliyekuwa winga wa klabu ya TP Mazembe ya nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo amekamilisha usajIli wa kujiunga na klabu ya...

Habari Mchanganyiko

Treni yapata ajali Tanga, mmoja afariki watano wajeruhiwa

  SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema treni ya abiria yenye injini namba 9022 imepata ajali muda wa saa 10 alfajiri kati ya...

Elimu

St. Francis Girls haishikiki, yaongoza kidato cha nne, kidato cha pili

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na upimaji wa kidato cha pili ambayo kwa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi milioni 1.3 wafaulu kuendelea darasa la tano, hisabati donda ndugu

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa jumla ya...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo waanika mapendekezo 7 kupata Tume Huru ya Uchaguzi

  Chama Cha ACT Wazalendo kimeutangaza mwaka wa 2022 kuwa mwaka wa kupigania Tume Huru ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea) Pia chama...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi, shule 10 bora kitaifa Upimaji Darasa la Nne (SFNA) – 2021, hizi hapa…

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa mwanafunzi bora...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi 422,388 wafaulu mtihani Kidato cha nne (2021), ufaulu waongezeka

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 ambayo yameonesha jumla ya watahiniwa wa...

ElimuHabari

Somo la Hisabati pasua kichwa matokeo mtihani Kidato cha nne (2021

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku yakionesha somo la Basic Mathematics ndilo...

ElimuHabariTangulizi

Shule 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hizi hapa, Dar yachomoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku mkoa wa Dar es Salaam...

HabariTangulizi

Wanafunzi 10 bora kitaifa mtihani wa Kidato cha nne (2021) hawa hapa, wasichana waongoza

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 huku wasichana wakiongoza katika kundi la...

ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha nne 2021 haya hapa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kidato cha nne 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Tangulizi

Matokeo kidato cha pili 2021 haya hapa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kidato cha pili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

HabariTangulizi

Matokeo darasa la nne 2021 haya hapa

Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) leo Jumamosi tarehe 15 Januari 2022, limetangaza matokeo ya kujipima ya darasa la nne 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Zuhura Yunus kuondoka BBC

  MTANGAZAJI maarufu wa Shirika la Utangaza la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus ametangaza kuondoka ndani ya shirika hilo alilolitumika kwa miaka 14 kwa...

Habari

Misri yaipa Tanzania msaada wa dawa, vifaa tiba vya milioni 860

  TANZANIA imepokea msaada wa dawa pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh.864 milioni vitavyosaidia kupambana dhidi ya magonjwa mbalimbali kutoka katika...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Kigogo kujitosa kumrithi Ndugai

  KIGOGO mwandamizi nchini Tanzania, kati ya leo Ijumaa na kesho, anatarajiwa kujitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Spika wa Bunge. Anaripoti...

Habari

Kesi ya Mbowe: Miamala inayodaiwa ya Rais Mwinyi yaibuliwa

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umehoji kwa nini Meneja wa Kitengo...

HabariMichezo

JANNY SIKAZWE: Huyu ndiye mwamuzi wa ‘mauzauza’ AFCON 2021

  Janny Sikazwe ni mwamuzi ambaye ameyatia doa mashinadano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2021) yanayoendelea huko nchini Cameroon baada ya kuitibua timu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awafunda mawaziri, naibu mawaziri, ampangia kazi Lukuvi

  Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na mawaziri na naibu mawaziri huku akimpangia kazi aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Kama humpendi Samia mheshimu Mungu aliyempa urais

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wafunda na kuwaonya mawaziri kutambua kuwa urais ni taasisi na sio mtu, hivyo kama hawampendi Samia aliyepo madarakani...

Tangulizi

Rais Samia amwapisha Balozi wa Kuwait, katibu mkuu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi wawili akiwemo, Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Said Shaibu Mussa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mwingine...

Habari za Siasa

Rajabu: Ni wakati wa vijana kuongoza Bunge Tanzania

  MJUMBE wa Halmashauri Kuu CCM Wilaya ya Mkinga na Mjumbe wa kamati ya utekelezaji Baraza la vijana wa chama hicho UVCCM Mkoa...

Habari Mchanganyiko

Mawaziri kuzifuta machozi familia za wanahabari waliofariki ajalini

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania, wameahidi kutoa mchango wa fedha, kwa ajili ya kuzisaidia familia za wanahabari waliopoteza maisha ajalini, wakiwa katika...

Habari za Siasa

Chenge ajitosa kuwania uspika

  MBUNGE wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) leo tarehe 12 Januari, 2022 amechukua fomu za kuomba uteuzi wa kukiwakilisha Chama...

Habari

Nape: Nimerudi kusimamia sheria ya habari

  WAZIRI wa Habari, Nape Nnauye, amesema amerudi katika wizara hiyo, ili kusimamia Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari ya 2016, aliyosimamia...

Habari

Chenge ajitosa kuwania uspika

  MBUNGE wa zamani wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) leo tarehe 12 Januari, 2022 amechukua fomu za kuomba uteuzi wa kukiwakilisha Chama...

Habari

Ujumbe wa Askofu Bagonza kumpata Spika wa Bunge Tanzania

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera ametoa ujumbe wenye tahadhari wa kumpata spika mpya...

Habari Mchanganyiko

Askofu kizimbani kwa madai ya kumbusu, kumnyanyasa kingono muumini

  Askofu mmoja anayehusishwa na kanisa la Kianglikana jijini Nairobi nchini Kenya, ameshtakiwa kwa kumnyanyasa mwanamke mmoja kwa kumshika matiti na kujaribu kumbusu...

Burudika

Diamond, Zari watamba Tiffah kuvaa joho

  Msanii wa Bongo fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameonyesha furaha ya kipekee baada ya mwanawe wa kwanza Tiffah Princess kuhitimu...

Habari

Wadau Tanzania wamkumbusha Nape magazeti yaliyofungiwa, yeye ajibu

  WADAU wa habari nchini Tanzania, wamesema uteuzi wa Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wameupokea...

Habari

Wezi wavunja kanisa, wapika ndizi na kula, waiba vifaa

  WAUMINI wa Kanisa la Kiadventista la Boigesa lililopo katika eneo Bunge la Bobasi kaunti ya Kisii nchini Kenya, wamepigwa na butwaa siku...

error: Content is protected !!