Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8670 Articles1247 Comments
Habari Mchanganyiko

Kisa mauaji: Dk. Mpango ampa siku saba IGP, ‘tumechoka’

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango ametoa siku saba kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini – IGP Simon Sirro kuwakamata watuhumiwa...

Habari za Siasa

Makamu wa Rais akumbushia mapito Z’bar asema chama ni taasisi

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi – Zanzibar, Othamn Masoud Othman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati kuu ya...

Habari Mchanganyiko

Mapya yaibuka mauaji Mfanyabiashara Mtwara

  SIRI dhidi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Khamisi, maarufu “Mussa Dola,” anayedaiwa kuporwa kiasi cha Sh.70 milioni na kisha kuuawa...

Elimu

Majaliwa ajiapiza kwa Rais Samia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema wasaidizi wote wa Rais Samia Suluhu Hassan wamejipanga kuhakikisha wanamsaidia kwa weledi wote, uaminifu ili...

Michezo

Azam wamkabidhi rungu rasmi Moallin

  KLABU ya Azam Fc inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imemtangaza Abdihamid Moallin kuwa kocha mkuu wa kikosi hiko kwa mkataba wa miaka...

Michezo

Yanga, Mbao kukipiga Ccm Kirumba

  Mchezo wa mzunguko wa 32 wa michuano ya kombe la Shirikisho la Azam, kati ya Yanga dhidi ya Mbao Fc, sasa utapigwa...

Habari

Majawali awapa ujumbe wazazi, agusia gharama za kuunganisha umeme

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wazazi wote washirikiane na walimu kuweka mazingira mazuri ya kitaaluma ili wahakikishe watoto wa Kitanzania...

Habari

Rais Samia aombwa kuingilia kati mgogoro wa ardhi Ngorongoro

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameombwa kuingilia kati mgogoro wa muda mrefu kati ya mamlaka za hifadhi, wahifadhi na wananchi, wilayani...

HabariKimataifa

Jeshi latangaza kutwaa madaraka Burkina Faso

  Jeshi nchini Burkina Faso limetangaza kutwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Tangazo hilo la jeshi limetolewa kupitia...

HabariMichezo

8 wapoteza maisha mechi ya Cameroon vs Comoro

  Watu nane wameripotiwa kufariki na mamia kujeruhiwa katika msongamano uliotokea nje ya uwanja uliotumika katika kinyang’anyaro cha wenyeji Cameroon na Comoro waliofuzu...

HabariTangulizi

Majaliwa amfagilia Rais Samia, azungumzia wateja wapya wa umeme

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kuifungua Tanzania kwa kujenga barabara katika maeneo mbalimbali nchini...

HabariMichezo

KMC waitangazia vita Ruvu shooting kombe la FA

  MARA baada ya kuvuna pointi nne kwenye michezo miwili ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya Kwanza na Tanzania Prison, kikosi...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa ujumbe kwa vijana, halmashauri

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana wa Kitanzania wahakikishe wanajiwekea malengo ya kusoma kwa bidii ili kupata maarifa yatakayolisaidia Taifa...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi mgeni rasmi mkutano wa bima Z’bar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi atahutubia mkutano mkubwa wa wadau wa bima kutoka ndani na nje ya nchi, wenye lengo...

Habari Mchanganyiko

TCRA yamshushia rungu Askofu Mwingira

  KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imekifungia kipindi cha Efatha Ministries, kinachomilikiwa na Askofu Josephat Mwingira na kurushwa na...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yaja na mwarobaini wa Mawakili makanjanja

  MAHAKAMA Kuu Tanzania imezindua mfumo wa kuratibu taarifa za mawakili kielektroni (e-wakili) wenye lengo la kudhibiti mawakili wasiotambulika kisheria ‘mawakili makanjanja au...

HabariTangulizi

Majaliwa aipa MSD siku 14

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wiki mbili kwa Bohari ya Dawa (MSD) ihakikishe kuanzia leo Jumapili tarehe 23 hadi 5...

Michezo

Ambundo aipaisha Yanga kileleni, wavunja mwiko wa kutoapa ushindi ugenini dhidi ya Polisi Tanzania

  KLABU ya soka ya Yanga imefanikiwa kuondoka na pointi tatu, mara baada ya kuondoka na ushindi wa bao 1-0, kwenye mchezo wa...

Kimataifa

Ndugai mwingine ajiuzulu Ujerumani

  MKUU wa jeshi la wanamaji nchini Ujerumani, Kay-Achim Schoenbach amejiuzulu, kufuatia matamshi yake yenye utata kuhusu mzozo wa Ukraine. Inaripoti mitandao ya...

Habari

Baba mzazi wa DED Kiteto, Balozi Nchimbi afariki dunia

  JOHN Alphoso Nchimbi, baba mzazi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kiteto (DED), Mkoa wa Manyara, John Nchimbi amefariki dunia, katika Taasisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani Februari 3

  ALIYEKUWA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, sasa ameamriwa kufika mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama...

Habari

Dk. Salim afikisha miaka 80, marais Samin Ramaphosa wamtakia kheri

  MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini Tanzania, Dk. Salim Ahmed Salim leo Jumapili, tarehe 23 Januari 2022, ametimiza miaka 80 tangu alipozaliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi PURA waaswa kuongeza juhudi

  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) wameaswa kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na uadilifu ili kuiletea tija...

Habari za Siasa

Kilimanjaro yatekeleza miradi lukuki kwa fedha za maendeleo

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema mkoa huo umevunja rekodi kwa kupokea kiasi kikubwa cha fedha za maendeleo zilizotolewa na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Mimi ni chui jike

  LICHA ya kukaribishwa na wimbo wa simba jike katika uzinduzi wa Tamasha la utamaduni mkoa Kilimanjaro, Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye...

Habari za Siasa

Mafuvu ya machifu yaliyochukuliwa na wakoloni kurejeshwa

  SERIKALI kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea na majadiliano ya...

Habari Mchanganyiko

KAGAIGAI: Mifugo 1,257 imekufa Kilimanjaro kwa ukame

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema jumla ya mifugo 1,257 imekufa mkoani humo kwa kukosa maji na malisho kutokana na...

Habari Mchanganyiko

TANESCO: Tunaomba mtuvumilie

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limewaomba Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho umeme unakatika kila mara kutokana na mvua na upepo...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri: Mbowe, wenzake sikuwakuta na mabomu, vilipuzi wala mafuta ya petroli

  MPELELEZI wa Makosa ya Jinai katika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha, Goodluck Minja, amedai washtakiwa wawili katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

Michezo

10 wa kwanza kuchanja kuiona Simba, Mtibwa buree!

  WAKATI homa ya mtanange unaotarajiwa kupigwa kesho tarehe 22 Januari, 2022 kati ya Simba SC. na Mtibwa Sugar, mashabiki wa timu hizo...

HabariTangulizi

Rais Samia atuma salamu za pole kwa kaka’ke Dk. Mpango, mkewe Shigela

  Rais Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kwa Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango kufuatia kifo cha kaka yake Askofu Mstaafu...

Habari Mchanganyiko

TAMISEMI yamuweka meneja wa TARURA mtegoni

  NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk. Festo Dugange amesema serikali itachukua hatua za kumsimamisha kazi Meneja wa TARURA Wilaya ya Karatu...

Habari

Jafo aagiza wanafunzi kupanda miti milioni 14

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Seleman Jafo amewaagiza maofisa mazingira nchini kuhakikisha wanafunzi wa shule za...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua Kamishna mpya wa Kazi

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Januari, 2022 amemteua Suzan William Mkangwa kuwa Kamishna wa Kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma  … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Tulia kumrithi Ndugai, CCM yafyeka 69

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania – Chama Cha Mapinduzi (CCM), imempitisha Dk. Tulia Ackson kuwa mgombea wa kiti cha Spika...

Habari za Siasa

Wanachama 11 kuchuana uchaguzi ACT-Wazalendo

  WANACHAMA 11 wa chama cha siasa cha upinzania, ACT-Wazalendo, wamechukua fomu kuomba nafasi za uongpzi, wawili wakiwania uenyekiti. Anaripoti Selemani Msuya, Dar...

Habari Mchanganyiko

KIMENUKA! Polisi watoa tamko trafki aliyenaswa tuhuma za rushwa

  JESHI la Polisi nchini limesema tayari uchunguzi umeanza dhidi ya picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii huku zikimuonesha askari wa usalama barabarani...

Habari za Siasa

Mahakama yatoa maagizo kesi ya kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, iliyopo Mawasiliano jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Jamhuri kutimiza wajibu...

Habari za Siasa

Nyundo 10 za Askofu Bagonza ‘Spika wetu Vs Spika wao’

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo Alhamisi, tarehe 20 Januari 2022, kitatoa dira ya nani atakuwa Spika wa Bunge...

Habari za Siasa

Mrithi wa Ndugai: Balozi Kagasheki amtumia ujumbe Rais Samia

  WAZIRI wa zamani wa maliasili na utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amemwomba Mwenyekiti wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais...

Michezo

Mapinduzi arejea uwanjani Yanga ikiibuka na ushindi

  KLABU ya Soka ya Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0, kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya mkoani Arusha...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM yasogeza vikao mbele

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesogeza mbele vikao vyake kikiwamo cha kamati kuu kutoka jana Jumanne, tarehe 18 Januari...

Habari Mchanganyiko

Vijiji 2,349 kufaidika na miradi ya TASAF

  IMEELEZWA kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, inatarajiwa kutoa ajira kwa walengwa 195,000 ambao watalipwa jumla ya...

Michezo

Shabiki Simba ajinyonga, siku ya mchezo dhidi ya Mbeya city

  SHABIKI wa klabu ya Simba Khalfan Mwambena mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa kata ya Kholobe mkoani Mbeya amekutwa amejinyonga muda...

Kimataifa

Hofu yatanda Simba kuambukizwa Corona Afrika Kusini

  SIMBA na Puma katika bustani ya wanyama ‘zoo’ nchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wahudumu wao. Anaripoti Mwandishi...

Elimu

Wizara ya Elimu Tanzania yatoa maagizo watoto wenye mahiyaji maalum

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania imewataka maafisa elimu maalum wa halmashauri kushirikiana na maafisa elimu kata na jamii ili...

Habari

Mke wa Sabaya apanda kizimbani kumtetea mme wake

  MKE wa mfungwa, Lengai ole Sabaya, aitwaye Jesca Nassari (28) ameieleza Mahakama kuwa namba ya simu 0758707171 inayodaiwa kuwa ya Sabaya, amekuwa...

HabariTangulizi

Adaiwa kujifanya polisi kwa miaka saba

  MKAZI wa Nyamanoro, Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, Abdul Nassoro (49) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya mkoani humo kwa tuhuma za...

HabariTangulizi

Mrithi wa Ndugai: CCM kufyeka wagombea 67

  KAMATI Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakuwa na jukumu zito la kufyeka wagombea 67 kati ya 70...

Habari Mchanganyiko

Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa

  MSANII wa muziki wa Injili nchini, Rose muhando amefunguka kwamba mojawapo ya mambo anayotaka afanikiwe kwa mwaka huu ni kumpata mume mzungu...

error: Content is protected !!