Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1258 Comments
Biashara

Jux afunika katika uzinduzi wa OPPO

  MSANII wa mziki wa kizazi kipya maarufu kama Jux amekonga mioyo ya mashabiki wake Kwa burudani Kali wakati akitangazwa kuwa balozi wa...

Habari za Siasa

Zitto: 2025 tutakuwa na uchaguzi mbaya

KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amedai kama dosari zinazoendelea kujitokeza katika chaguzi ndogo visiwani Zanzibar, hazitatokomezwa, Uchaguzi Mkuu wa 2025 utakuwa mbaya zaidi...

Biashara

GGML ilivyong’ara usiku wa madini, yatwaa tuzo 2

Mchango wa Kampuni ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML) umeendelea kutambuliwa na wadau mbalimbali wa sekta ya madini kupitia Kongamano...

Biashara

Sloti ya matunda ya Wild 27 ya kasino ya mtandaoni itakapokupa mkwanja

  KAMA unapenda sloti za matunda, basi chaguo lako limepata kiburudisho chenye hisia kali kiasi kwamba huwezi kusubiri kupoteza hata dakika moja bila...

Habari Mchanganyiko

Fedha za misaada kupungua kwa 38%, Serikali kukopa trilioni 12.29

FEDHA za misaada zinazotarajiwa kutolewa kwenye bajeti ya 2024/25, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi na programu mbalimbali zimepungua kwa asilimia 38, ikilinganishwa...

Habari za Siasa

Serikali yapanga kukusanya Sh trilioni 47

WAZIRI wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba amewasilisha  mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti ya 2024/25, bungeni jijini Dodoma, akisema Serikali imepanga kukusanya...

Habari za Siasa

Sakata la Ufisadi: CUF yataka uchunguzi dhidi ya utajiri wa mawaziri

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtaka Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuunda tume maalum kwa ajili ya kuchunguza mali na utajiri wa mawaziri wake,...

Habari za Siasa

Spika Tulia aingilia kati sakata wakuu wa shule waliosimamishwa kazi kisa Zuchu

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameagiza wakuu wa shule zilizoko wilayani Tunduma, Mkoa wa Songwe, waliosimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwachezesha wanafunzi...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia ampa maagizo Prof. Mkumbo

SPIKA wa Bunge, Dk.Tulia Ackson, amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, kufanya tathimini ili kujua wilaya...

Habari za Siasa

Mbunge ataka fedha za mfuko wa jimbo ziongezwe

MBUNGE wa Wingwi, Omary Issa Kombo (CCM), ameitaka Serikali iongeze fedha za mfuko wa jimbo katika majimbo yenye uhitaji mkubwa, ikiwemo jimbo lake....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amliza mjane wa Magufuli

MANENO ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, juu ya aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dk. John Magufuli imemliza  mjane wake, Janeth...

Michezo

Mzigo wa kutosha upo Meridianbet Jumapili hii

KAMPUNI bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri Meridianbet mzigo wa kutosha unapatikana ni wewe tukubashiri kwa kuzifata ODDS KUBWA zilizowekwa katikamichezo inayopigwa leo jumapili...

Elimu

RC Songwe ageuka mbogo Sekondari Ileje kukosa maji, ampigia simu Meneja RUWASA

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Dk. Francis Michael ameagiza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) mkoani Songwe, kuhakikisha Shule ya...

Michezo

Usipitwe na mamilioni ya pesa yanayotolewa Meridianbet

  JUMAMOSI ya kupiga mkwanja na Meridianbet imefika na sio nyingine ni hii ya leo ambapo mechi nyingi za kibabe zitapigwa huku ODDS...

Biashara

Ongeza maokoto kwa kucheza sloti ya Wild Icy Fruits

  WILD Icy Fruits ni mchezo rahisi unaopatikana kwenye kasino ya mtandaoni, una michoro 5, safu 4 na mistari 40 ya malipo. Muonekano...

Habari za SiasaTangulizi

Msukuma aibua sakata la IPTL bungeni

MBUNGE wa Geita Vijiji, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, amehoji kwa ajili sakata la Tegeta Escrow haliishi baada ya Kampuni ya IPTL inayohusishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina anyukana bungeni na Mwigulu, ataka ashtakiwe kwa uhujumu uchumi

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ametaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa TRC,...

Michezo

Anza wikiendi yako kwa shangwe kwa tusua na Meridianbet Ijumaa hii

  MAMBO vipi mteja wa Meridianbet? Habari njema ni kwamba ligi zinaendelea wikendi hii kuanzia leo hii na wewe una nafasi kubwa ya...

Biashara

Cheza Veni Vidi Vici Meridianbet ushinde mara 1000

FURAHIA sloti mpya kutoka Kasino ya Mtandaoni ikielezeaRoma ya Kale! Cheza kipekee katika sloti ya Veni Vidi Vici! Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

Bulaya ataka Balozi Sirro ahojiwe bungeni upotevu mabilioni fedha mfuko wa Polisi

MBUNGE wa Viti Maalum, Ester Bulaya, ametaka aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, apelekwe bungeni jijini Dodoma, kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge akerwa mawaziri “kuchati” bungeni, aomba mwongozo

MBUNGE wa Songwe, Philipo Mulugo, ameomba mwongozo bungeni jijini Dodoma, juu ya tabia ya baadhi ya mawaziri wanaodaiwa kutumia simu (kuchati na kuongea...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Tumsaidie Rais Samia kujenga nchi

Ujumbe wa Marafiki waliosoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ukiongozwa na Mbunge wa Hai, Saashisha Mafuwe umetoa...

Habari za Siasa

Wabunge waibana serikali matibabu watoto wachanga, watumishi wa afya kikaangoni

SERIKALI imeagiza watumishi wa afya kuzingatia maelekezo ya wizara ya afya kwamba watoto wote wachanga wapatiwe matibabu kupitia bima ya afya iliyokatwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Ufisadi watikisa Bunge, wabunge wataka sheria kuwanyonga wezi

KITENDO cha baadhi ya wezi wa fedha za umma kutochukuliwa hatua za kisheria, kimewachefua baadhi ya wabunge ambao wametaka sheria mahususi itungwe itakayoweka...

Biashara

‘Bonge la mpango’ – NMB yatua kwa wakulima kanda ya kusini

BENKI ya NMB Kanda ya Kusini leo Novemba 2,2023 imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa kanda ya kusini ijulikanayo kama ‘Bonge la Mpango...

Elimu

Muhongo achangia mifuko 150 ya saruji ujenzi sekondari Rukuba

WANANCHI wa Kisiwa cha Rukuba, kilichopo Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Mara, wameamua kuanza ujenzi wa shule ya sekondari kwa nguvu zao, ili...

Habari Mchanganyiko

Waziri Malawi, washiriki kongamano la madini washuhudia ‘live’ uchimbaji GGML Geita

KATIKA kuelimisha umma kuhusu teknolojia mpya na za kisasa zinazotumika kwenye sekta ya uchimbaji madini, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa...

Habari Mchanganyiko

Kichwa kipya treni ya umeme chawasili nchini

HATIMAYE kichwa kipya cha treni ya umeme chenye namba ya usajili E6800-01 kilichoundwa na kampuni ya ‘Hyundai Rotem Company (HRC) kimewasili nchini Tanzania...

ElimuTangulizi

Sera mpya ya elimu yafuta darasa la saba, vigezo kusomea ualimu form VI

SERIKALI imekamilisha kazi ya mapitio ya mitaala ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi ualimu, huku ikiendelea na mapitio ya mitaala na...

Michezo

Wateja wa betPawa wajishindia bilioni 53.8

Wateja 333,706 wa kampuni ya Michezo ya kubashiri betPawa wameweka rekodi ya ushindi katika mchezo huo baada ya kujishindia Sh 53.8 bilioni ndani...

Habari Mchanganyiko

Mshauri wa kodi kizimbani kwa kuitia hasara TRA Mil 118

  MSHAURI wa Kodi, Denis Tililo (29) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashtaka nane likiwemo...

Habari za Siasa

Ujerumani kushirikiana na Tanzania kuboresha makumbusho ya Majimaji

  Serikali ya Ujerumani imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuboresha Makumbusho ya Majimaji ili  kuhifadhi kumbukumbu sahihi kwa ajili ya wakati huu...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda ampa miezi sita Majaliwa, awarushia dongo kina Mbowe

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempa miezi sita Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, atatue migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi.Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mwanaharakati achangia ujenzi ofisi serikali ya mtaa, barabara Dar

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ameshirikiana na wadau wengine kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa Mtaa wa Magole A, uliopo Kivule, jijini Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamng’ang’ania Sabaya, yamrudisha mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amefika mbele ya Mahakama ya Rufani jijini Arusha, kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na...

Habari za Siasa

Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, walia na mawaziri watoro bungeni

  BUNGE la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), limesikitishwa na mahudhulio duni ya mawaziri wa jumuiya hiyo, jambo ambalo linasababisha baadhi ya hoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei za petroli, dizeli yashuka Dar, mafuta ya taa yapaa

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za nishati ya mafuta nchini ambazo zimeanza kutumika leo Novemba...

Michezo

Meridianbet yarudisha faida kwa jamii yake tena, watoa vifaa vya michezo

MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamerudisha kwa jamii yaoinayowazunguka tena, Kwani kampuni hiyo imeenda kutoa msaada wa vifaa vya michezo kwa...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Ileje wamuangukia DC adha ya maji

WANANCHI wa Kijiji cha Ishenta Kata ya Ndola katika halmashauri ya wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wamelalamikia kukosekana kwa maji safi na...

Habari za Siasa

Rais Samia: Demokrasia ya Tanzania imewavuta wajerumani

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan,amesema kuimarika kwa demorasia, utawala wa sheria na haki za binadamu, kumewavutia wawekezaji kutoka Ujerumani kuja kuwekeza...

Biashara

Hizi hapa njia ya kushinda sloti ya Crayz Time ya kasino ya mtandaoni

  HAYAWI hayawi sasa yamekuwa. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet kwa kushirikiana na watengenezaji mahiri wa michezo ya kasino za mitandaoni – Evolution...

MichezoTangulizi

Messi ashinda Ballon d’Or ya 8, Man City klabu bora duniani

HAFLA ya 67 ya Ballon d’Or ilifanyika usiku wa Jumatatu tarehe 30 Oktoba 2023 kwenye ukumbi wa Théâtre du Châtelet jijini Paris, Ufaransa...

Biashara

NMB yapata faida kabla ya kodi ya bilioni 569 robo ya tatu ya 2023

Benki ya NMB imetangaza kupata matokeo imara ya kifedha katika kipindi kilichoishia tarehe 30 Septemba mwaka 2023, ambapo faida kabla ya kodi ya...

Habari Mchanganyiko

Waandishi waombwa kuwa mabalozi wazuri wa TMA

  KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk.Ladislaus Chang’a amewaomba waandishi wa habari kuendelea kuwa mabalozi wazuri wa...

Biashara

Cheza Wild Hot 40 ushinde Jackpot ya Meridianbet

  SLOTI ya Hot Wild 40 inakuja na bonasi ya mzinguko ya bure kama ukishinda, Jackpot za aina 3 huku ukiwinda ushindi wako...

Biashara

Wafugaji watupia Ma-DC zigo la migogoro hifadhini

MWENYEKITI wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kimesema wakuu wa wilaya wanachangia kwa sehemu migororo ya wafugaji kwa kuchochea ukamatwaji wa mifugo pindi...

Habari za SiasaTangulizi

Zungu ataja siri Spika Tulia kushinda Urais wa IPU

NAIBU Spika wa Bunge, Azzan Zungu, amesema kilichofanya Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamkabidhi majukumu Spika Tulia kuhusu IPU

SERIKALI imemtaka Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, kutumia nafasi hiyo kuhakikisha analinda maslahi ya Tanzania katika jumuiya za...

Habari Mchanganyiko

Mkandarasi REA adaiwa kutapeli fedha wanakijiji, Tanesco waruka kimanga

WANANCHI wa kijiji cha Wasa kata ya Wasa wilayani Mbozi mkoani Songwe wamewalalamikia wakandarasi waliopewa  zabuni na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ya...

Afya

RAS Songwe ashangaa ujenzi zahanati kukwama kwa miaka miaka 4

Katibu tawala mkoani Songwe, Happiness Seneda ametoa siku saba kwa uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kupitia idara ya Afya...

error: Content is protected !!