Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8755 Articles1261 Comments
Makala & UchambuziTangulizi

Makonda ametonesha vidonda

JE  wajuwa? Paul Makonda amerejea kwenye ulingo wa siasa. Huyo ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Hamashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi...

Makala & UchambuziTangulizi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

BUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa na mjadala juu ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za...

Makala & UchambuziTangulizi

Mzaha, mzaha, kazi iendelee

RIPOTI za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mwaka wa fedha 2021/ 2022 zimejadiliwa bungeni. Je, umefurahishwa na...

Biashara

Mgao wa 800,000 unakusubiri katika kasino mtandaoni Sloti za Expanse Casino

MICHEZO kabambe ya kasino mtandaoni kutokaExpanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Michezo

Hizi hapa mechi zenye maokoto ya kutosha Jumapili hii

  JE unazijua timu zenye maokoto mengi leo hii?. Basi ungana nami ukaone nani na nani anataka kukupa pesa yako leo hii endapo...

Biashara

NMB yaazimia kushirikiana kimkakati na wanasheria

BENKI ya NMB imeazimia kuwa na ushirikiano wa kimkakati na taasisi za kisheria nchini kutokana na umuhimu wa tasnia ya sheria katika maisha...

Elimu

Shule ya Hazina kuendelea kuwa juu kitaaluma

SHULE ya Msingi Hazina imeahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma kwa kuhakikisha inakuwa na walimu mahiri na wenye wito wa kazi ya ualimu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwasse awaasa wajiolojia kuiishi ‘Vision 2030’ kupitia mkutano TGS

Katibu Mkuu Wizara ya uvuvi na Uchumi wa buluu Dkt. Aboud Jumbe tarehe 11 Novemba 2023 ametembelea banda la STAMICO wakati wa  ufungaji...

Michezo

Wikiendi siyo ya kinyonge, maokoto ya kutosha Meridianbet

  MAOKOTO ni ya kutosha wikiendi hii na mabingwa wa michezo ya kubahatisha Meridianbet ambapo ligi mbalimbali zitarejea huku zikikupa nafasi kujipigia maokoto...

ElimuHabari Mchanganyiko

Walimu almanusra watwangane ngumi kisa kujitoa CWT, wamvaa mkurugenzi

Baadhi ya Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe ‘wamemvamia’  Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa...

Habari za Siasa

Kikwete amuwakilisha Samia mazishi ya Rais Finland

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan...

Elimu

Mahafali ya CBE yatia fora Dar

SERIKALI imevitaka vyuo vikuu kuwa na program atamizi na zile za uanagenzi ili kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine badala...

Habari Mchanganyiko

Balile: Wanafunzi wapewe motisha kujiunga na tasnia ya habari

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile amesema kuwa ni muda muafaka wa kuwapa motisha wanafunzi katika tasnia ya habari. Anaripoti...

Biashara

Black Gold kasino ya kijanja yenye malipo makubwa

  MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa...

Biashara

Cheza Aviator ushinde beti za bure kila siku

HII ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwawasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwakahuku ukipata maokoto ni kuwa rubani...

Habari Mchanganyiko

DC Ileje aonya REA, Tanesco kuacha kutumia vishoka kuwaunganishia wananchi umeme

Viongozi wa vijiji wametahadharishwa kuacha kushirikiana na mafundi vishoka wa umeme kupitia mgongo wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutapeli wananchi fedha...

Biashara

Mbunge aibana Serikaili utitiri mashauri ya kikodi

MBUNGE Viti Maalum, Janejelly Ntate, amehoji mkakati wa Serikali katika kumaliza mashtaka ya kikodi yaliyoko kwenye bodi ya rufani za kodi na baraza...

Habari za Siasa

Muswada sheria ya tume uchaguzi, msajili wa vyama yatinga bungeni

MUSWADA wa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, imesomwa kwa mara...

BiasharaHabari za Siasa

Upungufu wa umeme wabaki 218 MW kutoka 421 MW

Serikali imesema hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa na...

Habari za Siasa

Tanzania, Uganda zasaini mkataba mahsusi ujenzi bomba la gesi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi...

Habari za Siasa

Wazee 272 waliopigana vita Kagera waendelea kulipwa pensheni

SERIKALI imesema inaendelea kuwalipa pensheni ya ulemavu wazee 272, waliopigana vita ya Kagera 1979. Anaripoti Jemimah Samwel, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo...

Biashara

Alhamisi ya kujibweda imewadia sasa na maokoto ya Meridianbet

ALHAMISI ndiyo hii hapa na Meridianbet inasema hivi mechi za Europa ndio hizi hapa na wewe ndio nafasi yako ya kujiokotea kwanja imefika....

Habari za Siasa

Muhongo ataka Serikali ibuni miradi kufuta umaskini

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameshauri mipango mbalimbali inayowekwa na Serikali, ijielekeze katika utekelezaji miradi ya kufuta umasikini nchini. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Serikali yadai kumaliza mgogoro wa ardhi Handeni, Kilindi

SERIKALI imemaliza mgogoro wa ardhi kati ya Halmashauri ya Handeni na Kilindi, kwenye eneo la Bondo, uliodumu kwa miaka kadhaa. Anaripoti Jemimah Samwel,...

Biashara

Pata bonasi na mizunguko ya bure ukicheza Wheel of Fortunes

  UKIACHANA na ugumu wa maisha unavyokwenda kasi, kuna inshu nyingine inaweza kuwa kilainishi cha maisha ni kuzungusha gurudumu la bahati la Wheel...

Habari Mchanganyiko

Vodacom yagawa Bima kwa watoto 1,000 bure

  KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ itakayotoa Bima ya Afya kwa watoto 1,000 watakaozaliwa ndani...

Habari za Siasa

Spika aipa maagizo Serikali sakata la wafugaji Ngorongoro

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kushughulikia sakata la wafugaji wilayani Ngorongoro kuuziwa mifugo yao zaidi ya 1,000 kinyume cha sheria,...

Habari Mchanganyiko

Mawakili 10 TLS kumtetea mjane aliyehukumiwa miaka 22 kwa kuuza nyama ya swala

CHAMA cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa kimewataja mawakili 10 waliopangwa katika maandalizi na usikilizwaji wa rufaa ya hukumu ya kesi...

Afya

Wananchi Ileje waiangukia serikali ukamilishaji wa zahanati

Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao ili kupunguza...

Biashara

Wamachinga Kivule wamwangukia Rais Samia

WAFANYABIASHARA ndogondogo (wamachinga), katika eneo la Kivule jijini Dar es Salaam, wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awasaidie ili wapate mali zao zinazodaiwa kuchukuliwa...

Habari Mchanganyiko

CTI na wafanyabiashara wa Marekani kuendeleza ushirikiano wa kibiashara

BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle amesema serikali inapaswa kutengeneza sekta binafsi imara ili kufikia maendeleo makubwa ya biashara na ujenzi wa...

Habari Mchanganyiko

CBE kuendesha midahalo ya kitaaluma kila mwaka

WAZIRI wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, Profesa Mark Mwandosya, ameishauri serikali kutunga sera ya kudhibiti matumizi ya akili bandia ili kuzuia watu...

Habari Mchanganyiko

TRA kuwazawadia walipakodi wa hiari

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) leo Novemba 08, 20223 imeanza Wiki ya shukrani kwa mlipakodi ambapo itatambua walipakodi wao waliofanya vizuri katika...

Michezo

Usiku wa Ulaya Jumatano hii unasindikizwa na mkwanja kutoka Meridianbet

MICHEZO mbalimbali itapigwa leo Jumatano katika ligi yamabingwa ulaya ambapo michezo hiyo itasindikizwa namikwanja ya kutosha kutoka Meridianbet, Hii ni kwa wale ambao wataweza...

Habari Mchanganyiko

Balozi Mbarouk amuaga balozi wa Australia

Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuaga Balozi wa Australia nchini mwenye makazi yake nchini...

Afya

Majengo ya mil. 500 kuanza kutoa huduma za afya mwezi huu Manyoni

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange amesema katika mwaka wa fedha 2023 Serikali imetoa kiasi cha Sh. 500 milioni kwa ajili...

Michezo

Klabu za Tz Bara zakaribishwa kutumia viwanja Zanzibar

NAIBU Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo  Hamis Mwinjuma  maarufu kama MwanaFA amesema timu yoyote inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara inakaribishwa kuchagua uwanja wa...

Michezo

Kwapua vibunda na mechi za Ligi ya Mabingwa leo hii

  LIGI ya Mabingwa Ulaya imerudi ambapo itapigwa leo hii na kesho, hivyo nafasi ya wewe kukwapua vibunda ipo wazi sana ambapo kwa...

Kimataifa

G7 wajifungia kujadili vita ya Israel, Palestina

KUNDI la nchi saba zenye nguvu za kiviwanda duniani (G7), limejifungia nchini Japan kwa ajili ya kujadili vita kati ya Israel na Hamas,...

Kimataifa

Marekani yaitaka Congo DR, Rwanda kuondoa majeshi mpakani

WAKATI mahusiano ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda, ukiripotiwa kudorora, Marekani imezitaka serikali za mataifa hayo kuondoa...

Habari Mchanganyiko

Vibanda 950 vya wamachinga kujengwa barabara Kimara-Kiluvya

Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfley Kasekenya amesema Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), itaanza ujenzi hivi karibuni kwa sababu usanifu wa vibanda...

Habari Mchanganyiko

Wakandarasi mwendokasi Mwenge – Tegeta watua ‘site’, mafuriko kutafutiwa dawa

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali inajipanga kutafuta namna ya kuwaondolea adha ya mafuriko wananchi katika barabara ya Mwenge – Bagamoyo jijini...

Biashara

Meridianbet yaja na Wolf Land Hold and Win!!

  MBELE yako kuna mchezo mwingine wa kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet ambapo inakusafirisha mpaka Marekani. Mara hii, unapata nafasi ya kukutana na...

Habari za Siasa

Mbunge ataka udhibiti utitiri wa makanisha yenye mafundisho mabovu

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Kilumbe Ng’enda (CCM) ameiomba  Serikali iweke mkazo katika usajili wa makanisa na taasisi za dini za madhehebu mbalimbali, ili...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aichongea Efatha Ministry bungeni kisa mauaji ya wananchi

MBUNGE wa Kwela, Deus Sangu, amewasilisha hoja ya dharura bungeni jijini Dodoma, akitaka kikao cha Bunge kiahirishwe kwa muda ili kujadili mgogoro sugu...

Biashara

Milioni 40 kujenga stendi ndogo Tunduma

HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetenga Sh 40 milioni kujenga stendi ya magari madogo zikiwemo daladala aina ya Hiace kwa...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Songwe watakiwa kuachana imani potofu kudhiti ukatili

WANANCHI wa wilaya zilizopo mkoa wa Songwe wametakiwa kuishi kwa kufanya kazi kihalali na kumtegemea Mungu na kuacha kujiingiza kwenye imani za kishirikina...

Biashara

NMB yasaini MoU kufadhili miradi ya kimkakati Zanzibar

Benki ya NMB imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Idara ya Mashirikiano baina ya Sekta za Serikali na Sekta Binafsi (PPP) iliyopo chini...

Biashara

Meridianbet inakupa ushindi mara 10,000 ukicheza Wildfire Wins

  KIPINDI hiki cha kukaribia Msimu wa Sikukuu unaweza kujikusanyia mavuno mengi kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, hili ni shamba kubwa la...

Farida Mgomi
Habari Mchanganyiko

DC ang’aka viongozi wa kijiji kutumbuliwa na wananchi, atoa maagizo

Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amemuagiza Afisa Uchaguzi wilayani hapa, Veronica Michael kuwapa mwongozo wananchi wa Kijiji cha Luswisi...

error: Content is protected !!