JE wajuwa? Paul Makonda amerejea kwenye ulingo wa siasa. Huyo ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Hamashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023BUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa na mjadala juu ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023RIPOTI za ukaguzi za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mwaka wa fedha 2021/ 2022 zimejadiliwa bungeni. Je, umefurahishwa na...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023MICHEZO kabambe ya kasino mtandaoni kutokaExpanse itakufanya kuvuna bonasi kuanzia TZS 100,000/= kwenye mgao wa TZS 800,000/= Mwezi huu wa Novemba. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023JE unazijua timu zenye maokoto mengi leo hii?. Basi ungana nami ukaone nani na nani anataka kukupa pesa yako leo hii endapo...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023BENKI ya NMB imeazimia kuwa na ushirikiano wa kimkakati na taasisi za kisheria nchini kutokana na umuhimu wa tasnia ya sheria katika maisha...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023SHULE ya Msingi Hazina imeahidi kuendelea kuwa juu kitaaluma kwa kuhakikisha inakuwa na walimu mahiri na wenye wito wa kazi ya ualimu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2023Katibu Mkuu Wizara ya uvuvi na Uchumi wa buluu Dkt. Aboud Jumbe tarehe 11 Novemba 2023 ametembelea banda la STAMICO wakati wa ufungaji...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023MAOKOTO ni ya kutosha wikiendi hii na mabingwa wa michezo ya kubahatisha Meridianbet ambapo ligi mbalimbali zitarejea huku zikikupa nafasi kujipigia maokoto...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023Baadhi ya Walimu wa shule za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Ileje mkoani Songwe ‘wamemvamia’ Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2023SERIKALI imevitaka vyuo vikuu kuwa na program atamizi na zile za uanagenzi ili kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wengine badala...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile amesema kuwa ni muda muafaka wa kuwapa motisha wanafunzi katika tasnia ya habari. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MOJA kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023HII ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwawasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwakahuku ukipata maokoto ni kuwa rubani...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Viongozi wa vijiji wametahadharishwa kuacha kushirikiana na mafundi vishoka wa umeme kupitia mgongo wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutapeli wananchi fedha...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MBUNGE Viti Maalum, Janejelly Ntate, amehoji mkakati wa Serikali katika kumaliza mashtaka ya kikodi yaliyoko kwenye bodi ya rufani za kodi na baraza...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023MUSWADA wa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, imesomwa kwa mara...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2023Serikali imesema hali ya upatikani umeme nchini imeimarika na sasa upungufu wa umeme umebakia 218 MW. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Hayo yameelezwa na...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SERIKALI imesema inaendelea kuwalipa pensheni ya ulemavu wazee 272, waliopigana vita ya Kagera 1979. Anaripoti Jemimah Samwel, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023ALHAMISI ndiyo hii hapa na Meridianbet inasema hivi mechi za Europa ndio hizi hapa na wewe ndio nafasi yako ya kujiokotea kwanja imefika....
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameshauri mipango mbalimbali inayowekwa na Serikali, ijielekeze katika utekelezaji miradi ya kufuta umasikini nchini. Anaripoti Regina...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SERIKALI imemaliza mgogoro wa ardhi kati ya Halmashauri ya Handeni na Kilindi, kwenye eneo la Bondo, uliodumu kwa miaka kadhaa. Anaripoti Jemimah Samwel,...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023UKIACHANA na ugumu wa maisha unavyokwenda kasi, kuna inshu nyingine inaweza kuwa kilainishi cha maisha ni kuzungusha gurudumu la bahati la Wheel...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni ya ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ itakayotoa Bima ya Afya kwa watoto 1,000 watakaozaliwa ndani...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameitaka Serikali kushughulikia sakata la wafugaji wilayani Ngorongoro kuuziwa mifugo yao zaidi ya 1,000 kinyume cha sheria,...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023CHAMA cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa kimewataja mawakili 10 waliopangwa katika maandalizi na usikilizwaji wa rufaa ya hukumu ya kesi...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023Wananchi wa kijiji cha Mbembati kata ya Lubanda wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamejenga zahanati ya Kijijini hapo kwa nguvu zao ili kupunguza...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023WAFANYABIASHARA ndogondogo (wamachinga), katika eneo la Kivule jijini Dar es Salaam, wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awasaidie ili wapate mali zao zinazodaiwa kuchukuliwa...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle amesema serikali inapaswa kutengeneza sekta binafsi imara ili kufikia maendeleo makubwa ya biashara na ujenzi wa...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023WAZIRI wa zamani wa Mawasiliano na Uchukuzi, Profesa Mark Mwandosya, ameishauri serikali kutunga sera ya kudhibiti matumizi ya akili bandia ili kuzuia watu...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2023MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) leo Novemba 08, 20223 imeanza Wiki ya shukrani kwa mlipakodi ambapo itatambua walipakodi wao waliofanya vizuri katika...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023MICHEZO mbalimbali itapigwa leo Jumatano katika ligi yamabingwa ulaya ambapo michezo hiyo itasindikizwa namikwanja ya kutosha kutoka Meridianbet, Hii ni kwa wale ambao wataweza...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuaga Balozi wa Australia nchini mwenye makazi yake nchini...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange amesema katika mwaka wa fedha 2023 Serikali imetoa kiasi cha Sh. 500 milioni kwa ajili...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023NAIBU Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA amesema timu yoyote inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara inakaribishwa kuchagua uwanja wa...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2023LIGI ya Mabingwa Ulaya imerudi ambapo itapigwa leo hii na kesho, hivyo nafasi ya wewe kukwapua vibunda ipo wazi sana ambapo kwa...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023KUNDI la nchi saba zenye nguvu za kiviwanda duniani (G7), limejifungia nchini Japan kwa ajili ya kujadili vita kati ya Israel na Hamas,...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023WAKATI mahusiano ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda, ukiripotiwa kudorora, Marekani imezitaka serikali za mataifa hayo kuondoa...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfley Kasekenya amesema Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), itaanza ujenzi hivi karibuni kwa sababu usanifu wa vibanda...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Serikali inajipanga kutafuta namna ya kuwaondolea adha ya mafuriko wananchi katika barabara ya Mwenge – Bagamoyo jijini...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023MBELE yako kuna mchezo mwingine wa kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet ambapo inakusafirisha mpaka Marekani. Mara hii, unapata nafasi ya kukutana na...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023MBUNGE wa Kigoma Mjini, Kilumbe Ng’enda (CCM) ameiomba Serikali iweke mkazo katika usajili wa makanisa na taasisi za dini za madhehebu mbalimbali, ili...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023MBUNGE wa Kwela, Deus Sangu, amewasilisha hoja ya dharura bungeni jijini Dodoma, akitaka kikao cha Bunge kiahirishwe kwa muda ili kujadili mgogoro sugu...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023HALMASHAURI ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe imetenga Sh 40 milioni kujenga stendi ya magari madogo zikiwemo daladala aina ya Hiace kwa...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023WANANCHI wa wilaya zilizopo mkoa wa Songwe wametakiwa kuishi kwa kufanya kazi kihalali na kumtegemea Mungu na kuacha kujiingiza kwenye imani za kishirikina...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2023Benki ya NMB imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Idara ya Mashirikiano baina ya Sekta za Serikali na Sekta Binafsi (PPP) iliyopo chini...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2023KIPINDI hiki cha kukaribia Msimu wa Sikukuu unaweza kujikusanyia mavuno mengi kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet, hili ni shamba kubwa la...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2023Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe, Farida Mgomi amemuagiza Afisa Uchaguzi wilayani hapa, Veronica Michael kuwapa mwongozo wananchi wa Kijiji cha Luswisi...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2023