Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1261 Comments
Biashara

Wajasiriamali wanawake watakiwa kujitangaza kidijitali

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa amewataka wanawake na vijana nchini kutumia TEHAMA kutangaza biashara zao...

Habari za Siasa

Watanzania kumiliki hisa uwekezaji bandari Dar

WAZAWA watapewa kipaumbele kushiriki katika uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es Salaam, pindi Kampuni ya DP World na Mamlaka ya Bandari nchini (TPA),...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuja na sera ya sekta ya ubunifu

SERIKALI ya Tanzania imewahakikisha wadau wa ubunifu kuwa itaharakisha mchakato wa sera zao mapema ili kuwanufaisha wabunifu na serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Biashara

God of Coins sloti ya kijanja inakupata ushindi zaidi ya mara 1000

  MERIDIANBET wakishirikiana na Expanse Studio wanafanya wepesi katika mwezi huu wenye mambo mengi wakikuletea Sloti mpya ya God of Coins unaokufanyaZaidi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Shigela anadi fursa za GGML zinazoipaisha Geita katika kongamano la madini

WAKATI Kongamano la Kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2023 likifikia tamati tarehe 26 Oktoba mwaka huu, Mkuu wa mkoa wa...

Biashara

Wateja NMB kujishindia milion 35O promosheni ya MastaBata Msimu

BENKI ya NMB rasmi imezindua msimu wa tano wa promosheni yake kabambe ya MastaBata chini ya kauli mbiu ‘MastaBata Halipoi’ inayolenga kuwazawadia wateja...

Biashara

Ukitaka shangwe la ushindi cheza sloti ya FOXPOT itakupa utakacho

  HAKUNA aliyezaliwa bila bahati hata wewe una una bahati kubwa leo ya kushinda mkwanja mrefu Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, ni sloti ya...

Habari za Siasa

Rais Ujerumani kutua nchini kesho kwa ziara ya kikazi siku 3

Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi nchini kuanzia tarehe 30 Oktoba hadi 1 Novemba 2023. ...

Habari MchanganyikoMichezo

Biteko ataka mikakati kuinua wasanii nchini

Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ameiagiza Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwa na mikakati ya kuwasaidia wasanii nchini ili kupitia sanaa...

Michezo

Angalia Mancheter Derby huku ukivuna mkwanja na Meridianbet

SIKILIZA  ni hivi inawezekana wiki yako haijaenda poa usihofusehemu pekee iliyobaki kukupa tumaini ni Mancheter derbymtanange utakaopigwa pale katika dimba la Old Trafford,...

AfyaHabari Mchanganyiko

DICOCO, SINAI wapima afya za wanachama DCPC

TAASISI inayojuhusisha na Utoaji Elimu ya Kisukari kwa Jamii (DICOCO) kwa kushirikiana na Hospitali ya SINAI wametoa huduma ya kupima kisukari, shinikizo la...

Afya

Mikoa inayoongoza kwa mimba za utotoni yatajwa, Samia atoa neno kwa watumishi

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema licha ya vifo vitokanavyo na uzazi na vya watoto chini ya umri wa miaka mitano, kupungua,...

Afya

Rais Samia: Magari ya wagonjwa 213 mabovu, halmashauri 33 zaathirika

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema magari ya kubebea wagonjwa 213 kati ya 444 ni mabovu, huku halmashauri 33 zikiwa hazina hata...

Afya

Vituo vya afya, zahanati vyaongezeka

  IDADI ya vituo vya afya kuanzia 2017 hadi 2023, vimeongezeka kutoka 535 hadi kufikia 788, wakati zahanati zikiongezeka kutoka 4,127 hadi kufikia...

Biashara

Wanyama pori wanavyokupa ushindi katika Sloti ya Forest Rock

  MAISHA ya kale na ya sasa ni tofauti sana, zamani hakukuwa na TV wala smartphone zamani tulikua tunapata burudani kwa njia ya...

Habari Mchanganyiko

Matumizj ya risiti, stempu feki yaitikisa TRA

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujiepusha na matumizi ya risiti na stempu feki ambazo zinaikosesha serikali mapato. Anaripoti Mwandishi...

Biashara

Meridianbet yavujisha siri ya ushindi, watoa njia rahisi za kushinda kasino

  KASINO ya mtandaoni ya Meridianbet kila siku inakuletea sloti na michezo mingi ya kasino inayokupa nafasi ya kushinda kirahisi huku unaburudika. Sloti...

Habari za Siasa

Biteko: Watanzania wanahita kupata mafuta kwa urahisi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa, Watanzania wanahitaji wapate mafuta kwa urahisi ili shughuli za kiuchumi na...

Biashara

Unataka kujishindie mkwanja na Meridianbet, cheza Blackjack Live

  MOJA kati ya michezo pendwa na wengi ni Sloti ya BlackJack Live, mchezo huu unapatikana kasino ya mtandaoni ya Meridianbet ambapo huu...

Habari Mchanganyiko

Chalamila awapongeza wenye viwanda nchini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewahakikishia wafanyabiashara na wenye viwanda kuwa tatizo la kukatika kwa umeme litaisha hivi karibuni...

BiasharaMichezo

Usikubali kumaliza mwezi Oktoba bila kupitia Meridianbet, kuna zawadi yako

MWEZI Oktoba unakaribia kuisha na hii ndio Wikendi ya mwisho, hivyo kumaliza kijanja suka mkeka wako kwa dau ulitakalo na machaguo yapo ya...

Habari Mchanganyiko

Watumishi watakiwa kuwapa wananchi elimu ya madhara ya El-Nino

  WATUMISHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, jijino Dodoma, wametakiwa kutoa elimu na maelekezo kwa wananchi juu ya namna ya kuchukua tahadhari...

Afya

MOI yaonya watumishi wanaokimbiza wateja kwenda hospitali binafsi

  TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), imewataka watumishi wake kukwepa vitendo vya ukiukwaji wa maadili, ikiwemo kuwa madalali wa...

Biashara

Furahia mavuno na Bounty Hunter kasino ya mtandaoni ya Meridianbet

  CHUKULIA upo kwenye msitu mkubwa wenye wanyamapori na utajiri wa madini kama dhahabu, kisha unapewa nafasi ya kuchagua kimoja kati ya dhahabu...

Habari za Siasa

UWT yavimba na wabunge wa Viti Maalum

  JOKATE Mwegelo, katibu mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), amewataka wabunge wa viti maalumu kufanya mikutano ya hadhara,...

Habari Mchanganyiko

Mchango wa wachimbaji wadogo wafikia  asilimia 40 

WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema kutoka na serikali kuweka mazingira mazuri kwenye sekta ya madini, mchango wa wachimbaji wadogo umeweza kufikia asilimia...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti CCM Arusha afariki dunia, Chongolo, Silaa wamlilia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Zelote Stephen amefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Biteko ataka sekta ya uvuvi iwe nyenzo ya kuondoa umaskini nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Sekta ya Uvuvi nchini kuifanya Sekta hiyo kuwa nyenzo...

Habari za Siasa

GGML yanyakua tuzo 2 Usiku wa Madini, Waziri Malawi atoa ujumbe

JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) katika kuzingatia uwajibikaji wake kwa jamii pamoja na kuzingatia masuala ya usalama kazini, zimeendelea...

Michezo

Maliza Alhamisi yako kijanja na Ligi ya Konferensi

LIGI ya Konferensi inatarajiwa kupigwa leo hii kwa michezo kibao ambapo michezo hiyo itaanza saa 1:45. Hivyo kama unahitaji kujilusanyia maokoto leo ndio...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas

  RAIA wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa mateka 224, wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Hamas, baada ya mashambulizi...

Biashara

Fanya yafuatayo unapocheza kasino ya Zombie Apocalypse

  UNAICHEZA ndivyo utamu unavyozidi kuwa mwingi, mchezo mzuri na wenye mandhari ya sinema za Mazombie unakupa uhuru wa kujitafuta mara tu unapouanza...

Michezo

Usikubali Ligi ya Europa ikupite bila faida, piga mkwanja na Meridianbet

BAADA ya kutazama michezo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya Jumanne na Jumatano sasa ni zamu ya usiku wa Ligi ya Uefa Europa...

Habari Mchanganyiko

TCRA yahamasisha usalama mtandaoni, upatikanaji leseni kidijitali

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kutoa elimu kwa umma na kuhamasisha juu ya usalama mtandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza na waandishi...

Biashara

Biteko aipongeza GGML kwa kuwezesha kongamano TMIF, awaita wawekezaji

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja nchini kuwekeza katika sekta ya madini kutokana na...

Biashara

NMB yawezesha wakulima Tabora kulipwa fidia kwa wakati

BENKI ya NMB imesaidia wakulima wa tumbaku zaidi ya 400 mkoani Tabora kulipwa kwa wakati fidia ya hasara waliyopata baada ya mashamba yao...

Biashara

Chimbo la utajiri lipo Meridianbet kwenye sloti ya Book of Egypt  

  KILA wakati Meridianbet wanajaribu sana kutengeneza njia rahisi kwa wateja wao kuendela kupiga mishindo ya hela kila mara, sasa wamekuja na mchezo...

Biashara

Starlight Princess kumwaga mamilioni ndani Meridianbet

MICHEZO ya Kasino mitandaoni ndio imekua kivutiokikubwa kwa wateja na Meridianbet wanakuletea mchezohuu wa kasino ambao utamuwezesha mteja kujishindiamamilioni ya Pesa. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mchengerwa ataka mshindani mpya huduma za mabasi ya mwendokasi Dar

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa ameelekeza Uongozi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka...

Habari za Siasa

Mbowe aikumbuka UKAWA kuelekea chaguzi zijazo

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ushindi wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, ulitokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Mjane wa Mrema aonja urithi, utata wa ndoa wamalizwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke kimetoa uamuzi juu ya urithi wa mali za marehemu Augustino Lyatonga Mrema ambapo...

Habari za Siasa

Rais Samia aweka shada kaburi la Dk. Kaunda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameungana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, kuweka mashada ya maua kwenye Mnara...

Biashara

Utajiri leo hii upo Meridianbet bashiri sasa

LEO hii ligi mbalimbali zinaendelea ambapo tayari Meridianbet wamekuhakikishia mkwanja wa maana endapo utabashiri mechi hizo kwa usahihi kwani hapa kuna kila ambacho...

Biashara

Wafanyabiashara waliowezeshwa na NBC kwenda China warejea nchini

BAADHI ya wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali nchini waliopata fursa ya kwenda nchini China ili kushiriki  Maonyesho ya Uagizaji na Uuzaji wa bidhaa za...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka mahakama za Afrika zijipange utatuzi migogoro soko huru

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka mahakama za nchi za Afrika zijipange kutatua migogoro itakayojitokeza katika eneo la biashara huru barani humo, huku...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda awagawa Watanzania, Karume aishangaa CCM

UTEUZI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika nafasi ya ukatibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Biashara

Maliza matatizo yako ya kifedha kwa kucheza sloti ya Pirates Power

  MERIDIANBET kasino ya mtandaoni imepanga kukutajirisha Zaidi msimu huu wa kiangazi wakati ligi nyingi zikiwa zimeisha, endelea kupiga mtonyo kwa kucheza kasino...

Habari Mchanganyiko

Baba wa Mtanzania: Sina mawasiliano na mwanangu aliyepo Israel tangu washambuliwe na Hamas

“Mara ya mwisho nimewasiliana na mwanangu ilikuwa ni tarehe 5 Oktoba 2023, isipokuwa mara ya mwisho nilimuona ‘online’ tarehe 7 Oktoba saa 4:03...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 60 kujenga barabara ya Isongole – Kasumulu

SERIKARI imetenga zaidi ya Sh 50 bilioni kujenga barabara kutoka Isongole wilayani Ileje mkoani Songwe hadi Kasumulu wilayani Kyela mkoani Mbeya yenye urefu...

Habari Mchanganyiko

Wananchi waiangukia serikali daraja mto Mpemba

WANANCHI wa mitaa iliyopo Kata ya Mpemba halmashauri ya Mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kupitia halmashauri ya mji huo kuwajengea...

error: Content is protected !!