Thursday , 2 May 2024
Home mwandishi
8754 Articles1261 Comments
Kimataifa

Makamanda 6 Hamasa wadaiwa kuuawa

Jeshi la Israel linadai kuwa hadi sasa limeshawaua viongozi sita wa juu wa kundi la Hamas tangu kuanza vita dhidi ya Ukanda wa...

Michezo

Singida Big Stars yamwita Rais Samia

TIMU ya Singida Fountain Gate, maarufu kama Singida Big Stars, imemwalika Rais Samia Suluhu ahudhurie katika mechi zake  kama anavyofanya kwa timu nyingine...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aeleza namna ya kumuenzi Mwalimu Nyerere

MBUNGE wa Musoma Vijijini, mkoani Mara, Prof. Sospeter Muhongo (CCM) ameitaka Serikali imuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, kwa kukamilisha ndoto...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yaishukia CCM

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimedai Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imechoka kwa kuwa imeshindwa kutafuta suluhu ya changamoto ya mgawo wa umeme. Anaripoti...

Habari za Siasa

Serukamba aanika mafanikio ya Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba, amesema tangu Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan iingie madarakani, bajeti ya mkoa huo imeongezeka...

BiasharaMichezo

Msafara wa Twende Butiama wakamilika kwa mafanikio makubwa

BAADA ya safari ya siku 14, zaidi ya kilometa 1,500 kupita wilaya 20 za mikoa 10 tofauti nchini, hatimaye msafara wa waendesha baiskeli...

Habari za SiasaTangulizi

Watanzania waliopo Israel watakiwa kujiandikisha kabla ya saa 6 usiku

KUFUATIA kuendelea kuzorota kwa hali ya usalama nchini Israel na maeneo mengine ya jirani, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeandaa mpango...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza viongozi kujipanga kuikabili El-Nino, udumavu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa miji mikubwa nchini, kuchukua jitihada za makusudi katika kuandaa mikakati ya kukabiliana athari za mvua...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataka ripoti miradi ya bilioni 1.9 yenye dosari

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameagiza apewe ripoti ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya watumishi wa umma waliohusika katika usimamizi wa miradi saba yenye...

Habari za Siasa

Dk. Mpango awatumia ujumbe viongozi wanaojilimbikizia mali

MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, amewataka viongozi wa umma wanaotumia nyadhiofa zao kujilimbikizia mali, wajitafakari. Anaripoti Mwandishi Wetu, Manyara…(endelea). Dk. Mpango ametoa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ashiriki misa kumuomba Mwalimu Nyerere

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki misa ya kumuombea Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyefariki dunia tarehe 14 Oktoba 1999. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Makada 6 CCM wafariki kwa ajali

Viongozi sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa katika ajali ya gari ya abiria Toyota Haisi lenye namba...

Habari za Siasa

Maelfu wampokea Rais Samia Manyara, viongozi wa dini wanena

MAELFU ya wananchi mkoani Manyara, wamejitokea kumpokea Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ili kumuunga mkono kwa kazi kubwa anayofanya kuleta maendeleo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wanaomiliki silaha bila kibali watakiwa kuzisalimisha

Jeshi la Polisi Tanzania limewataka watu  wote wanaomiliki silaha pasipo kuwa na vibali, kutumia  msamaha wa usalimishaji silaha kwa hiyari, kusamilisha silaha hizo...

Michezo

GGML wakabidhi basi jipya lenye thamani ya Mil. 500 kwa Geita Gold FC.

Uongozi wa Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) ambao ndio wadhamini wakuu wa Klabu ya Geita Gold FC. yenye maskani yake mkoani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukitumia VPN faini mil. 5, kifungo mwaka 1

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi kwa ujumla na kampuni ambazo kwa asili ya majukumu na kazi zao, matumizi ya mtandao binafsi...

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk Rose Rwakatare, amehitimisha ziara yake mkoani humo akiwataka viongozi kuhakikisha wanaanzisha miradi ya...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

NAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)  kwa kutoa mafunzo ambayo yanaendana na soko la ajira na kuwashauri...

Michezo

Wajue Mastaa wa soka wasiokuwa na Tattoo Duniani

    MPIRA wa Miguu ni sehemu ya kaaida ya maisha ya wanadamu, mashabiki na wachezaji huwa na hisia moja ya kushangilia ushindi...

Habari Mchanganyiko

SBL yashirikiana na Polisi kukuza kunywa kwa uwajibikaji na usalama barabarani kupitia mpira

KAMPUNI ya Serengeti Breweries Limited kupitia chapa yake ya Serengeti Premium Lager, inafurahi kutangaza ushirikiano wake na Polisi wa Trafiki wa Tanzania kwa...

Kimataifa

Wapalestina waanza kukimbia Gaza baada ya tishio la Israel

WAPALESTINA waishio katika Ukanda wa Gaza, wameanza kukimbia makazi yao baada ya Israel kuwapa saa 24 wakitaka wahamie sehemu nyingine ili kupisha mashambulizi...

Habari za Siasa

Chadema yamkumbusha Rais Samia ahadi yake kwa vijana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kutekeleza ahadi yake ya kuunda baraza la vijana la taifa, ili...

Habari za Siasa

Rais Samia aondoa kilio cha ‘bodaboda’ Manyara

MAAFISA usafirishaji abiri kwa kutumia pikipiki maarufu kama bodaboda, wameishukuru Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwaondolea changamoto zilizokuwa zinawakabili ikiwemo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Wanaoharibu kazi serikalini hawatoteuliwa…

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa umma wanaofanya vibaya katika utekelezaji wa majukumu yao, hawatapewa nafasi nyingine serikalini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yamwaga mabilioni Babati kuimarisha huduma ya maji

UPATIKANAJI  huduma ya maji safi na salama Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, umeongezeka kutoka asilimia 72 iliyokuwa kabla ya 2021 na kufikia 92%,...

Biashara

Meridianbet yainogesha weekend, wanakupa 10% kila Ijumaa ukicheza Keno & Lucky 6

  IFANYE Ijumaa kuwa ni siku ya bahati kwako, hata Cristiano Ronaldo anasema kwamba anaipenda namba 7 kwakuwa ni namba yake ya bahati...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bweni la Wasichana Hasnuu Makame Sekondari Z’bar lateketea kwa moto

  JENGO la Dakhalia la Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame ilioko Kibuteni Wilaya ya Kusini Unguja, limeungua moto sehemu ya juu, imeripotiwa....

Habari Mchanganyiko

Kiza ateuliwa Kamishna Uhifadhi Ngorongoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Richard Rwanyakaato Kiza kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi Eneo la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wamhoji Wakili Dk. Nshala kwa kuzua taharuki

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Dk. Rugemeleza Nshala leo Alhamisi amehojiwa na katika Kituo cha Polisi Kanda Maalumu Dar Es Salaam...

Habari za Siasa

Wananchi Manyara wamuahidi ushindi Rais Samia 2025

WANANCHI wa Mkoa wa Manyara, wameahidi kumchagua kwa kishindo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu wa 2025, kutokana na kazi kubwa...

BiasharaTangulizi

Kilo 4.3 za dhahabu zadakwa zikitoroshwa

Katika kuhakikisha Tanzania inalinda rasilimali madini ili zichangie maendeleo ya nchi na kuinua uchumi wa watanzania, Serikali imesimamisha leseni zote nchini za Kampuni...

Habari za Siasa

CCM Kilombero yawaonya watendaji wazembe

Chama Cha Mapinduzi – CCM, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kimewataka watendaji wote wa serikali wilayani hapa kuacha uzembe kazini na kufanya kazi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Mgogoro wa wachimbaji Mafurungu watatuliwa, wapewa leseni

Serikali kupitia Wizara ya Madini imetatua rasmi mgogoro wa wachimbaji wadogo wa madini uliodumu kwa mwaka mmoja katika Kitongoji cha Mafurungu – Wilaya...

Michezo

Osman Bey kulipwa bil 2 kwa tangazo moja

  BURAK Ozcivit wengi mnamfahamu kwa jina la Osman Bey kama jina lake la uigizaji lilivyo, ndoto zake zilikuwa ni kuwa mwanamitindo wakati...

Kimataifa

Gavana wa benki kuu Burundi akamatwa kwa ufisadi

DIEUDONNÉ Murengerantwari anatuhumiwa na wizara ya sheria ya Burundi kwa madai ya kuhujumu utendaji wa uchumi wa taifa, ufisadi na ufujaji wa mali...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mohammed Deif: Paka mwenye roho tisa anayeongoza kundi Hamas

WAKATI vita kati ya Israel na Palestina ikizidi kushika kasi na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 2000, asilimia kubwa ya wafuatiliaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi ahojiwa Polisi kisa Chadema

WAKILI Boniface Mwabukusi amedai Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limemhoji kuhusu tuhuma za kutumia wimbo wa chama kingine ambacho kinatajwa kuwa ni Chadema...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yatoa elimu ya fedha kwa wafanyabiashara Dar

BENKI ya NMB kupitia Klabu za Biashara ‘NMB Business Club’ imeandaa mafunzo ya kifedha kwa wafanyabiashara jijini Dar es Salaam ikiwa ni utekelezaji...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Waziri Mhagama akoshwa na Mshikofasta ya NMB 

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amewataka vijana kuchangamkia fursa ya mkopo wa Mshikofasta inayotolewa na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aula mfupa uliowashinda wenzie kumuenzi Mwalimu Nyerere

  SERIKALI ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kutekeleza ahadi yake ya kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyrere, kwa kufufua...

KimataifaTangulizi

Hali mbaya Gaza, hospitali zaelemewa

  HALI za wapalestina waishio ukanda wa Gaza, imezidi kuwa mbaya kufuatia mashambulizi ya anga na mabomu yanayoendelea kufanywa na Israel, ambayo yamesababisha...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima India

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru,...

Elimu

Serikali yaahidi kuzilegeza masharti shule binafsi

  SERIKALI imeahidi kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa wamiliki wa shule binafsi, ili ziweze kutekeleza majukumu yake vizuri ya kutoa elimu bora kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wamwachia Wakili Mwabukusi

  JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limemwachia Wakili Boniface Mwabukusi, baada ya kumshikilia kwa saa kadhaa tangu alivyoitikia wito wa kuripoti ili kuhojiwa...

Habari za Siasa

CCM: Hatutawabeba viongozi mizigo chaguzi zijazo

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitawabeba viongozi mizigo katika chaguzi zijazo, huku kikiwataka waliopewa dhamana wakati huu kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi...

Biashara

Meridianbet kuzindua mzigo mpya pamoja na Expanse Studios

  EXPANSE Studios iko tayari kuandika historia huko G2E Las Vegas, ambayo ni Roma ya sasa kwenye ulimwengu wa iGaming, ili kuwasilisha bidhaa...

Biashara

Karata moja tu kwenye Blackjack inakupa ushindi mara 100

  WATENGENEZAJI wa michezo ya kasino mtandaoni Expanse Studios, inakuletea mchezo rahisi kucheza na kushinda kupitia Meridianbet Kasino mtandaoni, ukikutana na wachezaji wa...

KimataifaTangulizi

Watu 1,000 wafariki vita Israel, Palestina

  MAPIGANO ya kijeshi kati ya Kundi la Hamas la Palestina na Jeshi la Israel, yaliyoanza Jumamosi iliyopita, yamepoteza maisha ya watu zaidi...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waiomba Serikali iharakishe ujenzi miundombinu ya umwagiliaji

  WAKULIMA katika mabonde ya Bugwema na Suguti, katika Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wameiomba Serikali kuharakisha ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji ili...

Habari za Siasa

Msikimbilie kufanya kazi mijini – Ridhiwani Kikwete

  NAIBU waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka watumishi wa umma, kutokimbia kufanya kazi pembezoni mwa nchi. Anaripoti...

error: Content is protected !!